Nani hajui uhusiano wa CCM na VATICAN? Waislam wamedanganywa kwa ka msikiti kamoja huku maamuzi ya nani awekwe wapi yakitoka VATIVAN.hahahahaaa kwan mlivyokuwa unamuita fisadi kipindi kile alikuwa kathibitishwa na mahakama. wewe haujanielewa, mm nimesema mtu hachaguliwi kwa dini yake. kama nyie mnaona waliochaguliwa wengi ni wakristo hyo mmeiona nyie. ila watu wanapewa nafasi kulingana na uwezo wao na cv zao zilivyo.
Katibu mkuu nae mchagakuendesha siasa ni kawaida tu, walianza NCCR MAGEUZI wakaja CUF na sasa nyie CHADEMA. so na nyie mtapita watakuja wengine. kila chama kina mapungufu yake lkn co ya kusimika ukabila kwenye kama nyie. we hujiulizi kwa nn mtu akionekana anataka uongozi chadema ambae co mchaga lazima apigwe zengwe.
Shida ileile una aleji na el siku ukitibiwa utaujua ukwelihakuna anaebaguliwa mkuu angalia vzuri anaechaguliwa CV yake. sizonje anaangalia cv yako swala la dini haliangaliwi mkuu.
kwenu hamuangalii cv mnaangalia uchaga kwanza. kwenu mna wanachama wangapi waandamizi tena wazito kwenye chama lakini hamjawaona mnakuja kumpa mtu agombee urahisi hata week ajamaliza kwenye chama. nyie semeni tu hapo kwa lowasa mliteleza tutawaelewa.
Kumbe Lowasa ni mchaga?hakuna anaebaguliwa mkuu angalia vzuri anaechaguliwa CV yake. sizonje anaangalia cv yako swala la dini haliangaliwi mkuu.
kwenu hamuangalii cv mnaangalia uchaga kwanza. kwenu mna wanachama wangapi waandamizi tena wazito kwenye chama lakini hamjawaona mnakuja kumpa mtu agombee urahisi hata week ajamaliza kwenye chama. nyie semeni tu hapo kwa lowasa mliteleza tutawaelewa.
we unataka tuanze ku classfy makabila yanayopatikana kilimanjaro na arusha?Kumbe Lowasa ni mchaga?
How old are you?
Acha blabla zako Eric shingogo ana kufa njaa kamulipeni fedha zake.siasa ya ajabu na iliyokosa uweledi kupata kutokea duniani ni tukio la huyo MBOWE wenu kumkaribisha LOWASA kwenye chama na bado tena anampa nafasi ya kugombea urahisi. tena mtu ambae walikuwa wakilia na kuutangazia umma kuwa ni fisadi wa kutupa. nilfatilia kampeni za uchaguzi. karibia asilimia 90% ya wabunge wenu hawakuwa wakijitokeza hadharani kumsupport LOWASA. lipumba aliamua kuwa mkweli hakutaka kuonekana mnafiki. ukisema katumwa mbona hata CCM wenyewe waligombana mpaka wengine wakataka kuanzisha chama kingine.unataka kusema na hao wanatumwa na nani.
kudaiwa ni jambo la kawaida tu mkuu. mbona mwenyekti wenu mmeshindwa kumsaidia mpaka anatupiwa virago nje na NHC kisa madeni.Acha blabla zako Eric shingogo ana kufa njaa kamlipeni fedha zake.
Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo anatarajia kutoa tamko juu ya hali ya chama na kile kinachoendelea katika Chama hicho.[/QUOTE KIONGOZI MKUU WA ACT NI KAMA SULTANI, HACHAGULIWI NA MTU. KWA MFUMO HUU ACT LAZIMA IPOROMOKE.
siku chadema ikiwa na mwenyekitiki ambae co mchaga ndo ntaamini kweli chadema ipo kwa ajili ya watanzania na sio wachaga. hapo ata mm nitawaunga mkono[/QUOTE Walikuwepo wakina Bob Nyanka Makani ,Aman Walid kabouru ,Sio Lazima awe mchaga wewe unachuki na wachaga ,
Hizi propaganda zako zilipendwa hebu ziwekee nyama tukuelewe! Vinginevyo utakuwa una chuki tu na wachaga!kuendesha siasa ni kawaida tu, walianza NCCR MAGEUZI wakaja CUF na sasa nyie CHADEMA. so na nyie mtapita watakuja wengine. kila chama kina mapungufu yake lkn co ya kusimika ukabila kwenye kama nyie. we hujiulizi kwa nn mtu akionekana anataka uongozi chadema ambae co mchaga lazima apigwe zengwe.
Ulishawahi kumusikia ana lia machozi Kama Eric?.kudaiwa ni jambo la kawaida tu mkuu. mbona mwenyekti wenu mmeshindwa kumsaidia mpaka anatupiwa virago nje na NHC kisa madeni.
Very well said mkuu. Hongera sana kwa uelewa mpana. Kwa kuongezea ni kwamba kingekuwa na ukabila hakingesajiliwa na msajili wa chama vya siasa. Sheria inakataza vyama vya sasa vyenye mlengo wa kikabila au kidini. Kwa hiyo ni vizuri kutumia akili binafsi kung'amua mambo mbalimbali ambayo wanasiasa wanatulisha kwa malengo yao binafsi!Amini usiamini nadhani haitobadilisha ukweli kuwa ndio chama pekee kinachoendesha siasa za upinzani kwa sasa (plus CUF), japo katika mazingira magumu. Kuutaja ukabila kwenye vyama vya siasa leo ni propaganda isiyo na tija. Vyama vyote vya siasa vina madhaifu ambayo mengi ni natural kulingana na nani alianzisha, lini chama kilianzishwa na wanachama wengi wapo mahali gani au sehemu gani ya ki jiografia ya Tanzania. Madhaifu ni mengi - ukabila udini ukanda undugu kufahamiana na mengine kama hayo yapo kila mahali na si kwenye vyama tu. That is natural, na system yoyote inayosimamiwa na binadamu haya hayaepukiki. Hata huku magharibi tunakodhani wako vizuri baadhi ya hayo hayaepukiki.
kama nabishana na wachaga basi hapa tutakeshaVery well said mkuu. Hongera sana kwa uelewa mpana. Kwa kuongezea ni kwamba kingekuwa na ukabila hakingesajiliwa na msajili wa chama vya siasa. Sheria inakataza vyama vya sasa vyenye mlengo wa kikabila au kidini. Kwa hiyo ni vizuri kutumia akili binafsi kung'amua mambo mbalimbali ambayo wanasiasa wanatulisha kwa malengo yao binafsi!
me cna chuki na wachaga ila hicho ndo nachokiona kwa chadema. kwan nyie chama hakina uomo wa uongozi?Hizi propaganda zako zilipendwa hebu ziwekee nyama tukuelewe! Vinginevyo utakuwa una chuki tu na wachaga!
kwan kila anaedaiwa lazima alieUlishawahi kumusikia ana lia machozi Kama Eric?.
Mkuu umenikumbusha maisha ya ilboru secondary kukata gogooEti nikala samaki wa kukaanga ungeenda chooni kukata gogo ungeandika? Muwe mnajikita kwenye maudhui
umezaliwa juzi wewe na elimu ya kukariri ya shule ya kata unamjua "Bob Makani"siku chadema ikiwa na mwenyekitiki ambae co mchaga ndo ntaamini kweli chadema ipo kwa ajili ya watanzania na sio wachaga. hapo ata mm nitawaunga mkono