Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Sidhani kama Nguruvi-tatu atakuelewa kuwa Zanzibar ina nyonywa, ana ushahidi tena upo hapa JF labda kama uzi uoh umefungwa. Kwa mujibu wake Zanzibar inanyonya upande mwingine wa muungano! Ana hoja zinaeleweka!hili kongwa la unyonyaji na unyanyasaji mpaka lini ??
Kwako ndugu Zitto
Kwako ndugu Maalim
Wazanzibari wameona!
Afrika imeona!
Dunia Imeona!
Dhulma ya kutisha waliyofanyiwa Wazanzibari, torture, mauaji, uporaji wa dhahiri haki ya wazanzibari kuchagua viongozi wao.
Halafu leo hii kwa sababu ya vyeovyeo na maslahi yatokanayo na vyeo hivyo nasikia mnafikiria kujiunga kwenye meza ya waliofanya udhalimu?
Ndugu Zitto, Dunia ikisikia itawaona nyie ni Wasaliti!. Heshima ya Maalimu itaporomoka kama barafu kiangazi.
Kujiunga kwenye meza ya udhalimu maana yake mmekubaliana na udhalimu huo, na mibarua yote mliyoandika kwenye mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu haina maana yoyote. Na kibaya zaidi mtawapa ujasiri watawala dhalimu kufanya udhalimu wao tena na tena kwa staili ileile kwa sababu wanajua at the end of the day watawapoza kwa fedha na vijimadaraka madaraka!
I know it, I know at one point or another watataka kumitigate athari za udhalimu wao kupitia fedha!. Wanajua individually mna hali ngumu ya kifedha, watakuja kwa kuweka mpunga mezani mkae atleast mkae kimya. Sasa Fedha si kila kitu, Judas Escariot alikuja kulijua hili wakati keshamsaliti Yesu!
Zitto, ACT Mkijiunga na Serikali ya Zanzibar ile tag ya usaliti uliyowekwa haitofutika kamwe, na wananchi hawatokupa heshima ambayo kwa kweli kutokana na kazi yako nzuri katika siasa unaideserve!
Maalim Ukijiunga na hiyo serikali, Heshima yako ya miaka zaidi ya 35 ya kuipigania Zanzibar itafutika, na utaonekana kuwa zile dhana za kuwa wewe ni mtu wa CCM ni kweli na Ukifanya hivyo zile ndoto za kuikomboa Zanzibar zitapotea. Ni heri ustaafu, uwaachie vijana waendeleze harakati kuliko kula haramu
Najua, Masheikh, Wastasfu wazito, Watu wakubwa kedekede wanakuja kwenu, au kukupigiani simu ili mlainike, hao ni wanafiki, walikuwa wapi wakati kuna uharamia wa waziwazi.
Pia najua kuna wanasiasa pengine wako blackmailed kuwa ni lazima wawe onboard, Nakuelezeni ni heri ACT ife kuliko kukubali kuendorse dhulma, Mkikubaliana na dhulma kwa sababu ya vijipesapesa hivi na hofu ya mtaishije basi ni heri Tubaki na chama kimoja nchini au tutawaliwe kifalme, otherwise Msigeuke Wasaliti!
Mkiingia kwenye serikali hiyo ni kwa ajili ya matumbo yenu tu na si kwa ajili ya watu wa Zanzibar.
Maalim Seif, heshima yako Mkuu. Please, kindly stop this nonsense. Waache wezi waendelee na Serikali yao. Hakuna kujiunga nao. Mind you, watu wamekufa na wengine kupata vilema vya kudumu. Ole wako uwasaliti. Wazanzibari watakuua kabla CCM haijakuua.Kwako ndugu Zitto
Kwako ndugu Maalim
Wazanzibari wameona!
Afrika imeona!
Dunia Imeona!
Dhulma ya kutisha waliyofanyiwa Wazanzibari, torture, mauaji, uporaji wa dhahiri haki ya wazanzibari kuchagua viongozi wao.
Halafu leo hii kwa sababu ya vyeovyeo na maslahi yatokanayo na vyeo hivyo nasikia mnafikiria kujiunga kwenye meza ya waliofanya udhalimu?
Ndugu Zitto, Dunia ikisikia itawaona nyie ni Wasaliti!. Heshima ya Maalimu itaporomoka kama barafu kiangazi.
Kujiunga kwenye meza ya udhalimu maana yake mmekubaliana na udhalimu huo, na mibarua yote mliyoandika kwenye mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu haina maana yoyote. Na kibaya zaidi mtawapa ujasiri watawala dhalimu kufanya udhalimu wao tena na tena kwa staili ileile kwa sababu wanajua at the end of the day watawapoza kwa fedha na vijimadaraka madaraka!
I know it, I know at one point or another watataka kumitigate athari za udhalimu wao kupitia fedha!. Wanajua individually mna hali ngumu ya kifedha, watakuja kwa kuweka mpunga mezani mkae atleast mkae kimya. Sasa Fedha si kila kitu, Judas Escariot alikuja kulijua hili wakati keshamsaliti Yesu!
