Zitto Kabwe vs Prof. Kitila Mkumbo juu ya ujenzi wa SGR

Zitto Kabwe vs Prof. Kitila Mkumbo juu ya ujenzi wa SGR

Siyo hivyo tu. Prof Kitila Mkumbo ni mpinzani wa kiukweli kweli ila kwa maadili ya kuwa yuko Serikalini hawezi kusema anachokiamini.

Ndiyo maana jibu lake ni la mkato kuwa pesa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo. Kwenye moyo wake anajua kuwa hii SGR ni uharibifu wa fedha za umma. Miradi hii haiwezi kulipika. Soon tunarudi kwenye status ya 1995 tulipokuwa tunaitwa ni nchi ya HIPC (Highly Indebted Poor Countries)
Kwa hiyo profesa kajibu kwa kifupi hivyo ili werevu wang'amue wenyewe kwamba nae haungi mkono ujenzi huo wa SGR siyo?
 
Zitto Kabwe:
Uharibifu wa Uchumi unaofanywa na Serikali yaMagufuli ni mkubwa sana. Itachukua miaka 10 kurudi Hali ya mwaka 2015 ( ambayo nayo haikuwa nzuri) iwapo ataondolewa madarakani mwaka huu. Akipata miaka 5 mingine itachukua miongo 2 ( miaka 20, two decades) na Marais 2 kurudi 2015

Zitto Kabwe:

Uchumi unaanguka kwa sababu ya viongozi kukosa MAARIFA. Tunapaswa kuikoa nchi yetu sasa sio kesho. Mwagapombe2020.

Zitto Kabwe:

SGR kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Novemba, sasa kipo 70%. Kuisha mwaka kesho. Sasa mkopo wa Biashara wa Fedha za kigeni umechukuliwa. Riba 9%. Serikali ipo kwenye panic. Gharama za Ujenzi zinaongezeka ( costs over run ). Mbia mmoja wa Ujenzi ( Mreno) kabwaga manyanga

Zitto Kabwe:

Akaanza kujenga. Hela zikatoka kwenye mzunguko. Hali ya maisha ya wananchi ikawa mbaya, ukuaji wa mzunguko wa Fedha ( M3- money supply ukawa NEGATIVE). Serikali ikaanza kushindwa kulipa invoices za Mkandarasi, wakandarasi wadogo wakakimbia. Ujenzi ukasimama! Moro-Dom ikakwama

Zitto Kabwe:

Mradi wa Reli ya Kati ya SGR USD Bilioni 7.5 - Fedha UWEKEZAJI WA UBIA ( PPP ) kutoka Benki ya Exim ya China ulikataliwa na Rais Magufuli akiamini kuwa ni dili la mtangulizi wake. Akasema tutajenga wenyewe kwa kutumia Kodi. Tukamwambia haiwezekani (Assets-Liabilities Match )

zitto Kabwe:

Niongeze kidogo kuwa, Standard Chartered Bank inaunganisha Deni la $1.4bn halafu anasaini CEO wa Dar? Largest single foreign currency denominated loan by Tanzania? Backed by export credit agencies of Sweden and Denmark? Isainiwe vile? Riba ndio 9%? Desperation au nini?

Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.

Zitto Kabwe:

Ni kweli nilishauri mwaka 2016 kuwa hamwezi kujenga Mradi mkubwa wa Reli SGR kwa Kodi za wauza nyanya. Imewachukua miaka 4 kuelewa hilo na baada ya Reli kuishia Morogoro, Wakandarasi kutolipwa na kuahirisha uzinduzi mara 7. Kuendesha Nchi ni MAARIFA sio maguvu na Ukatili

Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.


