Zanzibar 2020 Zitto na Maalim Seif, Mkijiunga na Serikali ya Kitaifa huko Zanzibar nyinyi ni wasaliti!

Zanzibar 2020 Zitto na Maalim Seif, Mkijiunga na Serikali ya Kitaifa huko Zanzibar nyinyi ni wasaliti!

Siasa za ZANZIBAR ziko "complicated" na tofauti sana na za nchi NYINGINEZO...

Wala sitoshangaa kwa MAALIM kusimamia LOLOTE awezalo....

Kwanza UMRI UNAMTUPA......

Uchaguzi UJAO atakuwa na miaka 83 panapo UZIMA.......

Je kizazi cha kina Jussa na wengineo WASUBURI TU hadi hapo ATAKAPOSHINDA Urais?!!!!😂😂😂

👆👆

HAKIKA huko ni KUBET huku UMEFUNGA MACHO.....
 
hili kongwa la unyonyaji na unyanyasaji mpaka lini ??
Sidhani kama Nguruvi-tatu atakuelewa kuwa Zanzibar ina nyonywa, ana ushahidi tena upo hapa JF labda kama uzi uoh umefungwa. Kwa mujibu wake Zanzibar inanyonya upande mwingine wa muungano! Ana hoja zinaeleweka!
 
Kwako ndugu Zitto
Kwako ndugu Maalim

Wazanzibari wameona!
Afrika imeona!
Dunia Imeona!

Dhulma ya kutisha waliyofanyiwa Wazanzibari, torture, mauaji, uporaji wa dhahiri haki ya wazanzibari kuchagua viongozi wao.

Halafu leo hii kwa sababu ya vyeovyeo na maslahi yatokanayo na vyeo hivyo nasikia mnafikiria kujiunga kwenye meza ya waliofanya udhalimu?

Ndugu Zitto, Dunia ikisikia itawaona nyie ni Wasaliti!. Heshima ya Maalimu itaporomoka kama barafu kiangazi.

Kujiunga kwenye meza ya udhalimu maana yake mmekubaliana na udhalimu huo, na mibarua yote mliyoandika kwenye mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu haina maana yoyote. Na kibaya zaidi mtawapa ujasiri watawala dhalimu kufanya udhalimu wao tena na tena kwa staili ileile kwa sababu wanajua at the end of the day watawapoza kwa fedha na vijimadaraka madaraka!

I know it, I know at one point or another watataka kumitigate athari za udhalimu wao kupitia fedha!. Wanajua individually mna hali ngumu ya kifedha, watakuja kwa kuweka mpunga mezani mkae atleast mkae kimya. Sasa Fedha si kila kitu, Judas Escariot alikuja kulijua hili wakati keshamsaliti Yesu!

Zitto, ACT Mkijiunga na Serikali ya Zanzibar ile tag ya usaliti uliyowekwa haitofutika kamwe, na wananchi hawatokupa heshima ambayo kwa kweli kutokana na kazi yako nzuri katika siasa unaideserve!

Maalim Ukijiunga na hiyo serikali, Heshima yako ya miaka zaidi ya 35 ya kuipigania Zanzibar itafutika, na utaonekana kuwa zile dhana za kuwa wewe ni mtu wa CCM ni kweli na Ukifanya hivyo zile ndoto za kuikomboa Zanzibar zitapotea. Ni heri ustaafu, uwaachie vijana waendeleze harakati kuliko kula haramu

Najua, Masheikh, Wastasfu wazito, Watu wakubwa kedekede wanakuja kwenu, au kukupigiani simu ili mlainike, hao ni wanafiki, walikuwa wapi wakati kuna uharamia wa waziwazi.

Pia najua kuna wanasiasa pengine wako blackmailed kuwa ni lazima wawe onboard, Nakuelezeni ni heri ACT ife kuliko kukubali kuendorse dhulma, Mkikubaliana na dhulma kwa sababu ya vijipesapesa hivi na hofu ya mtaishije basi ni heri Tubaki na chama kimoja nchini au tutawaliwe kifalme, otherwise Msigeuke Wasaliti!

Mkiingia kwenye serikali hiyo ni kwa ajili ya matumbo yenu tu na si kwa ajili ya watu wa Zanzibar.

Na kama Maalim Seif hatajiunga na serikali ya Zenj yaani achukue nafasi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, basi siyo mzalendo! Wasuse kama walivyosusa kipindi cha awamu ya Dr Shein! Let them abscond and remain at home for the entire five year period and continue to flip Zenj burger(maandazi)!
 
Kwako ndugu Zitto
Kwako ndugu Maalim

Wazanzibari wameona!
Afrika imeona!
Dunia Imeona!

Dhulma ya kutisha waliyofanyiwa Wazanzibari, torture, mauaji, uporaji wa dhahiri haki ya wazanzibari kuchagua viongozi wao.

Halafu leo hii kwa sababu ya vyeovyeo na maslahi yatokanayo na vyeo hivyo nasikia mnafikiria kujiunga kwenye meza ya waliofanya udhalimu?

Ndugu Zitto, Dunia ikisikia itawaona nyie ni Wasaliti!. Heshima ya Maalimu itaporomoka kama barafu kiangazi.

