Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,660
Haijalishi, ila watanzania wamejua nini mnafanya
Halafu wakishajua ndio nini sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi, ila watanzania wamejua nini mnafanya
Hao ndio wataipigia kura na kuitangaza ushindi chadema mwezi oktoba mwaka huu?Unahangaika hadi utataga leo, hapa Membe kule Kenya lazima utage
Vichakani..Zitto mnafiki hana jipya , karudisha sana nyuma harakati za ukombozi, kazi yake kumlamba Halima Bulembo
Usiwaamini hao majamaa!Hivi kumbe UNSC huwa hawapigi kura kwa siri? Mbona nasikia hii doc ni fake? Mm! Ila kama ni kweli basi tumekuwa kigeugeu kweli kweli maana Nov 27, 2019 JPM alimtuma Kabudi kuihakikishia kenya kura ya Tanzania.
Huyo mkenya ndie mwanzilishi wa huo uzushi unaoonyesha kosovo ziko nchi mbili umoja wa mataifa kwenye hiyo ripoti akina Zitto Kabwe wamefanya kudakia tu bila hata kusoma ku counter check kilichomo huyo mkenya haji ataingia mitini.Kawadanganya wakenya wenzie Tanzania kakwama.Kiripoti chake fake kimekutana na sisi wenye akili watanzania tumegundua Kosovo imeandikwa mara mbili kuonyesha umoja wa mataifa ziko nchi mbili za KOSOVO zilizopiga kura.Ni watanzania wajinga wachache wakiongozwa na Zitto Kabwe ndio wameichukulia juu kwa juu hiyo ripoti kuwa sahihi!!!!MK254 hebu leta ufafanuzi, kuna hili bumunda la Lumumba linaleta uzushi hapa
Huyo ndio alikuwepo UN na alikuwa anaangalia wanaoipigia kura Kenya?MK254 hebu leta ufafanuzi, kuna hili bumunda la Lumumba linaleta uzushi hapa
Hao ndio wataipigia kura na kuitangaza ushindi chadema mwezi oktoba mwaka huu?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Huyo ndio alikuwepo UN na alikuwa anaangalia wanaoipigia kura Kenya?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Halafu wakishajua ndio nini sasa?
Kesho asubuhi nakupitia twende bandarini tukaligomboe lile bus la Lisu alilopewa zawadi huko ubelgiji.
Hiyo ni tabia ya kichawi maana Haina mantiki yyteSitaki kuamini kama ni kweli Tanzania @foreigntanzania imeipigia kura Nchi ya Djibouti dhidi ya Nchi mwanachama wa EAC Jumuiya Jamhuri ya Kenya. Kenya ni chaguo la AU @_AfricanUnion iweje Tanzania ikengeuke? Serikali inapaswa kutoa maelezo ya kina kuhusu hili. Ni tatizo kubwa https://t.co/8qeMXUL4sView attachment 1485147
Hujui au unauliza jibu?
Wapi, bandarini?Twende na Membe 2020
Membe muda wake umeshapita, sasa kuna kiazi kipya kabisa cha wana CCM, tupo na Magu, na tunaendelea vyema.Twende na Membe 2020 atuvushe wana ccm wenzetu maana ndiyo chaguo letu wana ccm
Hata Chato kuna wana Chadema, Utachagua Rais sababu ni jirani yako? Ni uhuru wetu kuchagua anayefaa sio anayeshindwa na kikundi kidogo cha Somalia, lazima kuna ulakini hapo. Kwani Kenya ni ndugu yetu, mbona inatushambulia kisiasa na kushindana na siye kwa njia yeyote hata kutuibia mlima Kilimanjaro? Kwani Zitto ni mkenya au Mtanzania? Kwani Djibouti haipo Afrika?Sitaki kuamini kama ni kweli Tanzania @foreigntanzania imeipigia kura Nchi ya Djibouti dhidi ya Nchi mwanachama wa EAC Jumuiya Jamhuri ya Kenya. Kenya ni chaguo la AU @_AfricanUnion iweje Tanzania ikengeuke? Serikali inapaswa kutoa maelezo ya kina kuhusu hili. Ni tatizo kubwa https://t.co/8qeMXUL4sView attachment 1485147
Membe muda wake umeshapita, sasa kuna kiazi kipya kabisa cha wana CCM, tupo na Magu, na tunaendelea vyema.
Wenzake wametulia wanakula pensheni yeye bado tu anakesha twitter.