Zitto Kabwe:
Mimi sijasema lolote. Nimemwaga data tu kutoka Benki Kuu kuhusu Deni la Taifa. Kwamba wakati Uchumi unakua kwa 4-5% kwa mwaka, Deni la Nje ( Foreign currency denominated) linakua kwa zaidi ya 18% kwa mwaka. Katika miaka 4, Serikali ya Magufuli imekopa zaidi ya miaka 10 ya Kikwete

Kitila Mkumbo:
Replying to Zitto Kabwe
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Hililililopo tu linawashinda , hiyo ya umeme ndo wataweza ?? Tz kwakweli sijui tulimkosea Nini Mungu
 
Lakini mbona kamati za bunge wanatembelea sana miradi wa SGR na wanajiridhisha? Hizo kamati zinawabunge wa upinzani pia. Hata hivyo ukilinganisha na Kenya, Tanzania imejengwa kwa bei poa kwa kila kilomita ya reli. Kwa hiyo kama mradi ungekuwa na madudu nadhani ungetugharimu zaidi ya majirani zetu.

..unaiamini kamati ya bunge?

..sidhani kama tunapaswa kujilinganisha na Kenya kila wakati.

..na sina uhakika kama gharama zetu zikiwa chini ya gharama za Kenya basi maana yake mradi wetu uko vizuri.
 
Sijui ni coincidence au ni utaratibu uliopngwa lakini siku za nyuma mimi nimebaini kuna wakosoaji wa serikali ambao wakichangia kwenye mitandao lazima wajibiwe na watu specific. Watu hao ni pamoja na Lissu. Siku za nyuma Zitto alikuwa akijibiwa na Kafulila na baadaye Mwigulu. Naona sasa Prof. Mkumbo naye amekuwa detailed kwa kazi hiyo!
 
Kitia makombo nawenzie huko waliko wanakula Makuku na mivinyo ya italia wanacheka hyahyahwaaahaaa hku wanashika baamedi vishundu... watajali kweli nchi kudaiwa? Muwage siriazi kidogo!!
 
Zitto Kabwe:
Uharibifu wa Uchumi unaofanywa na Serikali yaMagufuli ni mkubwa sana. Itachukua miaka 10 kurudi Hali ya mwaka 2015 ( ambayo nayo haikuwa nzuri) iwapo ataondolewa madarakani mwaka huu. Akipata miaka 5 mingine itachukua miongo 2 ( miaka 20, two decades) na Marais 2 kurudi 2015

Zitto Kabwe:

Uchumi unaanguka kwa sababu ya viongozi kukosa MAARIFA. Tunapaswa kuikoa nchi yetu sasa sio kesho. Mwagapombe2020.

Zitto Kabwe:

SGR kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Novemba, sasa kipo 70%. Kuisha mwaka kesho. Sasa mkopo wa Biashara wa Fedha za kigeni umechukuliwa. Riba 9%. Serikali ipo kwenye panic. Gharama za Ujenzi zinaongezeka ( costs over run ). Mbia mmoja wa Ujenzi ( Mreno) kabwaga manyanga

Zitto Kabwe:

Akaanza kujenga. Hela zikatoka kwenye mzunguko. Hali ya maisha ya wananchi ikawa mbaya, ukuaji wa mzunguko wa Fedha ( M3- money supply ukawa NEGATIVE). Serikali ikaanza kushindwa kulipa invoices za Mkandarasi, wakandarasi wadogo wakakimbia. Ujenzi ukasimama! Moro-Dom ikakwama

Zitto Kabwe:

Mradi wa Reli ya Kati ya SGR USD Bilioni 7.5 - Fedha UWEKEZAJI WA UBIA ( PPP ) kutoka Benki ya Exim ya China ulikataliwa na Rais Magufuli akiamini kuwa ni dili la mtangulizi wake. Akasema tutajenga wenyewe kwa kutumia Kodi. Tukamwambia haiwezekani (Assets-Liabilities Match )

zitto Kabwe:

Niongeze kidogo kuwa, Standard Chartered Bank inaunganisha Deni la $1.4bn halafu anasaini CEO wa Dar? Largest single foreign currency denominated loan by Tanzania? Backed by export credit agencies of Sweden and Denmark? Isainiwe vile? Riba ndio 9%? Desperation au nini?

Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.

