wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,825
- 2,292
Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio aina ya upinzani tulio nao TanzaniaHuyu mtu wa hovyo kweli yaani yeye kuwepo bungeni anafikiri ndiyo mwenye akili kuliko wore? Mwambieni shule alizosoma Hakuna peke yake wala siyo yeye alikuwa akiwaongoza kila darasa pia akumbuka hata yeye akifa Tanzania itaendelea kuimarika asijione bora sana kuliko wengine. Namkumbusha Tz imeanza kabla yeye kuwa mwanasiasa.
Sijui alijuaga yeye ana hatimiliki ya jimbo😂😂😂😂Hatimae na yeye kalikosa bunge la 12
HahahhaSijui alijuaga yeye ana hatimiliki ya jimbo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alijua atapitaaaAmeacha kujipigania anapigania wengine
Kuongozi mkuu.Tunaanza kwenye sheria. Huyo Zitto anacheo gani Act wazalendo mpaka aandike barua kwa niaba ya Act wazalendo?
Hakuna cheo cha kiongozi mkuu katika siasa za Tanzania. Mwenyekiti ndiyo cheo kikubwa sasa hata cheo hana wala hajachaguliwa ni Mzurulaji tu kama wazurulaji wengine hayo mamlaka kayaokota wapi mpaka anaropoka ropoka
Eti anasikitika ya Chenge,walikalia viti kimazoea.Hivi yeye hakujiskitikia! Daah! bunge limebadilika ghafla sana