Tetesi: Zitto kutoa Tamko zito juu ya mustakabali wa Chama.

Status
Not open for further replies.
Nani hajui uhusiano wa CCM na VATICAN? Waislam wamedanganywa kwa ka msikiti kamoja huku maamuzi ya nani awekwe wapi yakitoka VATIVAN.
 
Hahaaa zito kaijage fedha za ccm ngosha kawabania haitaji siasa za kinafki arudi tu ccm hana ,uenyekiti kamati za mashirika ya umma ndugai kamminya,usaliti mbaya sana
 
Katibu mkuu nae mchaga
 
Shida ileile una aleji na el siku ukitibiwa utaujua ukweli
 
Yule msanii wa bongo fleva wa Morogoro atapona kweli??
 
Kumbe Lowasa ni mchaga?

How old are you?
 
Acha blabla zako Eric shingogo ana kufa njaa kamulipeni fedha zake.
 
Acha blabla zako Eric shingogo ana kufa njaa kamlipeni fedha zake.
kudaiwa ni jambo la kawaida tu mkuu. mbona mwenyekti wenu mmeshindwa kumsaidia mpaka anatupiwa virago nje na NHC kisa madeni.
 
Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo anatarajia kutoa tamko juu ya hali ya chama na kile kinachoendelea katika Chama hicho.[/QUOTE KIONGOZI MKUU WA ACT NI KAMA SULTANI, HACHAGULIWI NA MTU. KWA MFUMO HUU ACT LAZIMA IPOROMOKE.
 
Mkuu
 
Hizi propaganda zako zilipendwa hebu ziwekee nyama tukuelewe! Vinginevyo utakuwa una chuki tu na wachaga!
 
kudaiwa ni jambo la kawaida tu mkuu. mbona mwenyekti wenu mmeshindwa kumsaidia mpaka anatupiwa virago nje na NHC kisa madeni.
Ulishawahi kumusikia ana lia machozi Kama Eric?.
 
Very well said mkuu. Hongera sana kwa uelewa mpana. Kwa kuongezea ni kwamba kingekuwa na ukabila hakingesajiliwa na msajili wa chama vya siasa. Sheria inakataza vyama vya sasa vyenye mlengo wa kikabila au kidini. Kwa hiyo ni vizuri kutumia akili binafsi kung'amua mambo mbalimbali ambayo wanasiasa wanatulisha kwa malengo yao binafsi!
 
kama nabishana na wachaga basi hapa tutakesha
 
Hizi propaganda zako zilipendwa hebu ziwekee nyama tukuelewe! Vinginevyo utakuwa una chuki tu na wachaga!
me cna chuki na wachaga ila hicho ndo nachokiona kwa chadema. kwan nyie chama hakina uomo wa uongozi?
 
siku chadema ikiwa na mwenyekitiki ambae co mchaga ndo ntaamini kweli chadema ipo kwa ajili ya watanzania na sio wachaga. hapo ata mm nitawaunga mkono
umezaliwa juzi wewe na elimu ya kukariri ya shule ya kata unamjua "Bob Makani"
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…