Kujiunga kwenye meza ya udhalimu maana yake mmekubaliana na udhalimu huo, na mibarua yote mliyoandika kwenye mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu haina maana yoyote. Na kibaya zaidi mtawapa ujasiri watawala dhalimu kufanya udhalimu wao tena na tena kwa staili ileile kwa sababu wanajua at the end of the day watawapoza kwa fedha na vijimadaraka madaraka!

I know it, I know at one point or another watataka kumitigate athari za udhalimu wao kupitia fedha!. Wanajua individually mna hali ngumu ya kifedha, watakuja kwa kuweka mpunga mezani mkae atleast mkae kimya. Sasa Fedha si kila kitu, Judas Escariot alikuja kulijua hili wakati keshamsaliti Yesu!

Zitto, ACT Mkijiunga na Serikali ya Zanzibar ile tag ya usaliti uliyowekwa haitofutika kamwe, na wananchi hawatokupa heshima ambayo kwa kweli kutokana na kazi yako nzuri katika siasa unaideserve!

Maalim Ukijiunga na hiyo serikali, Heshima yako ya miaka zaidi ya 35 ya kuipigania Zanzibar itafutika, na utaonekana kuwa zile dhana za kuwa wewe ni mtu wa CCM ni kweli na Ukifanya hivyo zile ndoto za kuikomboa Zanzibar zitapotea. Ni heri ustaafu, uwaachie vijana waendeleze harakati kuliko kula haramu

Najua, Masheikh, Wastasfu wazito, Watu wakubwa kedekede wanakuja kwenu, au kukupigiani simu ili mlainike, hao ni wanafiki, walikuwa wapi wakati kuna uharamia wa waziwazi.

Pia najua kuna wanasiasa pengine wako blackmailed kuwa ni lazima wawe onboard, Nakuelezeni ni heri ACT ife kuliko kukubali kuendorse dhulma, Mkikubaliana na dhulma kwa sababu ya vijipesapesa hivi na hofu ya mtaishije basi ni heri Tubaki na chama kimoja nchini au tutawaliwe kifalme, otherwise Msigeuke Wasaliti!

Mkiingia kwenye serikali hiyo ni kwa ajili ya matumbo yenu tu na si kwa ajili ya watu wa Zanzibar.
Maalim Seif, heshima yako Mkuu. Please, kindly stop this nonsense. Waache wezi waendelee na Serikali yao. Hakuna kujiunga nao. Mind you, watu wamekufa na wengine kupata vilema vya kudumu. Ole wako uwasaliti. Wazanzibari watakuua kabla CCM haijakuua.
 
Kwako ndugu Zitto
Kwako ndugu Maalim

Wazanzibari wameona!
Afrika imeona!
Dunia Imeona!

Dhulma ya kutisha waliyofanyiwa Wazanzibari, torture, mauaji, uporaji wa dhahiri haki ya wazanzibari kuchagua viongozi wao.

Halafu leo hii kwa sababu ya vyeovyeo na maslahi yatokanayo na vyeo hivyo nasikia mnafikiria kujiunga kwenye meza ya waliofanya udhalimu?

Ndugu Zitto, Dunia ikisikia itawaona nyie ni Wasaliti!. Heshima ya Maalimu itaporomoka kama barafu kiangazi.

Kujiunga kwenye meza ya udhalimu maana yake mmekubaliana na udhalimu huo, na mibarua yote mliyoandika kwenye mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu haina maana yoyote. Na kibaya zaidi mtawapa ujasiri watawala dhalimu kufanya udhalimu wao tena na tena kwa staili ileile kwa sababu wanajua at the end of the day watawapoza kwa fedha na vijimadaraka madaraka!

I know it, I know at one point or another watataka kumitigate athari za udhalimu wao kupitia fedha!. Wanajua individually mna hali ngumu ya kifedha, watakuja kwa kuweka mpunga mezani mkae atleast mkae kimya. Sasa Fedha si kila kitu, Judas Escariot alikuja kulijua hili wakati keshamsaliti Yesu!

Zitto, ACT Mkijiunga na Serikali ya Zanzibar ile tag ya usaliti uliyowekwa haitofutika kamwe, na wananchi hawatokupa heshima ambayo kwa kweli kutokana na kazi yako nzuri katika siasa unaideserve!

Maalim Ukijiunga na hiyo serikali, Heshima yako ya miaka zaidi ya 35 ya kuipigania Zanzibar itafutika, na utaonekana kuwa zile dhana za kuwa wewe ni mtu wa CCM ni kweli na Ukifanya hivyo zile ndoto za kuikomboa Zanzibar zitapotea. Ni heri ustaafu, uwaachie vijana waendeleze harakati kuliko kula haramu

Najua, Masheikh, Wastasfu wazito, Watu wakubwa kedekede wanakuja kwenu, au kukupigiani simu ili mlainike, hao ni wanafiki, walikuwa wapi wakati kuna uharamia wa waziwazi.

Pia najua kuna wanasiasa pengine wako blackmailed kuwa ni lazima wawe onboard, Nakuelezeni ni heri ACT ife kuliko kukubali kuendorse dhulma, Mkikubaliana na dhulma kwa sababu ya vijipesapesa hivi na hofu ya mtaishije basi ni heri Tubaki na chama kimoja nchini au tutawaliwe kifalme, otherwise Msigeuke Wasaliti!

Mkiingia kwenye serikali hiyo ni kwa ajili ya matumbo yenu tu na si kwa ajili ya watu wa Zanzibar.
Haya tumekuskia
 
Back
Top Bottom