Zitto Kabwe: Sitagombea tena Uongozi ndani ya ACT WAZALENDO, najikita kwenye Ubunge. Malengo yangu ni kuwa Rais wa Tanzania

Ambacho kimefanya nikupe Kongole, pamoja na kuweka Video lakini bado ukatuandikia kwa ufupi yale Zitto aliongea. ..

Hongera tena.

1. Si mara ya kwanza kuweka video. Rabbon alinipa angalizo kuwazingatia wasiokuwa na bando lavkutosha.

2. Kama hapa kama nilivyojifunza kwake kwani elimu haina mwisho, niliweka huu hapa jana:

Kamanda wa CHADEMA akinukisha Gold FM, Kahama

3. Hapo #2 ningepata hongera zako ningesuuzika zaidi.
 
Mim

i nitafurahi akirudi bungeni !
Tumezimiss sana Akili kubwa kule mjengoni !!
Kama tulivyo wa miss Lissu, Mbowe, Cheyo, Lipumba, Mnyika, Rungwe, na wengi wengine akili kubwa vyamani huko!
 
Kuna tofauti kati ya kung'atuka, kustaafu na kuachia cheo fulani cha kisiasa.
Zito hajang'atuka, bado yupo sana uwanjani. Maandishi yako yanathibitisha hilo.
 

..labda ikifika wakati wa uchaguzi Act na Cdm watashirikiana.

..kama utakumbuka uchaguzi wa 2020 walijaribu kuunganisha nguvu, ingawa sheria zetu za uchaguzi ziliwazuia.
 
Mbowe afuate mfano mujarabu wa ZZK kuwa kigando na kiruba sio sawa na wengine waaminike wanaweza mdude apewe chama anaweza.
 
..labda ikifika wakati wa uchaguzi Act na Cdm watashirikiana.

..kama utakumbuka uchaguzi wa 2020 walijaribu kuunganisha nguvu, ingawa sheria zetu za uchaguzi ziliwazuia.

1. Unadhani kwa kauli hizi unazozisikia kutoka kwa makamanda ninao thubutu kuwaita uchwara zinaweka msingi wowote wa mashirikiano siku za usoni?



2. Kwani Prof. Lwaitama kutupia jezi la zambarau hapo kunamfanya kuwa Ani ACT?

3. Kwa wenye chongo nawe vunja lako moja yana maana yoyote kwa makamanda kama hawa?
 
Kuna tofauti kati ya kung'atuka, kustaafu na kuachia cheo fulani cha kisiasa.
Zito hajang'atuka, bado yupo sana uwanjani. Maandishi yako yanathibitisha hilo.

Unadhani mada yaongelea misamiati ya kiswahili? Hayo si tulishakubaliana kuwaachia bakita maana maneno matupu hayavunji mfupa?

Tunachoongelea ni mahojia o ya Zitto na DW akijibu maswali yake kama alivyouluzwa:

Dw: Zitto afunguka yakiwamo ya u CCM B

Hiyo ndiyo title ya mada ambayo Moderator kea sababu zao wameamua kuubadilisha kuwa iliyopo. Hata hivyo kwa sasa niwaoongeze Moderator kwa maboresho mapya yaliyopo sasa baada ya kuwalalamikia.

Kutokea hapo jiridhishe kuwemo au kutokuwemo.kwenye mada.
 

..ukumbuke kwamba Act, Cdm, Cuf, Ccm, etc vyote ni vyama shindani.

..Kwasababu ni vyama shindani uwezekano mkubwa ni kwamba vina malengo tofauti, na vitatumia mbinu tofauti kufikia malengo hayo.

..Hata pale ambapo vyama vya siasa vilikuwa na malengo yanayofanana haikuwa jambo rahisi kuunganisha nguvu.

..Mfano mzuri kuhusu vyama shindani vilivyokuwa na malengo yanayofanana, lakini ikashindikana kuunganisha nguvu, ni vyama vya Zanu, na Zapu, vilivyokuwa vikipigania uhuru wa Zimbabwe.

..Kwa maoni yangu, ni vigumu kwa vyama vya siasa kuunganisha nguvu hapa Tz, au kwingine kokote, kwasababu kila chama kinaamini kiko ktk njia sahihi.


..Tunachoweza kushauri na kuhimiza ni vyama vya upinzani kutokuhujumiana wakati wowote vinapoendesha shughuli au harakati zao za kisiasa.
 

1. Umeandika vyema japo hapa Pana ukakasi:

..ukumbuke kwamba Act, Cdm, Cuf, Ccm, etc vyote ni vyama shindani.

Bila shaka ndiyo maana kuna makasiriko kwa wasiojitambua; wanadhani siasa ni ushindani kama Yanga na Simba.

2. Hapo #1 ingependeza zaidi kama ungesema ni vyama tofauti. Shindani kwani wanashindania nini?

3. Unaonaje maneno ya hekima akili kubwa haya toka Kwa nguli huyu:

Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM

4. Waonaje badala ya kuchagua mashindano, kuweka maslahi ya wananchi mbele?

5. Hudhani dhana potofu hii ya mashindano ndiyo inayoleta makasiriko haya baina ya vyama?

6. Hudhani siasa ni sayansi badala ya kukomaa kivyetu vyetu kwa maslahi ya nchi, labda ni muda sasa wa kutafuta hata ushauri nasaha kutoka kwa manguli wachache wanaobakia?
 
Zitto wewe uwe raqisi wa Tz? 😡 😡
Nitahama Tz na kamwe sitorudi tena asilani!
Zitto haaminiki popote pale na huyu ndie atatuuza wote!
 
Hivi kung'atuka Kwake mbona imekuw hoja ya kila siku au ndiyo mafanikio ya chama?

Hata ukitoka uongozini chama chenyewe kinafanya kazi Tunduru-Kigoma mjini-Magomeni na Pemba tu. Kina life circle ya Mende.
Shikilia hayo hayo wenzako Wana wabunge na mawaziri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…