Zitto: Mbwa wakitaka kufa huanza kukosa uwezo wa kunusa

Zitto: Mbwa wakitaka kufa huanza kukosa uwezo wa kunusa

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Ni baada ya lema kusema kuwa CCM inafanya mpango na ACT WAZALENDO ili kukifanya kiwa chama kikuu cha upinzani

USSR
Screenshot_20241113-222109.jpg
 
Zitto ni takataka tu anafuata nyayo za mrema na lipumba na cheyo

Udini udini udini Zitto hata atoe hoja gani ndio mwanasiasa mnafiki zaidi Tanzania kwa sasa.

Anafikiria ataweza kusimamisha chama

Niko pale nimekaa act kitakufa Kama nccr, cuf na udp
 
Udini umeingaje? Chadema mkishambulia muislam lazima mtie udini? Mbona lema watu hawasemi udini udini udini?
Zitto ni mdini utakataa lakini uo ndio ukweli

Alimshambulia Sana Magufuli juu ya utekaji sasa hv utekaji umeisha? eti tatizo mnataka kuishi kinafiki huyu jamaa ni mdini


Kama sio mdini atoke amshambulie Samia Kama alivyokuwa anamshambulia Magufuli

Au wakati anaushambulia utawala wa mkapa wakati tunasoma udsm nimesoma naye namjua nje ndani ndio maana nakwambia mdini utaki unaacha haulazimishwi
 
Chadema nao wadini tu

USSR
Leta ushahidi maana Mimi narefer utawala wa Kikwete na Samia Zitto kazitumikia kwa kuzibembeleza Ila

Utawala wa Magufuli alikuwa anautukana kila siku

Huyu ni mdini hawezi kunishawishi kwa chochote !!
 
Zitto ni mdini utakataa lakini uo ndio ukweli

Alimshambulia Sana Magufuli juu ya utekaji sasa hv utekaji umeisha eti tatizo mnataka kuishi kinafiki huyu jamaa ni mdini


Kama sio mdini atoke amshambulie Samia Kama alivyokuwa anamshambulia Magufuli

Au wakati anaushambulia utawala wa mkapa wakati tunasoma udsm nimesoma naye namjua nje ndani ndio maana nakwambia mdini utaki unaacha haulazimishwi
Udini ni kushambulia mamlaka ndio maana ya udini??
 
Zitto ni takataka tu anafuata nyayo za mrema na lipumba na cheyo

Udini udini udini Zitto hata atoe hoja gani ndio mwanasiasa mnafiki zaidi Tanzania kwa sasa.

Anafikiria ataweza kusimamisha chama

Niko pale nimekaa act kitakufa Kama nccr, cuf na udp
Hakuzidi wewe,ni takataka inayonuka
 
Hakuzidi wewe,ni takataka inayonuka
Me takataka lakini wewe mavi utawala huu washikaji zake January na nape wamefukuzwa yupo kimya

Ila walipofukuzwa na Magufuli kelele mpaka Marekani

Huyu jamaa Bora ningekuwa sikusoma naye ningekusikiliza Zitto hajawai kuwa mpinzani na hatokaa awe mpinzani!!

Anaangalia utawala unaompa maslahi yake na wa dini yake ndio anautumikia takataka kabisa.
 
Me takataka lakini wewe mavi utawala huu washikaji wake January na nape wamefukuzwa yupo kimya

Ila walipofukuzwa na Magufuli kelele mpaka Marekani

Huyu jamaa Bora ningekuwa sikusoma naye ningekusikiliza Zitto hajawai kuwa mpinzani na hatokaa awe mpinzani!!

Anaangalia utawala unaompa maslahi yake na wa dini yake ndio anautumikia takataka kabisa
Hakuna ubishi kuwa huenda unakulaga ur own feces,pole sana.https://youtu.be/mwGriQifADE?si=VRMa1CR98FFlwEg-
 
Me takataka lakini wewe mavi utawala huu washikaji wake January na nape wamefukuzwa yupo kimya

Ila walipofukuzwa na Magufuli kelele mpaka Marekani

Huyu jamaa Bora ningekuwa sikusoma naye ningekusikiliza Zitto hajawai kuwa mpinzani na hatokaa awe mpinzani!!

Anaangalia utawala unaompa maslahi yake na wa dini yake ndio anautumikia takataka kabisa
Mzee Mbowe ndio mpinzani?Mangi acha hadaa ,christmass inakaribia.
 
Udini ni kushambulia mamlaka ndio maana ya udini??
Udini ni kukosoa wa dini nyingine wakikosea Ila kuwapaka mafuta wa dini yako wakikosea

CAG Assad, kufukuzwa kwa January na nape kwenye utawala wa Magufuli uliona walivyotetewa na Zitto

Lakini leo January na nape wamefukuzwa washikaji zake yupo kimya kisa Samia na yeye dini moja utoto.

Sijawai kuwa mdini Mimi nifatilie hapa jukwaani

Ila simamia kweli hata Kama inauma!!
 
Mzee Mbowe ndio mpinzani?Mangi acha hadaa ,christmass inakaribia.
Wote matapeli tu mbowe ana kadi ya ccm na Slaa ana kadi ya ccm Zitto anautumikia CCM

Lema na Lissu angalau wamesimama kwenye mambo mengi Ila

Cheyo,lipumba, Zitto, mbowe na Slaa wote ni matapeli tu tofauti yao umri.
 
Zitto ni mdini utakataa lakini uo ndio ukweli

Alimshambulia Sana Magufuli juu ya utekaji sasa hv utekaji umeisha eti tatizo mnataka kuishi kinafiki huyu jamaa ni mdini


Kama sio mdini atoke amshambulie Samia Kama alivyokuwa anamshambulia Magufuli

Au wakati anaushambulia utawala wa mkapa wakati tunasoma udsm nimesoma naye namjua nje ndani ndio maana nakwambia mdini utaki unaacha haulazimishwi
Ila we jamaa anajisahau sana mbona KITIMA kipindi cha magu alikua kimya juu ya uovu uliokuwa ukiendelea,ila kipindi cha samia amekua kinara mzuri wa kukemea.
 
Zitto ni mdini utakataa lakini uo ndio ukweli

Alimshambulia Sana Magufuli juu ya utekaji sasa hv utekaji umeisha eti tatizo mnataka kuishi kinafiki huyu jamaa ni mdini


Kama sio mdini atoke amshambulie Samia Kama alivyokuwa anamshambulia Magufuli

Au wakati anaushambulia utawala wa mkapa wakati tunasoma udsm nimesoma naye namjua nje ndani ndio maana nakwambia mdini utaki unaacha haulazimishwi
Ila we jamaa anajisahau sana mbona KITIMA kipindi cha Magu alikua kimya juu ya uovu uliokuwa ukiendelea,ila kipindi cha samia amekua kinara mzuri wa kukemea.
 
Ila we jamaa anajisahau sana mbona KITIMA kipindi cha magu alikua kimya juu ya uovu uliokuwa ukiendelea,ila kipindi cha samia amekua kinara mzuri wa kukemea.
Ndo wale wale wanafiki tu yaani Mimi uwa siwezi kukubali kuongozwa na mtu mwenye double standard

Viongozi wa kweli wa upinzani

Ni Mtikila, Shekh ponda, Chacha wangwe then Lissu


Waliobaki ni matapeli tu wananunulika
 
Udini ni kukosoa wa dini nyingine wakikosea Ila kuwapaka mafuta wa dini yako wakikosea

CAG Assad, kufukuzwa kwa January na nape kwenye utawala wa Magufuli uliona alivyotetewa na Zitto

Lakini leo January na nape wamefukuzwa washikaji wake yupo kimya kisa Samia na yeye dini moja utoto

Sijawai kuwa mdini Mimi nifatilie hapa jukwaani

Ila simamia kweli hata Kama inauma!!
Sasa hapa mkuu umekua too personal Sana kumu attack na huu ni mtazamo wako lakini ukweli unaweza ukawa sio huo unavyofikilia siasa ina mambo mengi Sana ndani yake mimi na wewe hatujui kila mtu ataunga mkono mtu wake kulingana na anachonufaika nacho kutoka kwake ndio maana kuna usemi husema ukiona mtu Yuko karibu na wewe hujua kuna kitu ananufaika kutoka kwako kwahiyo sioni swala la udini apo kwa sababu sijawahi kumuona kwenye movement yoyote za kidini akizifanya(kwa matukio au kadhia walizopitia watu wa dini yake) kwa hiyo ukisema ana support watu wa dini yake tu si kweli Kwa miaka mingi amekuzwa na kulelewa kisiasa na CDM ambao kiuhalisia kimeshamiri viuongozi wa dini nyingine angekuwa mdini wala asingefungana nao lkn ndio waliomkuza na kumlea kisiasa kwa hui sioni movt za dini ndani yake labda wewe sasa ndio mdini kwa vile anayeongoza nchi sasa ni dini nyingine naona kwako hupendezwi nayo kwahiyo unataka apingwe Kwa kila kitu Kwa vile tu ni dini Fulani hapana mkuu apingwe Kwa uwezo wake na sio Imani yake na hata wanaompinga pia wampinge Kwa uwezo wake lkn si Kwa sababu ni wading Fulani hii haijakaa sawa
 
Back
Top Bottom