Zitto Kabwe: Sitagombea tena Uongozi ndani ya ACT WAZALENDO, najikita kwenye Ubunge. Malengo yangu ni kuwa Rais wa Tanzania

Zitto Kabwe: Sitagombea tena Uongozi ndani ya ACT WAZALENDO, najikita kwenye Ubunge. Malengo yangu ni kuwa Rais wa Tanzania

Kwanza ni uwongo kuwa ameng'atuka. Yeye amemaliza muda wake wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya ACT.

Watu wengi wana akili ndogo. Wanakuza jambo dogo lionekane la ajabu!

Nyerere alinga'atuka. Mwinyi, Mkapa na Kikwete walimaliza ata katiba wala siyo jambo la ajabu kiasi kwamba iwe ni jambo la kuongelea kila siku.

Huwezi kusema kuwa Mwinyi, Mkapa au Kikwete waling'atuka. Labda kama hujui Kiswahili wala maana ya neno kung'atuka.

Umewahi kumsikia Kikwete akisema kuwa aling'atuka? Halafu ikawa hadithi ya kila siku? Kama katiba ya ACT ina muda maalum wa kiongozi kuwa kwenye nafasi fulani, kuna nini cha ajabu?
mbona kuweweseka sasa 🐒

CCM haina kiongozi wa chama na halafu tena mwenyekiti wa chama 🐒

awali zito alikua Mwenyekiti wa chama chake na baadae akawa kiongozi wa chama chake pia 🐒

kung'atuku viongozi wa CCM ni mila desturi, ustaarabu na ukomavu wa Demokrasia ndani yake. Na kwahivyo huwez shangaa hata kidogo 🐒

Lakini upinzani 🤣🤣

Lazma ushangea kwasabb ni nadra mno kouona kiongozi wa upinzani anaachia nafasi ktk uongozi wa chama chake. Power is so sweet 🐒

Zito ameonyesha mfano mujarabu sana wa ukomavu kisiasa na pengine ameonyesha njia wengine katika vyama vingine kuingia ustaarabu huo, anastahili pongezi..... sana

kufananisha CCM na ACT ni kupotosha, havifanani muundo wala aina ya uongozi zilivyo 🐒
 
Kwanza ni uwongo kuwa ameng'atuka. Yeye amemaliza muda wake wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya ACT.

Watu wengi wana akili ndogo. Wanakuza jambo dogo lionekane la ajabu!

Nyerere alinga'atuka. Mwinyi, Mkapa na Kikwete walimaliza ata katiba wala siyo jambo la ajabu kiasi kwamba iwe ni jambo la kuongelea kila siku.

Huwezi kusema kuwa Mwinyi, Mkapa au Kikwete waling'atuka. Labda kama hujui Kiswahili wala maana ya neno kung'atuka.

Umewahi kumsikia Kikwete akisema kuwa aling'atuka? Halafu ikawa hadithi ya kila siku? Kama katiba ya ACT ina muda maalum wa kiongozi kuwa kwenye nafasi fulani, kuna nini cha ajabu?

Hizi sasa ni tafsiri ambazo Kila mtu anaweza kuwa na zake. Hakuna asiyejua nini kilichotokea.

Kwa mujibu wa mada kilichoandikwa ni alichosema Zitto kama alivyohojiwa.

Nguvu kubwa inayotumika nje ya mada inashangaza.

Kwani ni kipi alichosema Zitto kwenye mada hii kama kilivyo siyo kweli?
 
Hakujawa mwiba kwa mtu yoyote sema yeye imekuwa ndiyo hoja ya kila siku as if kung'atuka ndiyo mafanikio ya chama chake.

Chama chenyewe kinaishi kwa life circle ya mende hata aking'atuka ni afadhali ili chama chake kipate watu wa maana watakaokifanya kiwe cha kitaifa

1. Alichosema chote kaulizwa na mwandishi.

2. Yaonesha hukupenda ajibu?

3. Haya ya chama chenyewe yanatoka wapi sasa? Haya si ndiyo Yale yenye kuweka tashwishi ya kuwa Pana mwiba mahali?

4. Kwanini tusimzodoe tokea katika maneno yako badala ya hisia zetu?

Alichosema kipo pale. Mnyonge mnyongeni.
 
CCM kawafanyia kazi nzuri, hivyo wameshamuahidi kumzawadia jimbo huko Kigoma kutokana na utii wake kwa mabwana zake.

Hakuna popote aliposema kawafanyia CCM kazi. Hakuna popote CCM wamesema amewafanyia kazi. Yeye kasema haya hapa:

"hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi..

Kistaarabu hoja si hujibiwa kwa hoja?
 
Akiongea na redio hiyo ya kimataifa jana mchana, mwanasiasa huyo amefunguka:

View attachment 2933149

Kwamba:

1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.

2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.

3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.

4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.

5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.

6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.

7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.

8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.

9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.

10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.

11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.

12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.

13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.

Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.

Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:

Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
Mnafiki na mdini Zitto anasema ana ndoto za kugombea urais lakini atagombea 2030 na siyo 2025 wakati sifa za kugombea 2025 anazo maana kishapita miaka 40. Wenye akili tunajua kwa nini hagombei 2025.

