Zitto: Kesi nyingi za uhujumu uchumi ni za kubambika na kukomoa sasa wanatafuta hela. Nchi ya GANGSTERISM 100%

Zitto: Kesi nyingi za uhujumu uchumi ni za kubambika na kukomoa sasa wanatafuta hela. Nchi ya GANGSTERISM 100%

Alietoa rushwa na aliepokea rushwa wote inabidi wachukuliwe hatua, iweje sasa kina Ngeleja na wenzake kina Joka la makengeza wanadunda mtaani? Na kama kweli hawa ni wahujumu uchumi sasa mbona uchunguzi haukamiliki miaka mi4 yote? Wamefukunyua huko wakaona hakuna dalili ya kushinda kesi ndio wamekuja na gia nyingine ya nipe nikupe.

Watz tuna akili nyie wa huko lumumba endeleeni kuwa misukule

Wamelazimishwa kuununua uhuru wao.Jamaa ana roho mbaya Sana utadhani ataishi milele
 
Ha ha kuwa raisi wa ukoo wako mkuu!
Halafu hii kazi ya kuwa msemaji wa watanzania nani kakupa? Mi ni mtanzania sikumbuki kama nimekupa hiyo kazi.

Jisemee wewe peke yako.
 
Kutenda haki ni kutafuta ushahidi uliokamilika kisha wawahukumu kama sheria isemavo.Na sio kuwakamata watu kwanza kisha ndo utafutwe ushahidi hii ni kinyume na jamii iloyostaarabika
Hivi watu kama kina Rugemalila wasingeshikwa mpaka leo kwa subiri ushahidi watu kama akina Zitto wangekuwa wanasema nini majukwaani?
 
Hivi watu kama kina Rugemalila wasingeshikwa mpaka leo kwa subiri ushahidi watu kama akina Zitto wangekuwa wanasema nini majukwaani?

Washiwashike watu kwa matakwa ya wanasiasa bali kwa sheria .Sahihi ungetafutwa ushahidi ukamilike kwanza kisha wahukumiwe.Kuliko hii ya kutaka kuwalazimisha wanunue uhuru wao
 
Waweke muda wa kutafuta ushahidi usizidi mwezi mmoja. Hapa kwa kesi zisizo na dhamana.

Ukishindwa hapo mtu aachiwe huru ukipata ushahidi upelekwe mahakamani ndani ya mwezi tu,kesi imemalizika.
 
No makosa kumshikilia mtuhumiwa kisha ndo uanze kutafuta ushahidi ni kinyume na haki za binadamu.Kama ushahidi aujakamilika kwann wakamate watu.Halafu tuna watunza sheria mahakimu,majaji,wapelelezi tena ni wasomi na nyumba za ibada wanakwenda huwa najiuliza huwa wanakwenda kufanya nn nyumba za ibada hali wameshikilia uhuru na haki za watu.
Only Tanzania kumkatata mtu bila kuwa na ushahidi kisha kutafuta ushahidi akiwa gerezani
 
Waweke muda wa kutafuta ushahidi usizidi mwezi mmoja. Hapa kwa kesi zisizo na dhamana.

Ukishindwa hapo mtu aachiwe huru ukipata ushahidi upelekwe mahakamani ndani ya mwezi tu,kesi imemalizika.

Lengo kuu huwa ni kuwakomoa wasioupande wao ili kuwafilisi hata kagame ndo utumia refer kwa kina Victoria ngabire,nk. ni sana ngumu kuupata ushahidi kwa kesi za kubambika hata ukikaa ndani miaka 60.
 
Mungu ni mwema, duniani kuna KARMA! Hakika nayeye siku moja atajibu hapahapa duniani.
MsemajiUkweli

Mmoja wa hao watu ni Yusuph Manji!!! Badala ya kumpa kesi ya uhujumu uchumi, kuhatarisha usalama wa taifa, na utumiaji wa dawa za kulevya... alikumbwa na hatia ipi miongoni mwa hizo?!

Mtakana sana, lakini serikali hii wakati mwingine huwa inafanya mambo kwa kukomoa raia wake!!! Ni kutokana na ukweli huo, ndo maana wengi wanaokuwa target ni lazima wapewe kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji pesa kwa sababu ni kesi zisizo na dhamana!!

Lengo ni kuwakomoa wahusika kwamba lazima wakae ndani!!

Na kweli, wengi wanakaa ndani lakini mwisho wa siku, majority wanakutwa kutokuwa na hatia na mashitaka mazito kama hayo... but who cares! Mission Accomplished! WASHAKOMOLEWA TAYARI!!

Aidha ni juzi tu hapa Evans Aveva na Godfrey Nyange (Kaburu) wamefutiwa mashitaka ya utakatishaji wa fedha huku wakiwa wamekaa mahabusu kwa miezi kadhaa!!

Turudi kwa akina Rugemarila!! Kama lengo sio kuwakomoa kwanini walioshirikiana nao kuchota pesa za Escrow bado wanadunda mtaani?!

Ruge na Singasinga hawakutumia mitutu na vifaru kwenda kuchukua pesa za Escrow bali walipata baraka zote za viongozi waandamizi pamoja na mahakama!! Kwanini basi wawekwe ndani peke yao lakini miezi kadhaa baadae waambie waombe radhi na kutoa pesa ili waachie!!!

Mtu kama Singasinga ambae amedhohofika kweli kweli, hata kama hana hatia, unadhani ataacha kuomba radhi?!

Anyway, endeleeni tu kutetea lakini ukweli utabaki pale pale.
 
Wamelazimishwa kuununua uhuru wao.Jamaa ana roho mbaya Sana utadhani ataishi milele
Tatizo ni washauri wake wakuu akina Bashite ambaye na yeye anashauriwa na Le mutuz na cyprian Musiba, Yaani mshauri wa Rais anakoteza ushauri toka kwa mtu mjinga kama cyprian Musiba kisha kwenda kumshauri Rais lazima yatokee kama hayo sasa
 
Only Tanzania kumkatata mtu bila kuwa na ushahidi kisha kutafuta ushahidi akiwa gerezani

Haya mambo unayapata rwanda na nchi za kidikteta na si kwa jamii iliyostaarabika kwao kesi zote zinadhaminika isipo kuwa mauaji napo wamekwenda mbele wanafikilia kuwapa dhamana.
 
Mkuu umeua
MsemajiUkweli

Mmoja wa hao watu ni Yusuph Manji!!! Badala ya kumpa kesi ya uhujumu uchumi, kuhatarisha usalama wa taifa, na utumiaji wa dawa za kulevya... alikumbwa na hatia ipi miongoni mwa hizo?!

Mtakana sana, lakini serikali hii wakati mwingine huwa inafanya mambo kwa kukomoa raia wake!!! Ni kutokana na ukweli huo, ndo maana wengi wanaokuwa target ni lazima wapewe kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji pesa kwa sababu ni kesi zisizo na dhamana!!

Lengo ni kuwakomoa wahusika kwamba lazima wakae ndani!!

Na kweli, wengi wanakaa ndani lakini mwisho wa siku, majority wanakutwa kutokuwa na hatia na mashitaka mazito kama hayo... but who cares! Mission Accomplished! WASHAKOMOLEWA TAYARI!!

Aidha ni juzi tu hapa Evans Aveva na Godfrey Nyange (Kaburu) wamefutiwa mashitaka ya utakatishaji wa fedha huku wakiwa wamekaa mahabusu kwa miezi kadhaa!!

Turudi kwa akina Rugemarila!! Kama lengo sio kuwakomoa kwanini walioshirikiana nao kuchota pesa za Escrow bado wanadunda mtaani?!

Ruge na Singasinga hawakutumia mitutu na vifaru kwenda kuchukua pesa za Escrow bali walipata baraka zote za viongozi waandamizi pamoja na mahakama!! Kwanini basi wawekwe ndani peke yao lakini miezi kadhaa baadae waambie waombe radhi na kutoa pesa ili waachie!!!

