Ubunge unalipa
Mkuu chama kimemshinda kukijenga,sio kazi ndogo1. Huoni kuwa ni mapungufu makubwa sana kumtaka yeyote kufanya ambavyo unadhani wewe kuwa ingekuwa bora zaidi?
2. Hapo #1, si ufanye wewe ili upate kufanikiwa zaidi? Au?
3. Wewe unaona chama ni kichanga lakini yeye si anaona tofauti?
Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
4. Hapo #3, kumbe waliokomaa madarakani ni kwa sababu vyama vyao bado ni vichanga?
5. Kwa hiyo hapo #4 wako kwenye kujenga vyama vyao kama makampuni kijasilia mali?
6. Hudhani huu ujasiliasiasa ndiyo asili ya kukwama kwetu kuyafurusha ma CCM madarakani?
Hudhani bila kupigania ruzuku za kufutwa, vipaumbele hakivitakaa kuwa ukombozi!
Naweka nukta hapa.CCM kawafanyia kazi nzuri, hivyo wameshamuahidi kumzawadia jimbo huko Kigoma kutokana na utii wake kwa mabwana zake.
Kila Muislam aliyeko kwenye nafasi ya uongozi nyie mnamwita mdini ilhali nyie ndiyo wadini wakubwa. Acheni huo ujinga na ubaguzi.Ni tapeli wa kisiasa sana huyo mdini.
Basi usijari Ndugu yangu, nitakupea Hongera zako kule kule.Kistaarabu nitasubiri hongera hizo baada ya kuwa umeufungua.
Au nasema uongo ndugu yangu .. !
Basi usijari Ndugu yangu, nitakupea Hongera zako kule kule.
Mkuu chama kimemshinda kukijenga,sio kazi ndogo
Na yeye ni mtu wa tamaa na kutaka vitu vya fasta,alipokuja kujua reality ya nini maana ya chama naona ameamua ale chake mapema
Kazi ya kujenga chama ni miaka 40 plus,kutoka sasa angekua na miaka 80,ale saa ngapi na yeye ni mzee wa pupa na tamaa?
Anaenda bungeni kutetea tumbo,na chama wameshika incompetent motherfvckers,hakuna chama humo,ni downhill,yeye as long anakula matunda ya bunge hana shida
Who cares!
hayo ni mafanikio ya ccm story zote hizi wanajaribu kumtekenya kamanda mbowe, yaani mbowe atakwepo sana. zito bado ni mmachinga wa kisiasaAkiongea na redio hiyo ya kimataifa jana mchana, mwanasiasa huyo amefunguka:
View attachment 2933149
Kwamba:
1. Ameamua kunga'atuka kwa mujibu wa katiba akikiacha chama kikiwa katika hali bora zaidi kuliko wakati wowote.
2. Hatarejea kwenye uongozi wa chama hicho kama katiba inavyotaka, kwani muda wake umekwisha; bali atasalia kuwa mwanachama.
3. Anayo imani kubwa na waliochukua hatamu za uongozi na kuwa hana shaka, chama kipo katika mikono salama.
4. Mzee Duni kujitoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, hakukuwa na shinikizo lolote.
5. Malalamiko yao kwenye "serikali yao ya nusu mkate Zanzibar" karidhika na alipofikia na yaliyopo ya nini kitafuata.
6. Kuwa anapanga kurejea bungeni agombee 2025.
7. Chama kikimhitaji kwa ushauri au kushiriki vikao yuko radhi.
8. Anazo ndoto za urais wakati wake ukifika, na hasa 2030 na huko mbele lakini si 2025.
9. Anaamini kwenye siasa za kuleta mabadiliko; kuwa hizo ziko bungeni.
10. Anatambua mbunge aliyepo Kigoma ni aliyetangazwa tu, lakini siyo aliyeshinda.
11. Kuhusu uchaguzi 2025 kuwa huru na haki; anaamini mazingira yatakuwa bora zaidi 2025, kwani 2020 yalikuwa mabaya mno na kuwa heri tungerejea hata kwa yaliyokuwa 2015.
12. Mabadiliko yaliyopo sasa kuwa hakuna kupita bila kupingwa, wenyeviti na makamu watapatikana tokea kwenye mchakato wenye usaili wa waombaji, nk yanatia moyo.
13. Kuhusu madai ya u CCM B wake; hajawahi kuwa CCM, amekuwa upinzani muda wote, hajawahi kuunga mkono juhudi. Hata hivyo anatambua siasa zake ni tofauti na za wengine, ambalo hilo ni suala binafsi.
Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Zitto Zuberi Kabwe.
Kwa hakika kama asemavyo Prof. Lwaitama adui yetu ni mmoja:
Lwaitama: Kwenye maslahi ya nchi, adui yetu ni CCM
mn`gatukaji kaona 2025 chama kitakuja kumfia mkononi ikabidi apishe kuondoa aibu pamoja na kwamba ni kwa mujibu wa katiba yaoZitto msaliti tu Hana jipya.
Umeumaliza huu uzi mkuuKwanza ni uwongo kuwa ameng'atuka. Yeye amemaliza muda wake wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya ACT.
Watu wengi wana akili ndogo. Wanakuza jambo dogo lionekane la ajabu!
Nyerere alinga'atuka. Mwinyi, Mkapa na Kikwete walimaliza muda wao kwa mujibu wa katiba, na wala halikuwahi kuwa jambo la ajabu kiasi cha kuongelea kila siku.
Huwezi kusema kuwa Mwinyi, Mkapa au Kikwete waling'atuka. Labda kama hujui Kiswahili wala maana ya neno kung'atuka.
Umewahi kumsikia Kikwete akisema kuwa aling'atuka? Halafu ikawa hadithi ya kila siku? Kama katiba ya ACT ina muda maalum wa kiongozi kuwa kwenye nafasi fulani, kuna nini cha ajabu?
Jiulize maswali halafu jijibu mwenyewe1. Chama kimemshinda? Kwani ulisomea wapi au ujuzi wa kuwatambua walioviweza au kuwashinda uliupata wapi?
2. Hapo #1, au ni ule uwalu walu wa makamanda uchwara wa kwetu tu?
3. "Yeye ni mtu wa tamaa?" Kwani wewe ni nani kuwa na mamlaka juu ya binadamu wengine kuzijua tamaa na maridhiko yao?
4. Kazi ya kujenga vyama ni miaka 40+? Huu muda ulifikiwa na nani?
5. Anaenda bungeni kutetea tumbo lake? Amekwambia yeye hivyo?
6. Kwamba hakuna chama humo ni ulaji tu? Unaonaje tushirikiane kudai ruzuku za vyama kufutwa ikiwamo kupunguzwa kwa mapato kwa wanasiasa kwa majina ya posho, mishahara au marupurupu?
Jiulize maswali halafu jijibu mwenyewe
I got no time for this nonsense
what difference does it make my nigga?Surely the below is uttered by a mere human being is utterly nonsense!
"Mkuu chama kimemshinda kukijenga,sio kazi ndogo
Na yeye ni mtu wa tamaa na kutaka vitu vya fasta,alipokuja kujua reality ya nini maana ya chama naona ameamua ale chake mapema
Kazi ya kujenga chama ni miaka 40 plus,kutoka sasa angekua na miaka 80,ale saa ngapi na yeye ni mzee wa pupa na tamaa?
Anaenda bungeni kutetea tumbo,na chama wameshika incompetent motherfvckers,hakuna chama humo,ni downhill,yeye as long anakula matunda ya bunge hana shida."
Good you have realized it though not early enough.
what difference does it make my nigga?
cant keep up with your nonsense
Mzee stick into SwahiliI happen not to be one!
More nonsense from a semi idiot day dreaming of owning others.
No wonder you assume to be the almighty. The below can never be from a sane human being:
Wyatt Mathewson said:
Mkuu chama kimemshinda kukijenga,sio kazi ndogo
Na yeye ni mtu wa tamaa na kutaka vitu vya fasta,alipokuja kujua reality ya nini maana ya chama naona ameamua ale chake mapema
Kazi ya kujenga chama ni miaka 40 plus,kutoka sasa angekua na miaka 80,ale saa ngapi na yeye ni mzee wa pupa na tamaa?
Anaenda bungeni kutetea tumbo,na chama wameshika incompetent motherfvckers,hakuna chama humo,ni downhill,yeye as long anakula matunda ya bunge hana shida
Who cares!
Mzee stick into Swahili
Umesoma wap English ya hovyo hivyo?
Geez
What I said about Zitto is what I stand with,what you have keep it for yourself!
He is a motherfvcker,msaliti,tamaa freak,no one trusts him,end of story!
Mengine yako,and infact,who cares!
Kingereza gani umeandika with garbage grammar mkuu?Good that you are at last getting back to your street colloquial.
Ukijulie wapi kiingereza mburula wewe? Nani aliyeanza kupima maji?
Kwa taarifa yako yamejaa.
Rudi shule ukasome!
Bure kabisa!