Kwa hiyo profesa kajibu kwa kifupi hivyo ili werevu wang'amue wenyewe kwamba nae haungi mkono ujenzi huo wa SGR siyo?Siyo hivyo tu. Prof Kitila Mkumbo ni mpinzani wa kiukweli kweli ila kwa maadili ya kuwa yuko Serikalini hawezi kusema anachokiamini.
Ndiyo maana jibu lake ni la mkato kuwa pesa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo. Kwenye moyo wake anajua kuwa hii SGR ni uharibifu wa fedha za umma. Miradi hii haiwezi kulipika. Soon tunarudi kwenye status ya 1995 tulipokuwa tunaitwa ni nchi ya HIPC (Highly Indebted Poor Countries)
Riba kwa benki za kibiashara ni kubwa mno .Linganisha riba ya 9% stanbic na lending rate ya 3.5% miradi inayo fadhiliwa na ADB. Desperate times call for desperate measures.Kwa mkopo mkubwa kama huo kuwekewa riba 9% for 20yrs unaona nafuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hililililopo tu linawashinda , hiyo ya umeme ndo wataweza ?? Tz kwakweli sijui tulimkosea Nini MunguZitto Kabwe:
Uharibifu wa Uchumi unaofanywa na Serikali yaMagufuli ni mkubwa sana. Itachukua miaka 10 kurudi Hali ya mwaka 2015 ( ambayo nayo haikuwa nzuri) iwapo ataondolewa madarakani mwaka huu. Akipata miaka 5 mingine itachukua miongo 2 ( miaka 20, two decades) na Marais 2 kurudi 2015
Zitto Kabwe:
Uchumi unaanguka kwa sababu ya viongozi kukosa MAARIFA. Tunapaswa kuikoa nchi yetu sasa sio kesho. Mwagapombe2020.
Zitto Kabwe:
SGR kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Novemba, sasa kipo 70%. Kuisha mwaka kesho. Sasa mkopo wa Biashara wa Fedha za kigeni umechukuliwa. Riba 9%. Serikali ipo kwenye panic. Gharama za Ujenzi zinaongezeka ( costs over run ). Mbia mmoja wa Ujenzi ( Mreno) kabwaga manyanga
Zitto Kabwe:
Akaanza kujenga. Hela zikatoka kwenye mzunguko. Hali ya maisha ya wananchi ikawa mbaya, ukuaji wa mzunguko wa Fedha ( M3- money supply ukawa NEGATIVE). Serikali ikaanza kushindwa kulipa invoices za Mkandarasi, wakandarasi wadogo wakakimbia. Ujenzi ukasimama! Moro-Dom ikakwama
Zitto Kabwe:
Mradi wa Reli ya Kati ya SGR USD Bilioni 7.5 - Fedha UWEKEZAJI WA UBIA ( PPP ) kutoka Benki ya Exim ya China ulikataliwa na Rais Magufuli akiamini kuwa ni dili la mtangulizi wake. Akasema tutajenga wenyewe kwa kutumia Kodi. Tukamwambia haiwezekani (Assets-Liabilities Match )
zitto Kabwe:
Niongeze kidogo kuwa, Standard Chartered Bank inaunganisha Deni la $1.4bn halafu anasaini CEO wa Dar? Largest single foreign currency denominated loan by Tanzania? Backed by export credit agencies of Sweden and Denmark? Isainiwe vile? Riba ndio 9%? Desperation au nini?
Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Zitto Kabwe:
Ni kweli nilishauri mwaka 2016 kuwa hamwezi kujenga Mradi mkubwa wa Reli SGR kwa Kodi za wauza nyanya. Imewachukua miaka 4 kuelewa hilo na baada ya Reli kuishia Morogoro, Wakandarasi kutolipwa na kuahirisha uzinduzi mara 7. Kuendesha Nchi ni MAARIFA sio maguvu na Ukatili
Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Zitto Kabwe:
Mimi sijasema lolote. Nimemwaga data tu kutoka Benki Kuu kuhusu Deni la Taifa. Kwamba wakati Uchumi unakua kwa 4-5% kwa mwaka, Deni la Nje ( Foreign currency denominated) linakua kwa zaidi ya 18% kwa mwaka. Katika miaka 4, Serikali ya Magufuli imekopa zaidi ya miaka 10 ya Kikwete
Kitila Mkumbo:
Replying to Zitto Kabwe
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Lakini mbona kamati za bunge wanatembelea sana miradi wa SGR na wanajiridhisha? Hizo kamati zinawabunge wa upinzani pia. Hata hivyo ukilinganisha na Kenya, Tanzania imejengwa kwa bei poa kwa kila kilomita ya reli. Kwa hiyo kama mradi ungekuwa na madudu nadhani ungetugharimu zaidi ya majirani zetu.
Hawa ni marafiki kuna kamchezo wanacheza hapa!Zitto Kabwe:
Uharibifu wa Uchumi unaofanywa na Serikali yaMagufuli ni mkubwa sana. Itachukua miaka 10 kurudi Hali ya mwaka 2015 ( ambayo nayo haikuwa nzuri) iwapo ataondolewa madarakani mwaka huu. Akipata miaka 5 mingine itachukua miongo 2 ( miaka 20, two decades) na Marais 2 kurudi 2015
Zitto Kabwe:
Uchumi unaanguka kwa sababu ya viongozi kukosa MAARIFA. Tunapaswa kuikoa nchi yetu sasa sio kesho. Mwagapombe2020.
Zitto Kabwe:
SGR kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Novemba, sasa kipo 70%. Kuisha mwaka kesho. Sasa mkopo wa Biashara wa Fedha za kigeni umechukuliwa. Riba 9%. Serikali ipo kwenye panic. Gharama za Ujenzi zinaongezeka ( costs over run ). Mbia mmoja wa Ujenzi ( Mreno) kabwaga manyanga
Zitto Kabwe:
Akaanza kujenga. Hela zikatoka kwenye mzunguko. Hali ya maisha ya wananchi ikawa mbaya, ukuaji wa mzunguko wa Fedha ( M3- money supply ukawa NEGATIVE). Serikali ikaanza kushindwa kulipa invoices za Mkandarasi, wakandarasi wadogo wakakimbia. Ujenzi ukasimama! Moro-Dom ikakwama
Zitto Kabwe:
Mradi wa Reli ya Kati ya SGR USD Bilioni 7.5 - Fedha UWEKEZAJI WA UBIA ( PPP ) kutoka Benki ya Exim ya China ulikataliwa na Rais Magufuli akiamini kuwa ni dili la mtangulizi wake. Akasema tutajenga wenyewe kwa kutumia Kodi. Tukamwambia haiwezekani (Assets-Liabilities Match )
zitto Kabwe:
Niongeze kidogo kuwa, Standard Chartered Bank inaunganisha Deni la $1.4bn halafu anasaini CEO wa Dar? Largest single foreign currency denominated loan by Tanzania? Backed by export credit agencies of Sweden and Denmark? Isainiwe vile? Riba ndio 9%? Desperation au nini?
Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Zitto Kabwe:
Ni kweli nilishauri mwaka 2016 kuwa hamwezi kujenga Mradi mkubwa wa Reli SGR kwa Kodi za wauza nyanya. Imewachukua miaka 4 kuelewa hilo na baada ya Reli kuishia Morogoro, Wakandarasi kutolipwa na kuahirisha uzinduzi mara 7. Kuendesha Nchi ni MAARIFA sio maguvu na Ukatili
Kitila Mkumbo:
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Zitto Kabwe:
Mimi sijasema lolote. Nimemwaga data tu kutoka Benki Kuu kuhusu Deni la Taifa. Kwamba wakati Uchumi unakua kwa 4-5% kwa mwaka, Deni la Nje ( Foreign currency denominated) linakua kwa zaidi ya 18% kwa mwaka. Katika miaka 4, Serikali ya Magufuli imekopa zaidi ya miaka 10 ya Kikwete
Kitila Mkumbo:
Replying to Zitto Kabwe
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Kamati za bunge si zina wabunge wa pande zote (serikali na upinzani)? Kuamini au kutoamini ni swala lingine lakini kisheria wao ndio masikio na macho ya wananchi na hatuwezi kuwakwepa...unaiamini kamati ya bunge?