Mtu kama Singasinga ambae amedhohofika kweli kweli, hata kama hana hatia, unadhani ataacha kuomba radhi?!

Anyway, endeleeni tu kutetea lakini ukweli utabaki pale pale.
 
Washiwashike watu kwa matakwa ya wanasiasa bali kwa sheria .Sahihi ungetafutwa ushahidi ukamilike kwanza kisha wahukumiwe.Kuliko hii ya kutaka kuwalazimisha wanunue uhuru wao
Well Zitto hakuwa na mtazamo huo awali as far as he was concerned hao watu walikuwa na hatia and nothing else; au unataka nikuletee video akisema wazi kabisa hao wahusika wanastahili kuwa lupango na anaishangaa serikari kuwaacha kuwa huru.

Leo nini kimebadilika?
 
Tatizo ni washauri wake wakuu akina Bashite ambaye na yeye anashauriwa na Le mutuz na cyprian Musiba, Yaani mshauri wa Rais anakoteza ushauri toka kwa mtu mjinga kama cyprian Musiba kisha kwenda kumshauri Rais lazima yatokee kama hayo sasa

Waandamizi Waliomsaidia dikteta Wa algeria kuumiza watu wamelamba mvua,miaka 15 tawala zinabadilika jela ni kwa wote
 
Mungu ni mwema, duniani kuna KARMA! Hakika nayeye siku moja atajibu hapahapa duniani.
Malipo ni hapa hapa Duniani yupo wapi nyaulingo sasa? hana miguu hana jicho moja lakini enzi zake alitamba
 
Half a decade in jail ( miaka 5 jela) sijafanya kazi upelelezi bado unaendelea then paap jiwe linageuza mambo, sasa yeyote mwenye kesi ya uhujumu uchumi aandike barua ya kukiri kosa then alipe fedha. Kuna tofauti na Pirates wa Kisomali?
Hizi kesi hazina ushahidi nyingi za kubambikiwa wanajua watashindwa thus miaka 4 sasa wamekosa ushahidi,kama ni kesi halali isingechukua hata mwezi kuupata ushahidi kuwatia hatiani.Kuepuka aibu ya kushindwa watawachomoa vipi ndo wamekuja na plan ya waandike barua kukiri walipe Pesa,kuomba msamaha tyr ni kukiri kosa bila kujali umebambikwa sababu uhuru wako na haki yako imeporwa.Haya mambo yanaaibisha .Na pia yatakuwa yakitumika kuumiza watu ili wachomolewe Pesa kama chanzo cha mapato .Unakamatwa unabambikwa unachomolewa unafilisiwa.
 
Well Zitto hakuwa na mtazamo huo awali as far as he was concerned hao watu walikuwa na hatia and nothing else; au unataka nikuletee video akisema wazi kabisa hao wahusika wanastahili kuwa lupango na anaishangaa serikari kuwaacha kuwa huru.

Leo nini kimebadilika?

Ukakasi waliopokea rushwa wako nje kina change na ngeleja au sababu ni wasukuma.
 
Bora maana unaweza hata kukiri, then unafitiwa ukianza kulipa wanakugeuzia kibao, usilipe tena twende mahakamani....hiyo barua ya kukiri utaikana mahakamani?
Ningekuwa mzee heri nifie jela sina cha kupoteza kuliko kupoteza Mali ya familia sitoi hata Mia.Heri niiachie familia ile Maisha yao yote kuliko kufilisiwa.
 
Ha ha kuwa raisi wa ukoo wako mkuu!
Halafu hii kazi ya kuwa msemaji wa watanzania nani kakupa? Mi ni mtanzania sikumbuki kama nimekupa hiyo kazi.

Jisemee wewe peke yako.
Hata wewe jisemee mwenyewe kwani una roho mbaya unanufaika kupitia blackmail kuwakomoa watu gerezani ndiyo maana haujui ubaya wa kuwabambikia watu kesi
 
Back
Top Bottom