Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna MTU bado anamuamini Zito??Sitaki kuamini kama ni kweli Tanzania @foreigntanzania imeipigia kura Nchi ya Djibouti dhidi ya Nchi mwanachama wa EAC Jumuiya Jamhuri ya Kenya. Kenya ni chaguo la AU @_AfricanUnion iweje Tanzania ikengeuke? Serikali inapaswa kutoa maelezo ya kina kuhusu hili. Ni tatizo kubwa https://t.co/8qeMXUL4sView attachment 1485147
Membe hana uwezo wa kushinda hata yeye anafahamu hilo, ndio maana anataka apewe nafasi ya kunogeshaSisi wana ccm tunamuhitaji Membe tu
Membe hana uwezo wa kushinda hata yeye anafahamu hilo, ndio maana anataka apewe nafasi ya kunogesha
labda atashinda akila chakula kitamu.Atashinda tu mapemaaaa saa 4
ACHA TABIA YA KURUKIA KILKILASitaki kuamini kama ni kweli Tanzania @foreigntanzania imeipigia kura Nchi ya Djibouti dhidi ya Nchi mwanachama wa EAC Jumuiya Jamhuri ya Kenya. Kenya ni chaguo la AU @_AfricanUnion iweje Tanzania ikengeuke? Serikali inapaswa kutoa maelezo ya kina kuhusu hili. Ni tatizo kubwa View attachment 1485147
ZSitaki kuamini kama ni kweli Tanzania @foreigntanzania imeipigia kura Nchi ya Djibouti dhidi ya Nchi mwanachama wa EAC Jumuiya Jamhuri ya Kenya. Kenya ni chaguo la AU @_AfricanUnion iweje Tanzania ikengeuke? Serikali inapaswa kutoa maelezo ya kina kuhusu hili. Ni tatizo kubwa View attachment 1485147
Zitto mnafiki hana jipya , karudisha sana nyuma harakati za ukombozi, kazi yake kumlamba Halima Bulembo
Kwani kura si matakwa ya mtu? Au lazima umpigie flani hata kama ni mbovu kisa ni ndugu yako?
Ndio maana huko act chama kimekuwa kama cha kidini kisa kwa vile Zitto ni muislamu basi anajaza waislamu wenzie?
Na huko chadema ndio maana viti maalumu wanapewa mahawara?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Sitaki kuamini kama ni kweli Tanzania @foreigntanzania imeipigia kura Nchi ya Djibouti dhidi ya Nchi mwanachama wa EAC Jumuiya Jamhuri ya Kenya. Kenya ni chaguo la AU @_AfricanUnion iweje Tanzania ikengeuke? Serikali inapaswa kutoa maelezo ya kina kuhusu hili. Ni tatizo kubwa View attachment 1485147
Kwani anavunja sheria akimlamba?Zitto mnafiki hana jipya , karudisha sana nyuma harakati za ukombozi, kazi yake kumlamba Halima Bulembo
boss ulitaka akulambe wewe mbona unawivuZitto mnafiki hana jipya , karudisha sana nyuma harakati za ukombozi, kazi yake kumlamba Halima Bulembo
acha wivu mkuu, au ulitaka amlambe mazeri wako?!.Zitto mnafiki hana jipya , karudisha sana nyuma harakati za ukombozi, kazi yake kumlamba Halima Bulembo
Pelekeni huu ujinga wenu huko mwandigaUnazidi kuuziilisha ujinga wako