Akiongea na redio hiyo ya kimataifa jana mchana, mwanasiasa huyo amefunguka:
Your browser is not able to play this audio.
Kwamba:
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
Kwanza ni uwongo kuwa ameng'atuka. Yeye amemaliza muda wake wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya ACT.
Watu wengi wana akili ndogo. Wanakuza jambo dogo lionekane la ajabu!
Nyerere alinga'atuka. Mwinyi, Mkapa na Kikwete walimaliza muda wao kwa mujibu wa katiba, na wala halikuwahi kuwa jambo la ajabu kiasi cha kuongelea kila siku.
Huwezi kusema kuwa Mwinyi, Mkapa au Kikwete waling'atuka. Labda kama hujui Kiswahili wala maana ya neno kung'atuka.
Umewahi kumsikia Kikwete akisema kuwa aling'atuka? Halafu ikawa hadithi ya kila siku? Kama katiba ya ACT ina muda maalum wa kiongozi kuwa kwenye nafasi fulani, kuna nini cha ajabu?
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
Kwanza hawa watu ni wajinga wa Kiswahili. Kiongozi anayemaliza muda wake wa uongozi kikatiba, hang'atuki bali amemaliza kipindi chake cha uongozi. Hawa watu wamejaa unafiki.
Nyerere kuachia uongozi ilikuwa issue ya kuongelewa sana kwa sababu aling'atuka. Mwinyi kuachia uongozi ilikuwa kawaida, kwa sababu alimaliza kipindi chake cha uongozi kikatiba.
Kwanza ni uwongo kuwa ameng'atuka. Yeye amemaliza muda wake wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya ACT.
Watu wengi wana akili ndogo. Wanakuza jambo dogo lionekane la ajabu!
Nyerere alinga'atuka. Mwinyi, Mkapa na Kikwete walimaliza ata katiba wala siyo jambo la ajabu kiasi kwamba iwe ni jambo la kuongelea kila siku.
Huwezi kusema kuwa Mwinyi, Mkapa au Kikwete waling'atuka. Labda kama hujui Kiswahili wala maana ya neno kung'atuka.
Umewahi kumsikia Kikwete akisema kuwa aling'atuka? Halafu ikawa hadithi ya kila siku? Kama katiba ya ACT ina muda maalum wa kiongozi kuwa kwenye nafasi fulani, kuna nini cha ajabu?
Kwanza hawa watu ni wajinga wa Kiswahili. Kiongozi anayemaliza muda wake wa uongozi kikatiba, hang'atuki bali amemaliza kioindi chake cha uongozi. Hawa watu wamejaa unafiki.
Nyerere kuachia uongozi ilikuwa issue ya kuongelewa sana kwa sababu aling'atuka. Mwinyi kuachia uongozi ilikuwa kawaida, kwa sababu alimaliza kipindi chake cha uongozi kikatiba.
Kwanza hawa watu ni wajinga wa Kiswahili. Kiongozi anayemaliza muda wake wa uongozi kikatiba, hang'atuki bali amemaliza kioindi chake cha uongozi. Hawa watu wamejaa unafiki.
Nyerere kuachia uongozi ilikuwa issue ya kuongelewa sana kwa sababu aling'atuka. Mwinyi kuachia uongozi ilikuwa kawaida, kwa sababu alimaliza kipindi chake cha uongozi kikatiba.