Zitto Kabwe:

Ni kweli nilishauri mwaka 2016 kuwa hamwezi kujenga Mradi mkubwa wa Reli SGR kwa Kodi za wauza nyanya. Imewachukua miaka 4 kuelewa hilo na baada ya Reli kuishia Morogoro, Wakandarasi kutolipwa na kuahirisha uzinduzi mara 7. Kuendesha Nchi ni MAARIFA sio maguvu na Ukatili

Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.


Zitto Kabwe:
Mimi sijasema lolote. Nimemwaga data tu kutoka Benki Kuu kuhusu Deni la Taifa. Kwamba wakati Uchumi unakua kwa 4-5% kwa mwaka, Deni la Nje ( Foreign currency denominated) linakua kwa zaidi ya 18% kwa mwaka. Katika miaka 4, Serikali ya Magufuli imekopa zaidi ya miaka 10 ya Kikwete

Kitila Mkumbo:
Replying to Zitto Kabwe
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Hawa ni marafiki kuna kamchezo wanacheza hapa!
 
..unaiamini kamati ya bunge?

..sidhani kama tunapaswa kujilinganisha na Kenya kila wakati.

..na sina uhakika kama gharama zetu zikiwa chini ya gharama za Kenya basi maana yake mradi wetu uko vizuri.
Kamati za bunge si zina wabunge wa pande zote (serikali na upinzani)? Kuamini au kutoamini ni swala lingine lakini kisheria wao ndio masikio na macho ya wananchi na hatuwezi kuwakwepa.

Ukija kwenye kulinganisha reli ya Kenya na ya Tanzania, Tanzania imeweza kujenga reli ya urefu unaokaribina na wake kwa nusu ya bei. KE $3.6 bilioni vs TZ $1.2 billion. Hapo utaona kama hata kama watu wanaficha chochote (kitu ambacho sio kweli) itakuwa hela ya kununulia mboga.
 
Zito Kabwe siyo smart kichwani, ni mradi Dunia hii ambao haongezeki gharama ukilinganisha na gharama ya awali? Hiyo ni kawaida sana kwenye miradi yote hata nyumba yako binafsi tu.

Na kwa kuwa huyu jamaa siyo intelligent hakuna mahali ataenda kisiasa, 2020
wanamwaga Ubunge halafu kwisha habari yake.
Hafu jamaa ni power monger kwa sasa anafikiria kulia matunda pori tu ikulu. Sijui alisoma wapi huo uchumi. Anatuletea siasa za chuki tu nchini . Sijui akienda nje anadhani miundombinu anayoiona imejengwa kwa bei ya migebuka ? Wajameni shame on our future oppositions
 
Hiyo SGR itabeba mzigo gani?
Kibandari hiki kidogo cha Dar kitaisupply mzigo wa kutosha?
Bora tungejenga na bandari ya bagamoyo
 
Kitila Mkumbo:
Replying to Zitto Kabwe
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Mada hii ingekuwa kabambe kweli kweli, kama Kitila Mkumbo angeacha kuwa kama 'Robot'. Najua hana uwezo wa kuzijibu hoja za Zitto.

Naye ajitahidi kupata msaada wa data, au amlete Profesa wa Uchumi toka 'Jalalani' tumpambanishe na huyu mchumi mwanasiasa kijana Zitto.

Pangekuwa na utaratibu kama huu, sisi wengine tungekuwa wasomaji tu na kujifunza kama tumo darasani

JF ingekuwa na hadhi kubwa sana!

Hoja za Zitto zinahitaji kujibiwa. Profesa wa (nini vile? Psychology?) hana uwezo wa kuzijibu.
 
