Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Ni account yake na ipo verifiedSio ya kuwaamini sana Kama ni account yake sidhani Kama anaweza sema haya
Amelewa basi
You never know huenda huko ndiko zilikouzwa kadi nyingi zaidi za chama chakeJe ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Ni yeyeSio ya kuwaamini sana Kama ni account yake sidhani Kama anaweza sema haya
Ni maoni yake.. Yaheshimiwe..[emoji23] lakini kumbuka huyu ni supika tuuHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
π€ Ajabu sana. Maoni ya hovyo tena ya kidini na kibaguzi kutoka kwa mtu makini na kiongozi wa chamaHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Akanushe mwenyewe kama sio Account yake!Sio ya kuwaamini sana Kama ni account yake sidhani Kama anaweza sema haya
Na mimi m KKKT mwenzako nakuunga mkono πMi mlutheli ila mpaka mtu mdini kama zitto kabwe ambaye hapendi ukristo hata kidogo ,anakusifia.., JUA KUNA MAHALI KUNA SHIDA KKKT
Mzee Makamba ni KKKT ππππ₯Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app