Hakuna anayemuomba mwanasiasa ugali, tunataka wawe committed kupigania nchi. Kama wewe unawajua wanasiasa njaa kama majority ya walioko CCM hilo lisikufanye uamini kuwa lazima kila mwanasiasa lazima aweke mbeke tumbo lake kabla ya nchi!Tukisema vijana kuweni makini msitumike kama Condom muwe mnaelewa
Hakuna Mwanasiasa wa kujitoa kwa ajili yako, huku Halima na Ester nao heka heka
Hakuna anayemuomba mwanasiasa ugali, tunataka wawe committed kupigania nchi. Kama wewe unawajua wanasiasa njaa kama majority ya walioko CCM hilo lisikufanye uamini kuwa lazima kila mwanasiasa lazima aweke mbeke tumbo lake kabla ya nchi!
yaani nyie ndo majoka kuliko hata CCM heri kukabidhi nchi kwa CCM kuliko majambazi yanayotaka kutuuza kwa mabeberuUhai wa watu hauna maana kwenu kuliko hicho kitu 'so called' uchumi?
Nani kawapa mamlaka ya kuwauwa wenzenu kisa matumbo yenu?
Ina maana mlishaongea na Mungu kuwa msipokuwa watawala basi hatowapa tena riziki zenu?
Kumbukeni kuwa kuna maisha baada ya kufa. Nyie teseni, umizeni na ueni pia ila mwisho wa siku mtakuja kulipwa kwa mnayoyafanya bila shaka.
Hizi ni nasaha zangu kwenu, mkitaka mtazifanyia kazi laa hamtaki basi tukutane kwa Mungu.
Hata Nyerere, Kawawa, Bomani, Lusinde, Salim, na wa aina hiyo walikuwa wakiweka mbele maslahi yao binafsi na si ya Taifa?Hakuna hata Mwanasiasa mmoja asieweka mbele maslahi yake Tanzania
Ujuha ni pale unapothamini kitu badala ya utu. Kisa uchumi "ukuwe" tu basi tumwage damu za watu? Au wewe ndio wale mnaotoa watoto zenu kafara ili mukuwe kiuchumi?Kwani lengo lao hasa lilikuwa lipi? Watakuwaje wasaliti katika kipindi ambacho wamepewa fursa ya kuwa sehemu ya Serikali?
Au mlipanga kuwahujumu wazanzibari? Tuache ujuha, tuijenge Tanzania iwe nchi yenye uchumi Imara Kama nchi za Asia ambazo zimechukua hatua na kuingia kwenye uchumi mkubwa kuliko kuhangaika na siasa zenye kudhoofisha uchumi wetu!
Kwani lengo lao hasa lilikuwa lipi? Watakuwaje wasaliti katika kipindi ambacho wamepewa fursa ya kuwa sehemu ya Serikali?
Au mlipanga kuwahujumu wazanzibari? Tuache ujuha, tuijenge Tanzania iwe nchi yenye uchumi Imara Kama nchi za Asia ambazo zimechukua hatua na kuingia kwenye uchumi mkubwa kuliko kuhangaika na siasa zenye kudhoofisha uchumi wetu!
Kusarenda pia ni njia ya moja ya kumshinda adui kama hakuna namna huwezi kujidai una msimamo wakati wafuasi wako wanaumizwa kinyma na sasa ni giza totoro hakuna mwanga wowote. watajipanga upya baadae utawala ukibadilika.Yaani Akina Mazrui ndo wafanywe bargaining chip ya ACT kukubali udhalimu halafu na wao ACT wakubali? - Hoja yako ni sawa na kudema askari akikamatwa na adui basi kikosi chake nacho kisarende kwa adui ili asiuliwe!.
Kama kufa wameshakufa makumi ya Wazanzibari wasio na hatia, kwa hiyo maisha ya Mazrui hayana thamani kushinda wote hao waliokufa!.
Mi heri Mazrui afe Shahidi kuliko kusaliti wananchi wa Zanzibar
Unafiki ulioje,mnawaacha mashehe wanaozea jela mnajifanya kutetea amani.Nonsence!Hao mashehe kama kweli wanataka umoja kwanini hawaanzii kwa mashehe wenzao wanaoozea jela! Siwapendi mashehe, mitume na manabii wa CCM.