Zitto Kabwe: Serikali ya awamu ya 5 acheni ushamba

Zitto Kabwe: Serikali ya awamu ya 5 acheni ushamba

Ushamba sana watu mnakusanyika eti kupokea kitu kisicho na uhai
 
Mimi nilipo nunua gari Aina ya mark two ukoo mzima ulisimama maana hakukuwa hata ukoo wa mababu aliyekuwa amefanya hivyo. Nilionekana shujaa, na kweli magufuli chuma.

Sembuse ndege za matrioni ya fedha tusishangilie Kama taifa eti kagame hakushangilia! Ebo vipi wewe mwana kigoma? Watanzania sehemu mbalimbali wanaitaji usafiri huu hili wafanye kazi kwa uhakika. Rwanda nchi ndogo ndani ya nchi sijui Kama wanaitaji Sana.
Imenibidi nicheke kwa maneno yako haya, tena ambayo umeyasema ukiwa muwazi kweli!
Kwa hiyo sisi kama taifa zima, tushangilie 'ushamba' kama ulio kwenye ukoo wenu?

Hivi hujui kwamba Tanzania tuliwahi kuwa na shirika la ndege lenye ndege nyingi tu..., kwa nini sasa mnalazimisha ionekane kana kwamba ni jambo la ajabu sana?

Haya, nendeni mkaunde chombo cha kutupeleka hadi mwezini, hapo tutajua nyinyi ndio nyinyi hasa. Jiaibisheni wenyewe, acheni kutuaibisha sote kama taifa.

Taifa hili linao watu makini sana, msitufanye wote tuanze kuonekana kama mazuzu vile.
 
Kuna usemi usemo ukitaka kuishi vizuri katika maisha ya ndoa usiwaige wengine wenye ndoa zao.
Na kama ikitokea unawaiga basi uwe ni mwenye ndoa yenye ushaidi kwa wengine kuiga yaliyo mema kwenu kwanza.
Wanaoitwa vijana 40+yes ili ujue nini ni zuri na nini ni bays sharti uoe/uolewe kwanza,vinginevyo utawadanganya wengine kwa kujua/kutokujua.
 
Mh Zitto amenena.
Mimi nimemuelewa.
Watanzania tumemuelewa.
Walengwa mjitafakari!



Ujanja alio nao zito ni kutembea na wanawake wengi wakiwamo mashemeji zake pamoja na unafiki alio nao, basi hakuna kingine.
 
Mh Zitto amenena.
Mimi nimemuelewa.
Watanzania tumemuelewa.
Walengwa mjitafakari!


Kwa kili ya dogo huyu, mwenye miaka mingi Bungeni, kwa umri wake anaamii sisi tunastahili kuiga Rwanda na si Rwanda kuiga TZ? Ndo ubora duni wa upinzani kutafuta kila sababu ya kutofautiana na serikali, hata kwa mambo ya kipuuzi na kishenzi wanayoweza kuunda.

Ni huyu huyu aliyewahi kusema eti mwaka kwenye vioo vya ndege vinaonesha zimekwishatumika! So low thinking halafu eti anafahamaika kwa hoja Bungeni. Shame!
 
Wengine watoe gawio serikarini hela zitumike kwenda kununua ndege, wanaopewa hizo ndege awatoi gawio na madeni yao wanalipiwa.

Story mingi tu za kipuuzi za kwenda sijui huku, mara tuongezewe ndege, mara tuwekewe taa viwanja vya ndege, ohoo tunasoko la 73%; haya kama nyie ndio dominance faida hiko wapi.

Waste of taxpayers of money
 
Kesho utamwona amependa ndege anaenda kigoma kupiga picha na Wananchi

Sisi Wananchi tunachukizwa sana na uwongo wa Zitto
Kwani amesema hatapanda? Anachoeleza ni ule ushamba wa viongozi wote kuacha shughuli zao na kwenda kupokea bombadier.

Ni sawa na wewe ukanunua vitz halafu unaita ukoo mzima kwenda kupokea hiyo vitz siku ambayo dereva anakuletea hilo gari.

Najiuliza kwa nchi kama Dubai kama viongozi wangekuwa wanaenda kupokea ndege kila zinaponunuliwa, ingebidi karibia kila wiki kuwe na ratiba ya kupokea ndege. Emirates ina ndege 250 miongoni mwa hizo, zipo zile kisasa kabisa ambazo bei ya moja inaweza kuwa ni sawa na hizo ndege zetu zote 11 ukiziweka pamoja. Mwaka 2019 wametoa order ya ndege 30 kwa mpigo.

Lakini huwezi kuona viongozi wa juu na wananchi wameacha kazi zao na kwenda kupokea ndege. Kuwa na ndege ni jambo jema lakini siyo muujiza.
 
Wewe na Zitto hamna hoja ni vibaraka wa mabeberu
Nimeamua kuwa puuuza rasmi sasa Bams,
 
Hawakukosea waliosema nchi imekabidhiwa washamba na malimbukeni.
 
Wewe na Zitto hamna hoja ni vibaraka wa mabeberu
Nimeamua kuwa puuuza rasmi sasa
Hao mnaowaita mabeberu ndio hao hao mnaowalipa mabilioni ya fedha za wananchi kununua mandege kutoka kwao. Jaribuni basi kuficha upuuzi wenu.
 
Hivi kwanini watu humu wanapenda kuisifia Rwanda kwa sifa ambazo hawana? Hivi kweli Tanzania ni nchi ya kutishwa na Rwanda?

Ushabiki na elimu duni ya baadhi ya wadau humu ndani ndo sababu kuu. Mtanzania hauna sababu ya kuamini jambo kwa sababu tu umeambiwa au kusikia bali fanya utafiti na hata safiri,tena sio mjini tu bali hata ndani ndani pia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto anaumia anavyopuuzwa na Rais wetu mpendwa

Ajiandae kustaafu ubunge tu apishe kiongozi wanaowajali wanakigoma
ukweli unauma , Garama za kupokea ndege zitafikia ela ya kununulia ndege mpya baada ya mapokezi kadhaa, kuna muda atazoea
 
Back
Top Bottom