Zitto, ACT Mkijiunga na Serikali ya Zanzibar ile tag ya usaliti uliyowekwa haitofutika kamwe, na wananchi hawatokupa heshima ambayo kwa kweli kutokana na kazi yako nzuri katika siasa unaideserve!
Maalim Ukijiunga na hiyo serikali, Heshima yako ya miaka zaidi ya 35 ya kuipigania Zanzibar itafutika, na utaonekana kuwa zile dhana za kuwa wewe ni mtu wa CCM ni kweli na Ukifanya hivyo zile ndoto za kuikomboa Zanzibar zitapotea. Ni heri ustaafu, uwaachie vijana waendeleze harakati kuliko kula haramu
Najua, Masheikh, Wastasfu wazito, Watu wakubwa kedekede wanakuja kwenu, au kukupigiani simu ili mlainike, hao ni wanafiki, walikuwa wapi wakati kuna uharamia wa waziwazi.
Pia najua kuna wanasiasa pengine wako blackmailed kuwa ni lazima wawe onboard, Nakuelezeni ni heri ACT ife kuliko kukubali kuendorse dhulma, Mkikubaliana na dhulma kwa sababu ya vijipesapesa hivi na hofu ya mtaishije basi ni heri Tubaki na chama kimoja nchini au tutawaliwe kifalme, otherwise Msigeuke Wasaliti!
Mkiingia kwenye serikali hiyo ni kwa ajili ya matumbo yenu tu na si kwa ajili ya watu wa Zanzibar.
Ni jukumu la Serikali kulinda usalama wa wananchi wake, hivyo Serikali ina jukumu la kuwadhibiti wapumbavu wenye kutaka kuleta machafuko Zanzibar! Najua Leo ungekuja na swali kwanini Serikali imeruhusu watu kuvurugana Zanzibar?
Haya tumekuskiaKwako ndugu Zitto
Kwako ndugu Maalim
Wazanzibari wameona!
Afrika imeona!
Dunia Imeona!
Dhulma ya kutisha waliyofanyiwa Wazanzibari, torture, mauaji, uporaji wa dhahiri haki ya wazanzibari kuchagua viongozi wao.
Halafu leo hii kwa sababu ya vyeovyeo na maslahi yatokanayo na vyeo hivyo nasikia mnafikiria kujiunga kwenye meza ya waliofanya udhalimu?
Ndugu Zitto, Dunia ikisikia itawaona nyie ni Wasaliti!. Heshima ya Maalimu itaporomoka kama barafu kiangazi.
Kujiunga kwenye meza ya udhalimu maana yake mmekubaliana na udhalimu huo, na mibarua yote mliyoandika kwenye mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu haina maana yoyote. Na kibaya zaidi mtawapa ujasiri watawala dhalimu kufanya udhalimu wao tena na tena kwa staili ileile kwa sababu wanajua at the end of the day watawapoza kwa fedha na vijimadaraka madaraka!
I know it, I know at one point or another watataka kumitigate athari za udhalimu wao kupitia fedha!. Wanajua individually mna hali ngumu ya kifedha, watakuja kwa kuweka mpunga mezani mkae atleast mkae kimya. Sasa Fedha si kila kitu, Judas Escariot alikuja kulijua hili wakati keshamsaliti Yesu!
Zitto, ACT Mkijiunga na Serikali ya Zanzibar ile tag ya usaliti uliyowekwa haitofutika kamwe, na wananchi hawatokupa heshima ambayo kwa kweli kutokana na kazi yako nzuri katika siasa unaideserve!
Maalim Ukijiunga na hiyo serikali, Heshima yako ya miaka zaidi ya 35 ya kuipigania Zanzibar itafutika, na utaonekana kuwa zile dhana za kuwa wewe ni mtu wa CCM ni kweli na Ukifanya hivyo zile ndoto za kuikomboa Zanzibar zitapotea. Ni heri ustaafu, uwaachie vijana waendeleze harakati kuliko kula haramu
Najua, Masheikh, Wastasfu wazito, Watu wakubwa kedekede wanakuja kwenu, au kukupigiani simu ili mlainike, hao ni wanafiki, walikuwa wapi wakati kuna uharamia wa waziwazi.
Pia najua kuna wanasiasa pengine wako blackmailed kuwa ni lazima wawe onboard, Nakuelezeni ni heri ACT ife kuliko kukubali kuendorse dhulma, Mkikubaliana na dhulma kwa sababu ya vijipesapesa hivi na hofu ya mtaishije basi ni heri Tubaki na chama kimoja nchini au tutawaliwe kifalme, otherwise Msigeuke Wasaliti!
Mkiingia kwenye serikali hiyo ni kwa ajili ya matumbo yenu tu na si kwa ajili ya watu wa Zanzibar.