verykeys
Senior Member
- Mar 29, 2016
- 155
- 90
hakuna anaebaguliwa mkuu angalia vzuri anaechaguliwa CV yake. sizonje anaangalia cv yako swala la dini haliangaliwi mkuu.Mbona mwenyekiti wako anaondoa watu wa kaskazini na kujaza watu wa Kanda yake maofisini tena wakristo waislam anawabagua Acheni hizo nchi haiongozwi kwa majungu na madebe
kwenu hamuangalii cv mnaangalia uchaga kwanza. kwenu mna wanachama wangapi waandamizi tena wazito kwenye chama lakini hamjawaona mnakuja kumpa mtu agombee urahisi hata week ajamaliza kwenye chama. nyie semeni tu hapo kwa lowasa mliteleza tutawaelewa.