hakuna anaebaguliwa mkuu angalia vzuri anaechaguliwa CV yake. sizonje anaangalia cv yako swala la dini haliangaliwi mkuu.Mbona mwenyekiti wako anaondoa watu wa kaskazini na kujaza watu wa Kanda yake maofisini tena wakristo waislam anawabagua Acheni hizo nchi haiongozwi kwa majungu na madebe
Njooo utupe ufafanuzi wangu kwa nn kiongozi mzito km hy anatoka kirahis na wee nzito unaonaMkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo anatarajia kutoa tamko juu ya hali ya chama na kile kinachoendelea katika Chama hicho.
Halafu linachezwa kama kisingeli[emoji81] [emoji81] [emoji81]Ngoja tuone mwisho wa hili segere
Hii ni mbinu tu ya kukifanya chama kisikike tena kitajwetajwe kwenye media kisipotee kabisaMkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo anatarajia kutoa tamko juu ya hali ya chama na kile kinachoendelea katika Chama hicho.
Kitaendelea kipi wkt wanapumulia kwenye kwapa la jamaa?Ila upinzan nchini umepwaya hakunakinachoendelea jitathimini upya
Politics ni dyanamic and not STATIC.Ndiyo maana leo huyu anatoka hapa anaenda pale. Ni kawaida sana. By the way kwa siasa za Afrika zilivyo, ni afadhali chama kiongizwe na mtu ambaye kidogo anakivusha. Watu wengine hawaaminiki, ni maajent wa vyama tawala barani afrika. Inahitaji kujiridhisha sana kabla ya kubadili safu za uongozi. Kosa dogo la kumuweka mtu ambaye ni mamluki(mifano ipo) linaua chama. Nadhan Chadema wanalijua hilo ndiyo maana kwao wanaona ni afadhali kukubali lawama za ukanda ila wabaki na mwenyekiti ambaye hanunuliki au pasi na shaka hawez kuwa agent wa chama tawala. Kwenye hilo,Chadema washikilie hapo hapo. Ukiona watu wanalaumu, jua hapo ndipo kisiki cha mpingo kwao. Siasa za kiafrika ni ngumu sana.siasa ya ajabu na iliyokosa uweledi kupata kutokea duniani ni tukio la huyo MBOWE wenu kumkaribisha LOWASA kwenye chama na bado tena anampa nafasi ya kugombea urahisi. tena mtu ambae walikuwa wakilia na kuutangazia umma kuwa ni fisadi wa kutupa. nilfatilia kampeni za uchaguzi. karibia asilimia 90% ya wabunge wenu hawakuwa wakijitokeza hadharani kumsupport LOWASA. lipumba aliamua kuwa mkweli hakutaka kuonekana mnafiki. ukisema katumwa mbona hata CCM wenyewe waligombana mpaka wengine wakataka kuanzisha chama kingine.unataka kusema na hao wanatumwa na nani.
Huu ni upotoshaji. Ni lini CV ziliombwa Waislam kwa mfano wakakosa CV?hakuna anaebaguliwa mkuu angalia vzuri anaechaguliwa CV yake. sizonje anaangalia cv yako swala la dini haliangaliwi mkuu.
kwenu hamuangalii cv mnaangalia uchaga kwanza. kwenu mna wanachama wangapi waandamizi tena wazito kwenye chama lakini hamjawaona mnakuja kumpa mtu agombee urahisi hata week ajamaliza kwenye chama. nyie semeni tu hapo kwa lowasa mliteleza tutawaelewa.
kama mnakubali lawama bac badilisheni na katiba yenu ijulikane kabisa nafasi za uongozi kwenye chama ni za kudumu kama tunavyoona kwa mfalme na malkia. ili mtu wa kabila lingine anapokuja ajue kabisa hana haki ya kugombea uongozi.Politics ni dyanamic and not STATIC.Ndiyo maana leo huyu anatoka hapa anaenda pale. Ni kawaida sana. By the way kwa siasa za Afrika zilivyo, ni afadhali chama kiongizwe na mtu ambaye kidogo anakivusha. Watu wengine hawaaminiki, ni maajent wa vyama tawala barani afrika. Inahitaji kujiridhisha sana kabla ya kubadili safu za uongozi. Kosa dogo la kumuweka mtu ambaye ni mamluki(mifano ipo) linaua chama. Nadhan Chadema wanalijua hilo ndiyo maana kwao wanaona ni afadhali kukubali lawama za ukanda ila wabaki na mwenyekiti ambaye hanunuliki au pasi na shaka hawez kuwa agent wa chama tawala. Kwenye hilo,Chadema washikilie hapo hapo. Ukiona watu wanalaumu, jua hapo ndipo kisiki cha mpingo kwao. Siasa za kiafrika ni ngumu sana.