Zitto huwa anaipinga CCM tu pale mgombea urais wa CCM anapokuwa wa ile imani nyingine.

Mimi ninabet Zitto anaweza hata kuteuliwa katika nafasi serikalini.

Japo mimi siiungi mkono CHADEMA, lakini natambua kuwa kimsingi nchii hii vyama vya siasa ni viwili tu CCM na CHADEMA.
 
Hakuna popote aliposema kawafanyia CCM kazi. Hakuna popote CCM wamesema amewafanyia kazi. Yeye kasema haya hapa:

"hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi..

Kistaarabu hoja si hujibiwa kwa hoja?
Matendo yake yanaongea kuliko maneno.
Hata ungekuwa wewe usingesema kuwa unawatumikia CCM ila matendo yako yatatuambia uhusika wako japo kwa asilimia flani.
 
Zitto bado anajitafuta.........

Haya bila shaka ni mawazo yako ambayo kila mtu anaweza kuwa na yake. Hudhani kuwa ungejikita kwenye mada ungeona alikuongelea pia mtu kama wewe?

"Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.."

Kistarabu hoja hujibiwa kwa hoja.
 
Love him or hate him,Zitto is indispensable kwenye siasa zetu.The man is living ahead of his time!Zitto yupo hatua kumi mbele kuliko kizazi chetu.Hatumuelewi,hatutamuelewa unless tungekuwa 300yrs past our independence.
Katika siasa za Afrika(hata kwenye vyama vya upinzani) sio rahisi mtu kuachilia nafasi ya chama not to say kama amekianzisha yeye!Hii haijalishi chama ni kikubwa/kibaraka/kidogo aje ni ngumu!At least Zitto anajaribu kuonesha kuheshimu katiba ya chama chake akijua kabisa lazima kuna mamluki wa chama tawala ndani ya chama chake.
Ushamba wa kiafrika jamaa ameutupa mbali sana,this is pure gem in its form aisee..HONGERA ZITTO.
Kwa wale maHATERs remember this;no one is hated too much than the one who speaks the truth!😅
 
Mnafiki na mdini Zitto anasema ana ndoto za kugombea urais lakini atagombea 2030 na siyo 2025 wakati sifa za kugombea 2025 anazo maana kishapita miaka 40. Wenye akili tunajua kwa nini hagombei 2025.

Zitto huwa anaipinga CCM tu pale mgombea urais wa CCM anapokuwa wa ile imani nyingine.

Mimi ninabet Zitto anaweza hata kuteuliwa katika nafasi serikalini.

Japo mimi siiungi mkono CHADEMA, lakini natambua kuwa kimsingi nchii hii vyama vya siasa ni viwili tu CCM na CHADEMA.
I'm sorry to say this,CCM and CHADEMA are not political parties,they are just bunches of .....
 
Love him or hate him,Zitto is indispensable kwenye siasa zetu.The man is living ahead of his time!Zitto yupo hatua kumi mbele kuliko kizazi chetu.Hatumuelewi,hatutamuelewa unless tungekuwa 300yrs past our independence.
Katika siasa za Afrika(hata kwenye vyama vya upinzani) sio rahisi mtu kuachilia nafasi ya chama not to say kama amekianzisha yeye!Hii haijalishi chama ni kikubwa/kibaraka/kidogo aje ni ngumu!At least Zitto anajaribu kuonesha kuheshimu katiba ya chama chake akijua kabisa lazima kuna mamluki wa chama tawala ndani ya chama chake.
Ushamba wa kiafrika jamaa ameutupa mbali sana,this is pure gem in its form aisee..HONGERA ZITTO.
Kwa wale maHATERs remember this;no one is hated too much than the one who speaks the truth!😅
Maneno mengi ila zero. Katiba ndio imemtaka aachie uongozi, hajaachia kwa mapenzi yake . Tuache sifa za kijinga.
 
Akiongea na redio hiyo ya kimataifa jana mchana, mwanasiasa huyo amefunguka:

View attachment 2933149

Kwamba:

1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.

Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.

Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:

Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
Naomba uje inbox jamani kuna kitu tuchat
 
Love him or hate him,Zitto is indispensable kwenye siasa zetu.The man is living ahead of his time!Zitto yupo hatua kumi mbele kuliko kizazi chetu.Hatumuelewi,hatutamuelewa unless tungekuwa 300yrs past our independence.
Katika siasa za Afrika(hata kwenye vyama vya upinzani) sio rahisi mtu kuachilia nafasi ya chama not to say kama amekianzisha yeye!Hii haijalishi chama ni kikubwa/kibaraka/kidogo aje ni ngumu!At least Zitto anajaribu kuonesha kuheshimu katiba ya chama chake akijua kabisa lazima kuna mamluki wa chama tawala ndani ya chama chake.
Ushamba wa kiafrika jamaa ameutupa mbali sana,this is pure gem in its form aisee..HONGERA ZITTO.
Kwa wale maHATERs remember this;no one is hated too much than the one who speaks the truth!😅

Na hapa bila shaka ndipo ule mwiba mchungu ulipo. Si Kwa makasiriko haya.

Al Watani, Bams, Mshana Jr
 
Back
Top Bottom