Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Lissu amekata pumzi. Usijekushangaa kesho akajitoa kugombea.Lisu ndio anapaswa kumuunga mkono Membe na si vinginevyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu amekata pumzi. Usijekushangaa kesho akajitoa kugombea.Lisu ndio anapaswa kumuunga mkono Membe na si vinginevyo!
Hapana not too late, Mbowe alipiga kampeni siku 3 tu uchaguzi wa 2015 akazoa kata karibu zote. Ubunge unahitaji mwezi tu kufanya kampeni ya pamoja mnabadili upepp wote.Too late to calculate.
Atakuja kuongelea tena kwa nguvu zake zoote baada ya kuanza kuzunguka mikoani na kugundua kuwa anahutubia meza na viti tupu.Nilitegemea baada ya mgombea urais wa JMT Tundu Lissu kupitia CHADEMA kumuunga mkono mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Seif Sharif Hamad, ungejitokeza na kupongeza na pengine kushauri Membe naye amuunge mkono mgombea wa CHADEMA, hujafanya hivyo, labda pengine ni mapema mno bado unaangalia upepo au bado kuna mazungumzo yanaendelea.
Kuna tetesi kuwa huenda unausaliti upinzani kwa kulazimisha Membe agombee ili kuzigawa kura za upinzani, hilo sina uhakika, na kuna wengine wanasema bifu lako na CHADEMA bado halijaisha, kuna wengine nao wanasema ACT Wazalendo ni tawi la CCM wamemleta Membe huko kwa lengo maalumu. Hayo yote nakuachia wewe na wasomaji wataamua.
Nia yangu hasa ni kujua wewe binafsi kama kiongozi mkuu wa chama, kwa vile huko nyuma umeonekana kuwa mstari wa mbele kuvishauri vyama vya upinzani kushirikiana au kuungana, unamsimamo gani hasa baada ya jana Membe kusema ‘HATOKI MTU HAPA’.
Kama ccm mnavyo muunga mkono lyatongaLisu ndio anapaswa kumuunga mkono Membe na si vinginevyo!
Yaani wewe ndiyo umejaza maboga kichwaniWewe jamaa nilikuwa nakuona mjanja kumbe hakuna kitu mweupe tu kichwani. "Grand Collision" ndio nini sasa?
Kilaza mkubwa
Hahahaa unaota mtani!! leo umemsikia ka declare ni TWO HORSE RACE ikimaanisha kampuuza Rasmi MembeLissu amekata pumzi. Usijekushangaa kesho akajitoa kugombea.
Kachanganya mbege na ugoroWakati mwingine sio lazima kila thread uje kuandika ugoro wako...
kwani umeitwa hapa...unakuwaje bwashee...au mbege haijaisha kichwani?
Kwahiyo Zitto anachojali ni kujipatia wabunge yeye tu? Kama ndiyo hivyo kila mtu ashinde kwa nguvu yakeAna buy time ya hatima ya wabunge wa ACT huko zanzibar. Kwa trend ambayo naiona mimi, huyu jamaa karata yake iko Zanzibar na Kusini kule. Aikishajihakikisha wabunge wake wanarudi, expect Membe anatangaza kumuunga mkono TL.
Zitto hayuko there for presidential expectation, yeye anataka wabunge ndugu yangu. Ruzuku chifu inatafutwa, na expect ACT ikwa KUBU this year, stay tuned.
That’s common mistake, anyways isn’t a big deal.
Mkuu siasa ni mvuto, sidhani kama hii kauli unamaanisha, ! Maana kwa sasa Lissu tunamuhitaji muno zaidi ya maji. Membe upepo umemgeuka, ajirudi tu amsapoti T A Lissu ili na Chadema wamsapoti Maalim Seif Sharrif.Lissu ndio anapaswa kumuunga mkono Membe na si vinginevyo!
Mambo yamekuwa ndivyo sivyo alivyotarajia.Zitto ana stress maana hali ni mbaya.
Ubunge gani? Kila mtu apambane kivyake, ndio maana ya demokrasia hiyo.
Chadema wasipomsapoti Seif itabadilisha nini?!Mkuu siasa ni mvuto, sidhani kama hii kauli unamaanisha, ! Maana kwa sasa Lissu tunamuhitaji muno zaidi ya maji. Membe upepo umemgeuka, ajirudi tu amsapoti T A Lissu ili na Chadema wamsapoti Maalim Seif Sharrif.
Siyo kwamba watanzania hawana akili... hawana sera ya lugha - TAL.Atimae Chadema wanaomba poo kwa Zito.
Chadema hivi ni kwanini mnahitaji sana msaada wa Zito wakati mlimlegezea nati za magurudumu ya gari yake ili apate ajali na mwisho mkamfukuza kama mbwa?
Seif alibugi sana, alipoingia kwenye tundu la nyoka bila kujua, ona sasa alivyozungukwa na nyoka kujinasua ni ngumu na kwa umri wake nafikiri huu ndio uchaguzi wake wa mwisho.Mmesahau kua Zitto na membe wote ni tiss....
Lkn Lissu alishasema yy sio mjinga chadema sio wajinga na ccm sio wajinga....
Act mpinzani ni Maalim Seif tu
Kama mna Nia ya dhati na sio ya kimasilahi, ya kutaka hii nchi itawaliwe na upinzani,kwanini mnawazia Sana CDM kuungwa mkono na vyama vingine, na sio CDM kuunga mkono vyama vingine vya upinzani🤔?Ana buy time ya hatima ya wabunge wa ACT huko zanzibar. Kwa trend ambayo naiona mimi, huyu jamaa karata yake iko Zanzibar na Kusini kule. Aikishajihakikisha wabunge wake wanarudi, expect Membe anatangaza kumuunga mkono TL.
Zitto hayuko there for presidential expectation, yeye anataka wabunge ndugu yangu. Ruzuku chifu inatafutwa, na expect ACT ikwa KUBU this year, stay tuned.