Zitto Kabwe: Tangu Mbowe anifukuze nimeanzisha Chama na Kinaongoza Serikali Kina Wabunge Wengi Zaidi yake nimestaafu na Sasa nalima Kahawa

Zitto Kabwe: Tangu Mbowe anifukuze nimeanzisha Chama na Kinaongoza Serikali Kina Wabunge Wengi Zaidi yake nimestaafu na Sasa nalima Kahawa

ACT aliikuta maana ilianzishwa 2014 na yeye kajoin 2015 inabidi tumuulize mr firsr chairman
Zitto na wenzake walikuwa nyuma ya pazia kwa sababu bado walikuwa CHADEMA wakati wanasubiri hukumu yao.
 
Act aliikuta
Watu mnasahau tu. Zitto na ACT ni kama ambavyo walifanya akina Nape na CCJ, yaani kuanzisha chama huku wakiwa wamewatanguliza watu wengine! Zitto na wenzake baada ya kuwa na tuhuma za kutaka kumpindua Mbowe ndo wakati ambapo ACT ilianzishwa. Lakini kwavile bado walikuwa CHADEMA huku wakiwa wamekalia kuti kavu (kulikuwa na kesi inasubiri maamuzi ya uhalali wao kuendelea kuwa CHADEMA), ikabidi wabaki nyuma ya pazia na kuwatanguliza wasio fahamika kuanzisha chama kingine kwa sababu wangekuwa front yale madai ya kutna ndo maana baada ya kuvuliwa uanachama rasmi, hapo hapo akiwa na Mkumbo na Mwigamba wakajiunga na ACT
 
Mbowe ameumiza watu wengi sana kwenye hizi siasa za Upinzani safari hii asiruhisiwe kabisa.

Mzee Mbowe Kamfukuza Zitto Kabwe Kisha jamaa kaanzisha chama Cha ACT Wazalendo Sasa Kinaongoza Serikali na kaamua kustaafu Mzee Mbowe yeye bado anafukuzia miaka ya MKwewe ili kustaafu (68)

View attachment 3206275
Bado hamjasema.Lisu mbeligiji atakuwa mwenyekiti wa chama huko Ubeligiji
 
Watu mnasahau tu. Zitto na ACT ni kama ambavyo walifanya akina Nape na CCJ, yaani kuanzisha chama huku wakiwa wamewatanguliza watu wengine! Zitto na wenzake baada ya kuwa na tuhuma za kutaka kumpindua Mbowe ndo wakati ambapo ACT ilianzishwa. Lakini kwavile bado walikuwa CHADEMA huku wakiwa wamekalia kuti kavu (kulikuwa na kesi inasubiri maamuzi ya uhalali wao kuendelea kuwa CHADEMA), ikabidi wabaki nyuma ya pazia na kuwatanguliza wasio fahamika kuanzisha chama kingine kwa sababu wangekuwa front yale madai ya kutna ndo maana baada ya kuvuliwa uanachama rasmi, hapo hapo akiwa na Mkumbo na Mwigamba wakajiunga na ACT
Zito hana ushawishi kabisa kisiasa
 
Wataalamu huwa wanamsemo "a greater dancer knows when to leave the stage" inanikumbusha miaka ya 1980 mwanzoni mwa miaka ya 1980 alikuwa bado undisputed akashauriwa astaafu record yake ikae vizuri pia kwa usalama wa afya yake akajiona bado yuko fit alipo ingia ulingoni alichakazwa mzee wa watu 🙌ujue kuna muda akili huwa inaona bado unaweza lakini mwili na umri vikakutaa

Hii Naiona Ata kwa Dr. Kimei alidhani akigombea ubunge atateuliwa kuwa waziri Baada ya kustaafu Ukurugenzi utendaji wa CRDB lakini wapi Hola haskiki
Wewe ni mdogo sana kwa Mbowe.

Wabunge unaojivunia ni wa Maalim Sefu; alipolazimika kuondoka Cuf alitafuta jukwaa tu la kudanyia siasa ndipo akaja ACT kwa sababu alioma akianzisha chama hakitapata usajili kwa mizengwe .

Ukitaka kujipima na Mbowe jipime kwa kulinganisha huku Bara.

Ulifukuzwa CDM kwa uhaini na inasimama hivyo.
 
Back
Top Bottom