Zitto Kabwe: Vitabu nilivyosoma Mwaka 2022

Apandishe mizmu ya yule mama yake mwanga
Huyu mshenzi toka alipomtukana kipenzi cha wengi, marehemu John ndio nikajua ni mwendawazimu…hata vitabu anasoma ni kutokana na waandishi na maandishi kupendwa na wengi, sauti ya wengi ni ya Mungu… mchawi tu huyo mwamba…
 
Mungu akujalie uzima ndg Zuberi Ztto. Achana na hawa wasiopenda wengine wawe juu. Chuki humu jamii forum ni kubwa. Kuna watu hata wakifanya njema humu ndani watasingina tu. Lakini kwa watu wanajua siasa wewe ni miongoni mwao. Mrengo wako ni wa kati penye kusema ukweli unasema ukweli na penye kutoa kasoro unatoa na kwa hoja sio personal attackings.
Ulivyoingia kwa siasa ulihamasisha vijana kupenda siasa 2005.
Kuna watu wanataka uwe adui na watu wengine hawataki kabisa wakuone uko na akina makamba hata mkipiga story. Siasa sio vita ishi hivo hivo achana na fkra za baadhi za watu humu.
 
Naona huu uzi ni wa kijivuni tu na show off. Kwenye kundi la vijana wengi wanaosota mtaani bila ajira na hata wenye ajira vipato havitoshi halafu anatokea mpenda sifa Zitto na kudai "huwa ninasafiri na familia yangu kwenda nchi fulani"..... huu ni ukenge maji. Huko Mwandiga kunanuka umaskini lakini mbunge unajimwambafai kipuuzi. Kuna watu huwa wanaenda Ulaya kutazama tu mechi na kurudi ila huwezi kabisa kujua.
 
Du!! Wananchi wa humu wana hasira na wewe vipi mbona hujibu chochote? Au umetoka nduki. Je huwezi kubadilika ili uendane na matakwa ya jamiii? Au ndio umeshajifungia vioo husikii la muhazini wala la mnadi swala.
Siyo tabia yake kujibu maswali ama hoja kwenye uzi wake.

Kwa hiyo, utulie.
 
Bwana Zitto mimi wajibu wangu pendwa ni kukupatia ujumbe huu hapa,hayo mengine yakae pembeni kwanza😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Haitusaidii chochote sisi wana Mwandiga
 
Zitto sio chawa ila anatamani sana mabadiliko kiasi cha kuamini akijirahisisha kwao wenye nguvu huruma inaweza kuwajia na kupata angalau nusu mkate.
Mbona Zitto kasoma hivyo vitabu na hatofautiani na baba levo kwa uchawa
 
Zitto sio chawa ila anatamani sana mabadiliko kiasi cha kuamini akijirahisisha kwao wenye nguvu huruma inaweza kuwajia na kupata angalau nusu mkate.
Zzk ni zaidi ya chawa
 
Subiria majibu

Akikijibu uni tag

Ova
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Sisi inatuhusu nini sasa!!
 
Sisi wengine hatuna muda wakusoma vitabu tuko bize na ugumu wa maisha Hongera sana RUYAGWA
 
Nadhani angefanya personal tu. Kutangazia watu vitabu ulivyosoma ambavyo hakuna ushahidi wa kuthibitisha ni kujionesha.
Kweli..walau kwenye hotuba zake angekuwa akiweka rejea za vitabu alivyosoma la sivyo vinaweza kuwa 5, 10, 100 au hata 1,000 kwetu sie ni titles na numbers tu!!
 
Zitto ni mzalendo anayeipenda Tanzania zadi kuliko maslahi yake binafsi, tatizo huenda ni njia anazochagua kufikia malengo yake ya kisiasa.
Zzk ni zaidi ya chawa
 
Zitto pia ni realist zaidi kuliko idealist. Anafahamu ni kipi kinawezekana kwa mazingira yapi na wakati upi wa kisiasa na aina ya raia wengi wa nchi hii walivyo.
 

Vitabu unavyosoma vinatusaidia nini,,endelea kulamba asali
 
Unaweza kusema Mbowe analamba asali kama mataga wanavyodai?
Mataga kazi yao ni kuharibu ili waendelee kuuza umbea na kwa kufanya hivyo wanajipatia mkate wao wa kila siku
 
Mla rushwa, mdini, muuaji, mfitini, mjahidina, muongo, mzinzi, mnafiki, mlevi, mchawi, chawa chawa, jambazi, mwizi, roho mbaya, n.k.
 
Siasa za udalali

Udini

Chuki

Undumilakuwili.

Hivyo vitabu kusoma kote sijawahi Ona impact yake.

Hio knowledge huwa unaiapply wapi!?

Ushawahi kuona mjamaa anazurura kwa mabeberu.

"Usiwaamini wanasiasa..." -zitto kabwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…