Wacha alambe vya kijani sivitamu..??Zitto mnafiki hana jipya , karudisha sana nyuma harakati za ukombozi, kazi yake kumlamba Halima Bulembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha alambe vya kijani sivitamu..??Zitto mnafiki hana jipya , karudisha sana nyuma harakati za ukombozi, kazi yake kumlamba Halima Bulembo
Sitaki kuamini kama ni kweli Tanzania @foreigntanzania imeipigia kura Nchi ya Djibouti dhidi ya Nchi mwanachama wa EAC Jumuiya Jamhuri ya Kenya. Kenya ni chaguo la AU @_AfricanUnion iweje Tanzania ikengeuke? Serikali inapaswa kutoa maelezo ya kina kuhusu hili. Ni tatizo kubwa https://t.co/8qeMXUL4sView attachment 1485147
Baba akiwa mchawi kwenye familia, uchawi wake mnavishwa familia nzima. