Zitto: Msitegemee nitakosoa kama kipindi cha Magufuli

Zitto: Msitegemee nitakosoa kama kipindi cha Magufuli

Eti Mbowe kushtakiwa ni kuvunja haki za binadamu lakin Kesi hiyo hiyo akiwa nayo Sabaya ni kutetea haki za binadamu

Watu walikuwa wanaokotwa kwny Viroba kule Coco beach lakin kina Warioba waliufyata ingekuwa enzi za JK wangekaa kimya?

Wakati wa JK kila kigoda cha Nyerere cha kina Butiku kikikutana wakati wa JK ni kutukana Rais, alipoingia mwendazake uliwaskia? Sasa hivi wamerudi tena 'Studio' kurekodi


Yaan hizo tafsiri zako ukitafsiri kwa Wanasiasa wengine mbona wengi tu watakuwa wadini
Kama kuna watu wa hovyo Tanzania among politicians ni Zitto! Mdini mkubwa sana, leo kuna Samia, mwislamu mwenzake,, kimya kabisa, haoni matatizo aliyonayo Samia kwa vile ni Muislamu mwenzake. ya kesi ya Mbowe hayaoni kuwa ni kuvunja haki za binadamu wazi wazi... ame mute (ingwa anakwenda kumuona gerezani). We need strong political statement from Zitto kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea nchini!
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.

Gwajima Atapuuzwa Kwa Kujibiwa Hoja Zake;
 
Mkuu Bite, Beatrice Kamugisha , ZZK is very right, hii ndio kitu kinachoitwa political maturity, kwa maoni yangu ZZK is maturing well kwenye politics kwa kufuata kanuni inayoitwa "managing political divesity" you can't treat a female politician as how you treated male!. JPM was a male politician hivyo unaweza kum criticize utakavyo na hata kumtukana hata kumtusi na ikaonekana ni kawaida, its not a big deal, lakini huwezi kumtukana mwanamke na inaonekana ni kawaida. Mwanaume akidhalilishwa anadhalilika na kunyong'onyea tuu, akipiga vitu analala akiamka its another day, life goes on as if nothing happens. Lakini kumdhalilisha mwanamke, anaumia, anaweza kulia machozi, la ukiangalia macho yenyewe yale alafu uyalize !. No !. Zitto is very right, ukosoaji utaendelea but with dignity kwa lugha za heshima na staha, sio kwa udhalilishaji kubeza au kubagaza, tunaongozwa na Mama na sio Baba, lazima tubadilike twende nae taratibu, tusimkilbize mchaka mchaka, sio mnatuona hata kina sisi, the tone has changed, huyu Mama...basi tuu

Hebu just imagine...





P

Bro Ni Wewe Mwenyewe Uliyeandika Haya [emoji848][emoji848]
 
Eti Mbowe kushtakiwa ni kuvunja haki za binadamu lakin Kesi hiyo hiyo akiwa nayo Sabaya ni kutetea haki za binadamu
Kuna mambo ambayo dunia, the world at large, inayaona kuwa siyo sawa, hayahitaji ushahidi. Kwenye law yanaitwa Judicial notice! Ya Mbowe yanaangukia kwenye hilo kundi.

Lakini kwa vile wewe ni wale wale CCM huwezi kuelewa kirahisi.....
 
Usaliti ni laana
Kuna usalitii unao zidi huu 👇👇
images (20).jpeg

images (21).jpeg

Hii laana itawatafuna wote walio husika mpaka siku yao ya kuingia kaburini.
 
Hakuna alie juu ya sheria
Yeyote anaweza kushtakiwa kwa kosa lolote isipokuwa wale wenye immunity kisheria

Akikutwa na hatia ataadhibiwa na akikutwa hana hatia ataachiwa
Kuna mambo ambayo dunia, the world at large, inayaona kuwa siyo sawa, hayahitaji ushahidi. Kwenye law yanaitwa Judicial notice! Ya Mbowe yanaangukia kwenye hilo kundi.
Lakini kwa vile wewe ni wale wale CCM huwezi kuelewa kirahisi.....
 
you can't treat a female politician as how you treated male!. JPM was a male politician hivyo unaweza kum criticize utakavyo na hata kumtukana hata kumtusi na ikaonekana ni kawaida, its not a big deal, lakini huwezi kumtukana mwanamke na inaonekana ni kawaida.
This is a very shallow reasoning! Very shallow one. If that is the case, then mwanamke kama huyo hastahili kuwa Rais. Tunarudi kule kule kuwa wanawake bado kushika dola! man is supreme. Magreth Thatcher was handled by Britons as you suggest of Samia? what about Indira Ghandhi? Golda Meir Pascal Mayalla , linda credibility yako!
 
you can't treat a female politician as how you treated male!. JPM was a male politician hivyo unaweza kum criticize utakavyo na hata kumtukana hata kumtusi na ikaonekana ni kawaida, its not a big deal, lakini huwezi kumtukana mwanamke na inaonekana ni kawaida.
This is a very shallow reasoning! Very shallow one. If that is the case, then mwanamke kama huyo hastahili kuwa Rais. Tunarudi kule kule kuwa wanawake bado kushika dola! male is supreme. Was Magreth Thatcher handled by Britons as you suggest of samia? what about Indira Gandhi? Golda Meir Pascal Mayalla , linda credibility yako!
 
Huyu mutu ya Kigoma leo imesema tusimtegemee akikikosoa Kama alivyokuwa anafanya awamu ya JPM. Nadhani anachosau zito Ni kwamba hakuna mwananchi anayetaka ukosoaji, wananchi wanachotaka ni kuona kiongozi anamsimamo na anaweza kuwatetea iwe kipindi Cha njaa au Cha neema.

Zitto anachodhania yeye ni kwamba maisha yasiasa nikukosoa nakusahau kwamba endapo utakosoa bila hoja au bila msimamo unaoonekana hakuna atakayeangaika na wewe. Akina Polepole wamejaribu kukosoa na Wana hoja ila wananchi wamewapuuza kwa sababu wanajua wanatafuta riziki ya matumbo yao na familia zao.

Gwajima alijitutumua akapuuzwa kwa sababu alielekeza hoja zake kwa manufaa yake na taasisi yake. Membe kaibuka juzi watu wamempuuza kwa sababu alipaswa kusema JpM akiwepo ila kusubiri hayupo nikujitaftia umaarufu usio na tija. Akina Mdee hakuna anayewasikiliza maana watu wmeona wazi wamethamini familia zao kuliko Taifa.

Hivyo Zitto hata ukae kimya na usifie kila kitu poa tu, wamekujua wewe unatafuta Nini kwenye siasa. Watakaodumu ni wale watakaobaki na misimamo ya asili.
Unahisi nàni atasikilizwa?
 
Kiongozi mkuu wa Chadema ndo mtu watanzania walio wengi humtazama kama ndo anaepigania haki na uhuru wa watanzania, kwasabb pesa ya kumfanya aishi vzri anao. Chief Hangaya hatakuja kupata umaarufu asipo muachia huyu mtu bila masharti,.....yani siasa za nchi nikama zime simama, hao wakina zitto, LIPUMBA, MBATIA nk watu hawana time nao.
Lowasa alimpa Bei gani ili amuuzie nafasi ya kugombea urais!?
 
Hakuna alie juu ya sheria
Yeyote anaweza kushtakiwa kwa kosa lolote isipokuwa wale wenye immunity kisheria

Akikutwa na hatia ataadhibiwa na akikutwa hana hatia ataachiwa
Hatuwezi kuelewana. Kwaheri!
 
Kuna watu hapa Zitto ndiyo lulu na encyclopaedia yao. Akisema jambo hata la uzusihi watalipamia kama walizaliwa nalo. Alitoa uzushi wa trilioni 1.5 bila ushahid, mpaka leo bado bado wanaimba uzusihi huo hata baada ya kuwa imekuwa proved kuwa ulikuwa ni uwongo. Kwa hiyo zito anajua ana wafuiasi watakaokubali lolote atakalosema, na sasa anawaambia kuwa ataipigia debe serikali kusudi wafuasi wake nao waingie kupiga debe
Trl 1.5 mbona hata kwenye vitabu vya CAG imo. Au unataka ushahidi gani ?!
 
Eti Mbowe kushtakiwa ni kuvunja haki za binadamu lakin Kesi hiyo hiyo akiwa nayo Sabaya ni kutetea haki za binadamu

Watu walikuwa wanaokotwa kwny Viroba kule Coco beach lakin kina Warioba waliufyata ingekuwa enzi za JK wangekaa kimya?

Wakati wa JK kila kigoda cha Nyerere cha kina Butiku kikikutana wakati wa JK ni kutukana Rais, alipoingia mwendazake uliwaskia? Sasa hivi wamerudi tena 'Studio' kurekodi


Yaan hizo tafsiri zako ukitafsiri kwa Wanasiasa wengine mbona wengi tu watakuwa wadini
Wakatoliki huwa hawaridhiki rais akiwa muislam, kuanzia viongozi wa dini, vyombo vya habari mpaka waumini, kelele huwa nyingi, mwinyi alikoma, akikaa mwenzao huwasikii, bahati mbaya wakatoliki wa tz uongozi hawawezi, wakiingia ni dhiki, ubabe usio na msingi
 
Back
Top Bottom