True ajae Nadhani atamauliza uraisi wake kwa kulipa fidia maana kesi za kuishtaki serikali zitakuwa hazina idadi kuanzia waliobomolewa nyumba zao,walioporwa hela zao bureau de change,watumishi nk.Ila tuendako tutakuja kulipa fidia kubwa sana na itakuwa hasara kwa nchi na sio .......