crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Kama nchi imekabidhiwa washamba halafu wewe labda unataka kuichukua kwao lakini umeshindwa, wewe tukuite nani? Just wondering!Nchi imekabidhiwa washamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nchi imekabidhiwa washamba halafu wewe labda unataka kuichukua kwao lakini umeshindwa, wewe tukuite nani? Just wondering!Nchi imekabidhiwa washamba.
Washamba wamewashika POLICCM,NECCM kwahiyo wanabebwa!!Kama nchi imekabidhiwa washamba halafu wewe labda unataka kuichukua kwao lakini umeshindwa, wewe tukuite nani? Just wondering!
Siku hizi Chadema mnashinda kwenye akaunti ya Zitto kuokoteza vijineno.Kwisha habari yenu!
Zitto anaumia anavyopuuzwa na Rais wetu mpendwa
Ajiandae kustaafu ubunge tu apishe kiongozi wanaowajali wanakigoma
mimi CCM asilia!!Siku hizi Chadema mnashinda kwenye akaunti ya Zitto kuokoteza vijineno.Kwisha habari yenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ramli, Nyinyi ndiyo wachawi wenyewe."What comes around, goes around" Kwa kadiri hii shirika la ATCL lilivyofufuliwa, huku huduma zikilazimishwa kupitia"supply driven" na wala si kwa "demand driven" basi tutegemee hasara juu hasara katika uendeshaji wake. Katika mambo ambayo yatazidi kuitia doa serikali ya awamu ya tano ni pamoja na hili shirika ambalo linaendeshwa kwa hasara, huku wao wakizidi kuling'ang'ania kwa ajili tu ya kiki za kisiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani anapanda bure?Kesho utamwona amependa ndege anaenda kigoma kupiga picha na Wananchi
Sisi Wananchi tunachukizwa sana na uwongo wa Zitto
Safi saizi tuuwe NDEGE zetu ili tufananishe vizuri
Kesho utamwona amependa ndege anaenda kigoma kupiga picha na Wananchi
Sisi Wananchi tunachukizwa sana na uwongo wa Zitto
Zitto anaumia anavyopuuzwa na Rais wetu mpendwa
Ajiandae kustaafu ubunge tu apishe kiongozi wanaowajali wanakigoma
Zito acha kamba wewe, hao Rwanda unaowatukuza hata shirika lao la ndege wanamiliki asilimia 40 au 60 tu hivi sasa. Sisi tunamiliki la kwetu 100%. BTW pengine huna taarifa wameomba kwa kupiga magoti tuwainue kidogo kwa kuruhusu waruke kutoka Mwanza - London ili wapate ujiko kidogo.
Mila zetu Tanzania sio sawa na Wanyarwanda elewa hilo.
Zitto anaumia anavyopuuzwa na Rais wetu mpendwa
Ajiandae kustaafu ubunge tu apishe kiongozi wanaowajali wanakigoma
Hiyo haihusiani na hoja ya kishamba ya kukusanya viongozi wote kupokea huu ujinga , naona aibu sana kuwemo kwenye nchi hiiKesho utamwona amependa ndege anaenda kigoma kupiga picha na Wananchi
Sisi Wananchi tunachukizwa sana na uwongo wa Zitto
Roho mbaya hiyo. Rwanda ni Rwanda na Tz ni Tz tu. Hapo sasa mshamba nani kama siyo yeye
Waige mara ngapi ?Wasije wakaiga na u hardcore wa kagame kwenye ku deal na wapinzani wake.