Zitto Kabwe vs Prof. Kitila Mkumbo juu ya ujenzi wa SGR

Sio kama itatokea wasaliti kushinda uchaguzi lakini ukisema itakuchukua miaka 20 kuweka nchi sawa, inamaanisha unajiwekea kinga kama ukitenda mabaya usilaumiwe. That's not leadership.

..mimi wasiwasi wangu hii SGR inaweza kuwa na MAKOROKOCHO kibao tusiyoyahitaji kama yaliyokuwepo kwenye mkataba wa Kangi Lugola.

..mradi ni wa waTz wote lakini kuna USIRI mkubwa na sioni kama ujenzi wenyewe una ukaguzi wa kutosha toka kwa wabunge.
 
Unamaanisha hakuchaguliwa kwa kura Bali kapewa na Kikwete?Mfumo wetu wa Uchaguzi ni wa hovyo kiasi hicho?Je,si bora tungefanyia fedha tunazopoteza kuchagua kufanya mambo mengine?
Tudai Katiba Mpya ya Wananchi kuondoa hawa watawala tuweke viongozi wetu.
 
Mh. Zitto anajenga hoja nzito zilizojaa madini ya mambo ya kiuchumi, Prof. Mkumbo anajibu "very lightly" tena kwa jibu moja tu lenye kuonyesha jibu la jumla. Tatizo la wasomi wanao mzunguka Mh. Rais wanakwepa kumwambia ukweli na uhalisia wa mambo. Wanakwepa kusimama ktk nafasi zao kama wasomi, isipokuwa wamebaki kuvizia kumsifia tu hisia zake, kwa ajili ya matumbo yao na wala si vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Profesa yuko business anakula,akiongea sana atatema.Umesahau nidhamu yetu.Usionge wakati wa kula utakuwa mbea? Kitila Mkumbo
 
Kichwa kichafu hiki sasa hivi, kikwetu kuna msemo kuwa

"EMBUZI EMPUBI TOSIBIKAO YAWE"

Maana yake ni kwamba UKIONA MBUZI MKOROFI MLAFI NA ANAYEPENDA KULA MAZAO YA WATU EPUKA KUFUNGA MBUZO WAKO MWENYE TABIA NZURI NA MBUZI WA NAMNA HII.

Kitila aliyekuwa UDSM na huyu wa sasa wakikutana watapigana mpka kuuana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza jazba za kike alafu jibu hoja kwa hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..mimi wasiwasi wangu hii SGR inaweza kuwa na MAKOROKOCHO kibao tusiyoyahitaji kama yaliyokuwepo kwenye mkataba wa Kangi Lugola.

..mradi ni wa waTz wote lakini kuna USIRI mkubwa na sioni kama ujenzi wenyewe una ukaguzi wa kutosha toka kwa wabunge.
Huwa naona kina Stive Nyerere na wema sepetu ndiyo hupelekwa kwenda kukagua huu mradi na kupiga picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asipokuwa mbunge ndo anashindwa kutoa hoja kama hizi? Au atanyimwa viza ya kwenda nje kama mkuu wa mkoa fulani?
 

Sio miaka 20?
 
Sio miaka 20?

..Asante.

..Lakini ni miaka 20 tangu lini?

..miaka 20 tangu mradi kuisha?

..huu mkopo sisi [ waTanzania ] ndiyo tumeuchukua. Sisi ndiyo tutaokuja kulipa. Hivyo basi tunapaswa kupewa taarifa za kutosha kuhusu mkopo huo.
 
..mimi wasiwasi wangu hii SGR inaweza kuwa na MAKOROKOCHO kibao tusiyoyahitaji kama yaliyokuwepo kwenye mkataba wa Kangi Lugola.

..mradi ni wa waTz wote lakini kuna USIRI mkubwa na sioni kama ujenzi wenyewe una ukaguzi wa kutosha toka kwa wabunge.
Lakini mbona kamati za bunge wanatembelea sana miradi wa SGR na wanajiridhisha? Hizo kamati zinawabunge wa upinzani pia. Hata hivyo ukilinganisha na Kenya, Tanzania imejengwa kwa bei poa kwa kila kilomita ya reli. Kwa hiyo kama mradi ungekuwa na madudu nadhani ungetugharimu zaidi ya majirani zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…