BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Alishachakaaa kitambooo atulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwege sana huyo MuhaHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Huyo ameshafilisika kisiasa ni wa kumpuuza, anatafuta political mileage tu.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Rais wa Nchi atapatikana yule mwenye maslahi mapana ya Nchi hii bila ya kuwaza dini, kabila wala eneo.Hapo January na Mwigullu wataambulia kura za KKKT na wale Siasa kali akina Ponda tu [emoji3][emoji3][emoji23][emoji91][emoji93][emoji209]
ACT Wazalendo, poleni sana kwa kuwa na Kiongozi mkuu wa chama ambaye ni mchumia tumbo, mnafiki, msaliti, mbinafsi, mdini, na mamluki kama ZittoHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Slaa ni Padre na Lipumba ni Mujahideen tena alikuwa anacheza kareti Msikitini hawa kamwe wasingekuwa MaraisRais wa Nchi atapatikana yule mwenye maslahi mapana ya Nchi hii bila ya kuwaza dini, kabila wala eneo.
Kama udini unampeleka mtu kuwa Rais sasa hivi Slaa na Lipumba wangekuwa ma Rais wastaafu.
Tanzania ni Nchi ya amani na upendo, jitihada zenu za kupachika mitafaruku kwny jamii zinapuuzwa mara zote ila kwa kuwa akili ni haba mnaishia kulalamika kura kuibiwa
Sio ya kuwaamini sana Kama ni account yake sidhani Kama anaweza sema haya
Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Atatukuta!Zitto ni mdini sana na kama ana ndoto za kuja kungombea uraisi hili litamgharimu sana.
Ukweli siku zote unaumaNi ukweli tupu
TEC ilikuja na waraka kuivuruga nchi
Sawa, na KKKT imehusikaje hapo kwenye ushindi wa Stars??.Ana furaha ya Taifa Stars kufuzu.
[emoji23][emoji23]Amelewa basi