Zitto: Ni aibu na unafiki mkubwa wa Kidiplomasia tunaacha kuipigia kura Kenya mwana jumuiya mwenzetu wa EAC na kuipa Djibouti kura ya UN kupata kiti

Zitto: Ni aibu na unafiki mkubwa wa Kidiplomasia tunaacha kuipigia kura Kenya mwana jumuiya mwenzetu wa EAC na kuipa Djibouti kura ya UN kupata kiti

Watu wako busy kujadili fake news.
KUNA MKENYA NIMEONGEA NAYE ANACHEKA anasema habari hiyo walikuwa wanawapima watanzania waone kama akili zimo au hazimo wakiwemo wanasiasa wakubwa.Na wamethibitisha kuwa wakiwemo wanasiasa wakubwa akina zitto kabwe akili hawana!!!

Kosovo sio mwanachama wa umoja wa taifa hilo la kwanza kwa hiyo hawezi kupiga kura
cha pili kwenye hiyo ripoti kosovo imeandikwa mara mbili kuonyesha kama nchi mbili za kosovo zipo !!! umoja wa mataifa!!! na zimepiga kura!!!

Zitto kadhibitisha kuwa kuna wanasiasa wanaoitwa nguli Tanzania ni wajinga wa kutupwa akiwemo yeye hajui chochote kuhusu international affairs!!!

.Cheki hapo kosovo asiye mwanachama eti kapiga kura halafu nchi za kosovo ziko mbili!!!

1592687712725.png
 
Hivi Huyu “ Yesu” wa chato anasoma bibilia gani?Maana Biblia inasema Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe sasa huyo Jibuti jirani wa nani?
Ina maana huelewi maana ya neno FAKE au umeamua kujitoa ufahamu.
 
Ila kwa Tanzania kuinyima kura Kenya ni UCHAWI, WIVU WA KIJINGA, VISASI VYA KIPUUZI, NA U MUCH KNOW. Sasa wameshinda ona tunavyojiabisha huku tukiwa watupu!

Eti EAC ni wamoja!
Wewe jamaa hujielewi umeshaambiwa hiyo list ni fake ila bado unakomalia, kura za kimataifa huwa ni siri
 
Back
Top Bottom