Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Zitto Kabwe:
Uharibifu wa Uchumi unaofanywa na Serikali yaMagufuli ni mkubwa sana. Itachukua miaka 10 kurudi Hali ya mwaka 2015 ( ambayo nayo haikuwa nzuri) iwapo ataondolewa madarakani mwaka huu. Akipata miaka 5 mingine itachukua miongo 2 ( miaka 20, two decades) na Marais 2 kurudi 2015
Zitto Kabwe:
Uchumi unaanguka kwa sababu ya viongozi kukosa MAARIFA. Tunapaswa kuikoa nchi yetu sasa sio kesho. Mwagapombe2020.
Zitto Kabwe:
SGR kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Novemba, sasa kipo 70%. Kuisha mwaka kesho. Sasa mkopo wa Biashara wa Fedha za kigeni umechukuliwa. Riba 9%. Serikali ipo kwenye panic. Gharama za Ujenzi zinaongezeka ( costs over run ). Mbia mmoja wa Ujenzi ( Mreno) kabwaga manyanga
Zitto Kabwe:
Akaanza kujenga. Hela zikatoka kwenye mzunguko. Hali ya maisha ya wananchi ikawa mbaya, ukuaji wa mzunguko wa Fedha ( M3- money supply ukawa NEGATIVE). Serikali ikaanza kushindwa kulipa invoices za Mkandarasi, wakandarasi wadogo wakakimbia. Ujenzi ukasimama! Moro-Dom ikakwama
Zitto Kabwe:
Mradi wa Reli ya Kati ya SGR USD Bilioni 7.5 - Fedha UWEKEZAJI WA UBIA ( PPP ) kutoka Benki ya Exim ya China ulikataliwa na Rais Magufuli akiamini kuwa ni dili la mtangulizi wake. Akasema tutajenga wenyewe kwa kutumia Kodi. Tukamwambia haiwezekani (Assets-Liabilities Match )
zitto Kabwe:
Niongeze kidogo kuwa, Standard Chartered Bank inaunganisha Deni la $1.4bn halafu anasaini CEO wa Dar? Largest single foreign currency denominated loan by Tanzania? Backed by export credit agencies of Sweden and Denmark? Isainiwe vile? Riba ndio 9%? Desperation au nini?
Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Zitto Kabwe:
Ni kweli nilishauri mwaka 2016 kuwa hamwezi kujenga Mradi mkubwa wa Reli SGR kwa Kodi za wauza nyanya. Imewachukua miaka 4 kuelewa hilo na baada ya Reli kuishia Morogoro, Wakandarasi kutolipwa na kuahirisha uzinduzi mara 7. Kuendesha Nchi ni MAARIFA sio maguvu na Ukatili
Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Zitto Kabwe:
Mimi sijasema lolote. Nimemwaga data tu kutoka Benki Kuu kuhusu Deni la Taifa. Kwamba wakati Uchumi unakua kwa 4-5% kwa mwaka, Deni la Nje ( Foreign currency denominated) linakua kwa zaidi ya 18% kwa mwaka. Katika miaka 4, Serikali ya Magufuli imekopa zaidi ya miaka 10 ya Kikwete
Kitila Mkumbo:
Replying to Zitto Kabwe
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Uharibifu wa Uchumi unaofanywa na Serikali yaMagufuli ni mkubwa sana. Itachukua miaka 10 kurudi Hali ya mwaka 2015 ( ambayo nayo haikuwa nzuri) iwapo ataondolewa madarakani mwaka huu. Akipata miaka 5 mingine itachukua miongo 2 ( miaka 20, two decades) na Marais 2 kurudi 2015
Zitto Kabwe:
Uchumi unaanguka kwa sababu ya viongozi kukosa MAARIFA. Tunapaswa kuikoa nchi yetu sasa sio kesho. Mwagapombe2020.
Zitto Kabwe:
SGR kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Novemba, sasa kipo 70%. Kuisha mwaka kesho. Sasa mkopo wa Biashara wa Fedha za kigeni umechukuliwa. Riba 9%. Serikali ipo kwenye panic. Gharama za Ujenzi zinaongezeka ( costs over run ). Mbia mmoja wa Ujenzi ( Mreno) kabwaga manyanga
Zitto Kabwe:
Akaanza kujenga. Hela zikatoka kwenye mzunguko. Hali ya maisha ya wananchi ikawa mbaya, ukuaji wa mzunguko wa Fedha ( M3- money supply ukawa NEGATIVE). Serikali ikaanza kushindwa kulipa invoices za Mkandarasi, wakandarasi wadogo wakakimbia. Ujenzi ukasimama! Moro-Dom ikakwama
Zitto Kabwe:
Mradi wa Reli ya Kati ya SGR USD Bilioni 7.5 - Fedha UWEKEZAJI WA UBIA ( PPP ) kutoka Benki ya Exim ya China ulikataliwa na Rais Magufuli akiamini kuwa ni dili la mtangulizi wake. Akasema tutajenga wenyewe kwa kutumia Kodi. Tukamwambia haiwezekani (Assets-Liabilities Match )
zitto Kabwe:
Niongeze kidogo kuwa, Standard Chartered Bank inaunganisha Deni la $1.4bn halafu anasaini CEO wa Dar? Largest single foreign currency denominated loan by Tanzania? Backed by export credit agencies of Sweden and Denmark? Isainiwe vile? Riba ndio 9%? Desperation au nini?
Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Zitto Kabwe:
Ni kweli nilishauri mwaka 2016 kuwa hamwezi kujenga Mradi mkubwa wa Reli SGR kwa Kodi za wauza nyanya. Imewachukua miaka 4 kuelewa hilo na baada ya Reli kuishia Morogoro, Wakandarasi kutolipwa na kuahirisha uzinduzi mara 7. Kuendesha Nchi ni MAARIFA sio maguvu na Ukatili
Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Zitto Kabwe:
Mimi sijasema lolote. Nimemwaga data tu kutoka Benki Kuu kuhusu Deni la Taifa. Kwamba wakati Uchumi unakua kwa 4-5% kwa mwaka, Deni la Nje ( Foreign currency denominated) linakua kwa zaidi ya 18% kwa mwaka. Katika miaka 4, Serikali ya Magufuli imekopa zaidi ya miaka 10 ya Kikwete
Kitila Mkumbo:
Replying to Zitto Kabwe
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.