Zitto Kabwe vs Prof. Kitila Mkumbo juu ya ujenzi wa SGR

Zitto Kabwe vs Prof. Kitila Mkumbo juu ya ujenzi wa SGR

Aliyekua Kamishna Jenerali wa TRA Bwana Harry Kitilya na wenzake wanakesi inayoendelea mahakamani baada ya kufanikisha serikali (awamu ya nne) kupewa mkopo na Standard Bank(Stanbic) wenye riba ya 2.5%. Inasemekana Standard Bank riba yao ilikua ni 1.5 lakini washtakiwa ambao walikua kama ma Agents/Dalali waliweka "CHA JUU" 1%.

Siingilii mwenendo wa shauri hilo wala siingii kwenye details za kesi. Hoja yangu ni kwamba riba ya Standard Bank iliyotoa ule mkopo ukichanganya na hiyo "disputed" percentage ya 1% ambayo inasemekana imeliingizia taifa hasara ya US$ 6mil bado ni ndogo kwa zaidi ya mara tatu ukilinganisha na huu mkopo wa Standard Chartered!

Serikali ilikua desparate kwenye kupata huu mkopo? Kwa maoni yangu walistahili a better deal kuliko kiwango cha asilimia 9 kwani ni kubwa sana sana
 
Zito Kabwe siyo smart kichwani, ni mradi Dunia hii ambao haongezeki gharama ukilinganisha na gharama ya awali? Hiyo ni kawaida sana kwenye miradi yote hata nyumba yako binafsi tu.

Na kwa kuwa huyu jamaa siyo intelligent hakuna mahali ataenda kisiasa, 2020
wanamwaga Ubunge halafu kwisha habari yake.
2016 aliposema hamuwezi kujenga kwa pesa za ndani mlimjibu nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja za Zitto kuhusu utekelezaji miradi mikubwa zina mantiki, serikali ya sasa izatafakari na iangalie jinsi ya kuzifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom