Zitto: Msitegemee nitakosoa kama kipindi cha Magufuli

Zitto: Msitegemee nitakosoa kama kipindi cha Magufuli

Pia wakati huo huo wa Jk ndio Mbowe alipewa fursa ya kuendelea biashara zake pale Billicanus bure kwa miaka 10 bila ya kulipa kodi kuanzia 2006-2015 na mchakato wa kubinafsisha jengo kutoka NHC.kwenda kwa Mbowe ulianza wakati huo

Wakati huo huo wa JK ndio Mbowe alihakikishiwa kupewa kandarasi ya kusafirisha vifurushi pale KIA kwa njia ya single source procurement

Pia Semina za Serikali na matangazo ya serikali yakaanza kupelekwa kwny Hotel za Mbowe na Tanzania Daima

Mnapotaja fursa za Zitto alizopewa na JK mkumbuke kuwa kipindi hicho hicho ndio Chadema walimpa Tiketi ya kuwa Mbunge na Mwenyekiti wa PAC


Mnapotaja fursa alizopata Zitto wakati wa JK mkumbuke na fursa walizopata kina Mbowe na Mbatia ikiwemo Ubunge wa kuteuliwa
Na kuongeza ndicho kipindi jamaa alitembelea stk na kukunja mil200 kila mwezi!
 
Wanasiasa wote ni wachumia matumbo tu , hakuna wa kukutetea,

Chamsingi ni kufanya kazi kwa bidii na kwa kutumia maarifa aliyokupa Mungu ili uweze kujikwamua kimaisha wewe na familia yako
Dah....na kwa bahati mbaya wao ndiyo wameshikilia 95% ya mafanikio yako 🤣🤣🤣🤭
 
Wanasiasa wote ni wachumia matumbo tu , hakuna wa kukutetea,

Chamsingi ni kufanya kazi kwa bidii na kwa kutumia maarifa aliyokupa Mungu ili uweze kujikwamua kimaisha wewe na familia yako
Wanasiasa wote ni wachumia matumbo tu , hakuna wa kukutetea,

Chamsingi ni kufanya kazi kwa bidii na kwa kutumia maarifa aliyokupa Mungu ili uweze kujikwamua kimaisha wewe na familia yako
 
Back
Top Bottom