Zitto akagombee Burundi apate urais....tz kakwama.
Wanafiki ndio wanakwamisha nchi. Kitila anapotosha hoja ya uchumi wa nchi akijua fika kuwa anachokisema si kweli. Kabla mhe hajapewa ulaji serikalini hoja zake zilikuwa zinasimama. Sasa hivi anashangaza.
Lakini hii ndiyo hulka ya wasomi wa nchi hii. Wapo wale waliotuingiza chaka la makanikia (yamekosa wanunuzi), akini Bashiru, nk.
Mwalimu Nyerere alikuwa "intellectual" na aliziishi busara zake. Hakuwa kiongozi wa kudanganyika kirejareja. Mawaziri na watendaji wake walimjua. Aliwahi kusema:
". . . mtu akikushauri vibaya ukakubali ukijua ushauri wake si mzuri, basi atakuona ni mpumbavu na atakudharau . . ."

Bora hata ujenzi wa miradi mikubwa lakini si uwekezaji mkubwa kwenye ununuzi wa ndege za kwenda India, SA, na Chato. Hakuna return on investment (ROI) ya kurejesha mtaji na riba kwa muda unaokubalika. Hesabu za ATCL kama zilivyo za TISS na Ofisi ya Rais (pamoja na kwamba kwa sasa inafanya kazi za Wizara ya Fedha na mipango) hazikaguliwi!

Nyerere Hydro Power Project (NHPP) lilikuwa wazo la Mwl Nyerere kama la makao makuu ya nchi kuhamia Dodoma. Alisita kutekeleza mipango hiyo kwa sababu ya thathmini ya hali ya uchumi. Tuje kwenye SGR.

Zaidi ya 80% ya watanzania wako vijijini. Ajira yao ni Kilimo. The best strategy ni kuendekeza kilimo kwa kujenga miundombinu. Wakulima na wafugaji wasitegemee mvua tu. Uhaba wa chakula nchini ni matokeo ya wimbo wa "kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi wa nchi yetu". Nyimbo za " Tanzania ya viwanda na uchumi wa kati", SGR, umeme wa Stieglers Gorge . . . mg 2015; "haijawahi kutokea tangu tupate uhuru . . ."

Wananchi wanateseka na hali ngumu ya maisha. Wanakamuliwa pesa. Zinapelekwa kwenye miradi. Hata hivyo hazitoshi. Tunakopa mikopo inayoratibiwa na Standard Chartered Bank, nk., benki za kibiashara. "Mabeberu" hayatatusamehe kulipa. Tukinyimwa na fedha na WB serikali inapiga kelele ajabu. Tutamaliza kulipa 3.3 trl/= lenye riba ya 18% (compound) leo?
Kwa vile wao na familia zao hawaguswi na hali hiyo, pofu linawatoka.
 
Kutila mkumbo hajawahi kuwa mpinzani.yule alikuwa mtu wa TISS alipandikizwa upinzani.
Unakumbuka kilichotokea alipokuwa president wa Daruso 1994 wakati wa kunji
Siyo hivyo tu. Prof Kitila Mkumbo ni mpinzani wa kiukweli kweli ila kwa maadili ya kuwa yuko Serikalini hawezi kusema anachokiamini.

Ndiyo maana jibu lake ni la mkato kuwa pesa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo. Kwenye moyo wake anajua kuwa hii SGR ni uharibifu wa fedha za umma. Miradi hii haiwezi kulipika. Soon tunarudi kwenye status ya 1995 tulipokuwa tunaitwa ni nchi ya HIPC (Highly Indebted Poor Countries)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Riba kwa benki za kibiashara ni kubwa mno .Linganisha riba ya 9% stanbic na lending rate ya 3.5% miradi inayo fadhiliwa na ADB. Desperate times call for desperate measures.

In jiwe's case it is rather chaos calls for even more chaotic measures
 
Haueleweki .. nimeelewa ulipotoa povu la tusi tu basi.
Hata darasani mwalimu akifundisha siyo wote wanamuelewa mara moja. Na wengine hawaelewi kabisa kabisa na ndiyo hupata F kwenye mitihani.
 
Hata darasani mwalimu akifundisha siyo wote wanamuelewa mara moja. Na wengine hawaelewi kabisa kabisa na ndiyo hupata F kwenye mitihani.
Ukiona hivyo ujue mwalimu kaishiwa mbinu za kufundisha. Kama wewe.
 
Back
Top Bottom