Kila mtu ana Uhuru na Haki ya kujiunga na chama anachotaka ni haki ya kikatiba.
Tatizo kukipeleka chama kizima huko CCM hilo ndio halikubaliki kama wanaenda waende wao kama wao.
Mbona mashujaa wanazaliwa kila siku.
Huwezi kumzuia mtu asijiunge na chama anachotaka
Tatizo kukipeleka chama kizima huko CCM hilo ndio halikubaliki kama wanaenda waende wao kama wao.
Mbona mashujaa wanazaliwa kila siku.
Huwezi kumzuia mtu asijiunge na chama anachotaka