Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Ameona atumie njia hii kuleta chuki baina ya KKKT na TEC......Hakuna KKKT anayeunga mkono mazingaombwe yanayoendelea.
 
Popote alipo Mpendwa wetu Zitto Kabwe namtangazia Ubatizo kwa Uwezo wa Roho Mtakatifu na Mungu wa mbinguni ambariki sana

Kuitambua na Kuitangaza Injili ya Yesu Kristo katika Dunia ya Leo ni Jambo kubwa sana Mungu wa mbinguni mbariki Zitto Kabwe

Yesu alisema, Enendeni Ulumwenguni Mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe mkiwafundisha na Kuwabatiza Kwa Jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu amen!
 
Kumbe KKKT kweli wanatumika na serikali ya Samia kuifichia maovu yake, kusifiwa na ndumilakuwili wa sampuli ya Zitto kunalishushia heshima hilo kanisa, wala hapo tusidanganyane.

Nitasimama na wale wasiojua wala kuukumbatia unafiki siku zote, TEC wamesimama wakahesabiwa, tunaojielewa tumewaelewa.
 
Kumbe KKKT kweli wanatumika na serikali ya Samia kuifichia maovu yake, kusifiwa na ndumilakuwili wa sampuli ya Zitto kunalishushia heshima hilo kanisa, wala hapo tusidanganyane.

Nitasimama na wale wasiojua wala kuukumbatia unafiki siku zote, TEC wamesimama wakahesabiwa, tunaojielewa tumewaelewa.
Kanisa Moja Takatifu la Mitume

Zitto Kabwe PhD yake anasomea Ujerumani kwa msaada wa KKKT

RIP Samwel Sitta
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Aliyo yasema ni ya kweli kabisa....na watu wengi wasiofungamana na upande wowote wanatambua hilo, shida pekee hapo huo ukweli umekaa kichochezi na unabomoa zaidi kuliko kujenga.
 
Habari wakuu,

Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).

Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."

Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?

Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?


View attachment 2742729

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Shida ipo wapi katika kauli hiyo? Mi sioni cha kujadili hapo.
 
Back
Top Bottom