Tetesi: Zitto kutoa Tamko zito juu ya mustakabali wa Chama.

Tetesi: Zitto kutoa Tamko zito juu ya mustakabali wa Chama.

Status
Not open for further replies.
hakuna anaebaguliwa mkuu angalia vzuri anaechaguliwa CV yake. sizonje anaangalia cv yako swala la dini haliangaliwi mkuu.

kwenu hamuangalii cv mnaangalia uchaga kwanza. kwenu mna wanachama wangapi waandamizi tena wazito kwenye chama lakini hamjawaona mnakuja kumpa mtu agombee urahisi hata week ajamaliza kwenye chama. nyie semeni tu hapo kwa lowasa mliteleza tutawaelewa.
Acha ungese wewe mrembo ya chama chako huyaoni.?

vipi umesahau sarakasi ilizocheza chama lako kumfanya tulia spika wa bunge.?

kama umekosa kazi njoo nitakuoa..
 
kama mnakubali lawama bac badilisheni na katiba yenu ijulikane kabisa nafasi za uongozi kwenye chama ni za kudumu kama tunavyoona kwa mfalme na malkia. ili mtu wa kabila lingine anapokuja ajue kabisa hana haki ya kugombea uongozi.
HIVI KWENU UENYEKITI UNAGOMBEWA NA KILA MTU AU RAISI PEKE YAKE.?

AMUONI KUFANYA HIVYO MNANYIMA WATU WENYE SIFA NA UWEZO KUGOMBEA HII NAFASI.?
 
ACT imekuwa ikilalamikiwa na wanachama wake kwa viongozi wake kuwa na sifa ya undumila kuwili hilo linafanya wanachama washindwe kuwaamini viongozi wao kazi ipo kwa Zitto na Wenzie kujitafakari
 
siku chadema ikiwa na mwenyekitiki ambae co mchaga ndo ntaamini kweli chadema ipo kwa ajili ya watanzania na sio wachaga. hapo ata mm nitawaunga mkono
***
---->>UNATAMANI SANA AINGIE MTU ASIYE NA MSIMAMO,ILI ATETEREKE/ NA CHAMA KIFE...../
 
kudaiwa ni jambo la kawaida tu mkuu. mbona mwenyekti wenu mmeshindwa kumsaidia mpaka anatupiwa virago nje na NHC kisa madeni.
Hila tu za chama tawala kumzoofisha...

shigongo kosa sio lako, tatizo ni kukikumbatia chama kilicholaaniwa na mungu kwa kuumiza wa tz ktk kuwanyima mshndi wa kweli 2015..

ni laana huzuni zetu sasa kwenu....
 
kudaiwa ni jambo la kawaida tu mkuu. mbona mwenyekti wenu mmeshindwa kumsaidia mpaka anatupiwa virago nje na NHC kisa madeni.
Hila tu za chama tawala kumzoofisha...

shigongo kosa sio lako, tatizo ni kukikumbatia chama kilicholaaniwa na mungu kwa kuumiza wa tz ktk kuwanyima mshndi wa kweli 2015..

ni laana huzuni zetu sasa kwenu....
 
Ameoa sasa penzi limemlevya akasahau chama chake.
 
siku chadema ikiwa na mwenyekitiki ambae co mchaga ndo ntaamini kweli chadema ipo kwa ajili ya watanzania na sio wachaga. hapo ata mm nitawaunga mkono
unawajua wenyeviti wote wa chadema toka kimeanzishwa??? una uhakika hakuna mchagga aliyewahi kuwa mwenyekiti?? bob makani mchagga??? hizi propaganda zenu hazisaidii maana chadema kimekuwa chama cha kitaifa ndio maana dar mbeya iringa mwanza chama chetu kina wabunge kwanj ina maana kote huko wanaishi wachagga peke yao?? na hiki kitu kiliwacost mwaka jana kusema ni chama cha kaskazini mwisho wa siku wanaccm wa kaskazini wakaona mnawabagua ikabidi wawapigie hao mnaowaita chama cha kaskazini.
 
siasa ya ajabu na iliyokosa uweledi kupata kutokea duniani ni tukio la huyo MBOWE wenu kumkaribisha LOWASA kwenye chama na bado tena anampa nafasi ya kugombea urahisi. tena mtu ambae walikuwa wakilia na kuutangazia umma kuwa ni fisadi wa kutupa. nilfatilia kampeni za uchaguzi. karibia asilimia 90% ya wabunge wenu hawakuwa wakijitokeza hadharani kumsupport LOWASA. lipumba aliamua kuwa mkweli hakutaka kuonekana mnafiki. ukisema katumwa mbona hata CCM wenyewe waligombana mpaka wengine wakataka kuanzisha chama kingine.unataka kusema na hao wanatumwa na nani.
muelezewe mara mgapi kuhusu tukio la chadema kumchukua lowassa?? tafuta clip ya lisu kuhusu vikao na majadiliano yalivyofanyika hadi chama kikafikia uamuzi wa kumchukua na kumfanya mgombea urais so usifkiri walikurupuka walifanya expert analysis kabla hawakujiridhisha na hawajamchukua. Pia issue ya lipumba imeshaelezewa humu mara kibao, huyo lipumba wenu ilikuwaje ampokee lowassa then after few weeks amkatae tena?? kipi kilichomfanya abadili mawazo?? unafkiri ni dhamira au kuna mtu alimshinikiza?? na kma una muona ana nia nzuri na cuf kwanni akubali kuwa sehemu ya mgogoro unaotishia kukiua chama mbona slaa aliondoka bila kutengeneza mgogoro kwemye chama???. pia wabunge ganibhao hawakujitokeza tafuta clip ya lowassa kupewa kadi chadema utaona sura za wabunge kibao walihudhuria na alipozunguka mikoani wakati wa kampeni aliwanadi na wagombea ubunge kwa taarifa yako
 
Hivi haikutosha kueleza bila kusema "nimekula ugali na samaki wa kukaanga". Ilikuwa muhimu kusema alichokula kabla ya kulala. Viongozi hawa bwana!
Wewe tazama contents. Uki -critisize hata issue petty namna hiyo tutatilia shaka uimara wa Halmashauri ya Ubongo wako
 
haha sizonje labda bado hajajua kama anaowachagua wengi ni wakristo. ila sidhan kama hicho kitu anazingatia.

Sizonje Pia hajajuwa kuwa anaowachagua ni kutoka kanda ya Nyonyo! LABDA lakini
 
Wewe tazama contents. Uki -critisize hata issue petty namna hiyo tutatilia shaka uimara wa Halmashauri ya Ubongo wako
Na mimi nikiona kiongozi mkubwa kama yule akiandika bitu petty namna ile nitatilia shaka uimara wa Halmashauri ya Ubongo wake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom