Zitto Kabwe umefikia hatua ya kujidhalilisha? Hakika umeanza kuchanganyikiwa

nape nauye naye alishafanyaga kituko kama hiki. hv nape ni muslim?
 
Hivi Nape anasali wapi?
 
Kama huko nyumbani kwake tu hajiamini na anahangaika kukanyaga watu kwa msaada wa waganga, itakuwaje mikoa mingine?!
 

..mlaumu Zitto bila kumuunganisha na dini yake.

..hivyo alivyofanya sio sahihi, na utapelekea kuharibu mjadala mzima.
 
..mlaumu Zitto bila kumuunganisha na dini yake.

..hivyo alivyofanya sio sahihi, na utapelekea kuharibu mjadala mzima.

haya niambie awamu ipi watoto wenye ulemevu wa ngozi waliuliwa na kuchukuliwa viungo ? na ulishawahi kuwasikia watu kama akina zito wakiwatetea watoto waliouliwa au kukatwa mikono?
 

Na hawa ndiyo mamajusi wake 👇

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…