..sidhani kama tunapaswa kujilinganisha na Kenya kila wakati.
..na sina uhakika kama gharama zetu zikiwa chini ya gharama za Kenya basi maana yake mradi wetu uko vizuri.
Hafu jamaa ni power monger kwa sasa anafikiria kulia matunda pori tu ikulu. Sijui alisoma wapi huo uchumi. Anatuletea siasa za chuki tu nchini . Sijui akienda nje anadhani miundombinu anayoiona imejengwa kwa bei ya migebuka ? Wajameni shame on our future oppositionsZito Kabwe siyo smart kichwani, ni mradi Dunia hii ambao haongezeki gharama ukilinganisha na gharama ya awali? Hiyo ni kawaida sana kwenye miradi yote hata nyumba yako binafsi tu.
Na kwa kuwa huyu jamaa siyo intelligent hakuna mahali ataenda kisiasa, 2020
wanamwaga Ubunge halafu kwisha habari yake.
Mada hii ingekuwa kabambe kweli kweli, kama Kitila Mkumbo angeacha kuwa kama 'Robot'. Najua hana uwezo wa kuzijibu hoja za Zitto.Kitila Mkumbo:
Replying to Zitto Kabwe
Hoja ya msingi ni hizo hela zinakwenda wapi. Tunajua kwa dhati kabisa fedha inayokopwa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo na inaonekana. Ni wewe uliyeshauri kwa bidii kuwa tusijenge miradi hii kwa hela za ndani.
Wanafiki ndio wanakwamisha nchi. Kitila anapotosha hoja ya uchumi wa nchi akijua fika kuwa anachokisema si kweli. Kabla mhe hajapewa ulaji serikalini hoja zake zilikuwa zinasimama. Sasa hivi anashangaza.Zitto akagombee Burundi apate urais....tz kakwama.
Siyo hivyo tu. Prof Kitila Mkumbo ni mpinzani wa kiukweli kweli ila kwa maadili ya kuwa yuko Serikalini hawezi kusema anachokiamini.
Ndiyo maana jibu lake ni la mkato kuwa pesa inakwenda kwenye miradi ya maendeleo. Kwenye moyo wake anajua kuwa hii SGR ni uharibifu wa fedha za umma. Miradi hii haiwezi kulipika. Soon tunarudi kwenye status ya 1995 tulipokuwa tunaitwa ni nchi ya HIPC (Highly Indebted Poor Countries)
Riba kwa benki za kibiashara ni kubwa mno .Linganisha riba ya 9% stanbic na lending rate ya 3.5% miradi inayo fadhiliwa na ADB. Desperate times call for desperate measures.
annualy au yote, grace period ni miaka mingapiriba 9% kwa miaka 20 siyo mbaya
Yes Sir! Aliyesoma kasoma, kila anachojibu kiangalie mara mbili mbili.Kwa hiyo profesa kajibu kwa kifupi hivyo ili werevu wang'amue wenyewe kwamba nae haungi mkono ujenzi huo wa SGR siyo?
Hata darasani mwalimu akifundisha siyo wote wanamuelewa mara moja. Na wengine hawaelewi kabisa kabisa na ndiyo hupata F kwenye mitihani.Haueleweki .. nimeelewa ulipotoa povu la tusi tu basi.
Ukiona hivyo ujue mwalimu kaishiwa mbinu za kufundisha. Kama wewe.Hata darasani mwalimu akifundisha siyo wote wanamuelewa mara moja. Na wengine hawaelewi kabisa kabisa na ndiyo hupata F kwenye mitihani.