Ila upinzan nchini umepwaya hakunakinachoendelea jitathimini upya
wewe haujanielewa, mm nimesema mtu hachaguliwi kwa dini yake. kama nyie mnaona waliochaguliwa wengi ni wakristo hyo mmeiona nyie. ila watu wanapewa nafasi kulingana na uwezo wao na cv zao zilivyo.Huu ni upotoshaji. Ni lini CV ziliombwa Waislam kwa mfano wakakosa CV?
Ila upinzan nchini umepwaya hakunakinachoendelea jitathimini upya
Wala upinzani haujapwaya tatizo mkulu anatumia majeshi kuminya upinzani yaani anataka asikike yeye tuIla upinzan nchini umepwaya hakunakinachoendelea jitathimini upya
Waislam walimkosea nini Sizonje?hakuna anaebaguliwa mkuu angalia vzuri anaechaguliwa CV yake. sizonje anaangalia cv yako swala la dini haliangaliwi mkuu.
kwenu hamuangalii cv mnaangalia uchaga kwanza. kwenu mna wanachama wangapi waandamizi tena wazito kwenye chama lakini hamjawaona mnakuja kumpa mtu agombee urahisi hata week ajamaliza kwenye chama. nyie semeni tu hapo kwa lowasa mliteleza tutawaelewa.
We pimbi kwani Lowasa haruhusiwi kugombea urais kikatiba? Bado hajathitishwa na mahakama kama fisadi! Jifunzeni USA Trump hata mwenyekiti wa republican hawajuani na amegombea ameshinda na marekani inaenda mbele sio huyu mapushapu nchi inarudi nyuuumasiasa ya ajabu na iliyokosa uweledi kupata kutokea duniani ni tukio la huyo MBOWE wenu kumkaribisha LOWASA kwenye chama na bado tena anampa nafasi ya kugombea urahisi. tena mtu ambae walikuwa wakilia na kuutangazia umma kuwa ni fisadi wa kutupa. nilfatilia kampeni za uchaguzi. karibia asilimia 90% ya wabunge wenu hawakuwa wakijitokeza hadharani kumsupport LOWASA. lipumba aliamua kuwa mkweli hakutaka kuonekana mnafiki. ukisema katumwa mbona hata CCM wenyewe waligombana mpaka wengine wakataka kuanzisha chama kingine.unataka kusema na hao wanatumwa na nani.
Makijani bisheni tenaWakati mnalalamika CDM ni ya Wachaga,mbona mnasahau CCM ni tawi la Kanisa Katoliki! Mtasema ooh vipi Kikwete na Mwinyi nao ni Wakatoliki? Jibu jiulize nani alianzisha BAKWATA! Then utaja gundua hao ni vivuli tu but alieshika mpini ni Kadinali Pengo na wa mfano wake
hahahahaaa kwan mlivyokuwa unamuita fisadi kipindi kile alikuwa kathibitishwa na mahakama.We pimbi kwani Lowasa haruhusiwi kugombea urais kikatiba? Bado hajathitishwa na mahakama kama fisadi! Jifunzeni USA Trump hata mwenyekiti wa republican hawajuani na amegombea ameshinda na marekani inaenda mbele sio huyu mapushapu nchi inarudi nyuuuma
haha sizonje labda bado hajajua kama anaowachagua wengi ni wakristo. ila sidhan kama hicho kitu anazingatia.Waislam walimkosea nini Sizonje?
Naona hawachagui . anagusa mmoja kwenye chaguzi 100
Itakua hujatenda haki kuilinganisha chadema na ACT......Zito alidhani kuanzisha chama na kihimili mikikimikiki ni jambo la mchezo mchezo,hapa ndipo naikubali chadema pamoja na mambo magumu waliyopitia bado chama kipo tu na kinatisha.
Heko kwa mbowe!..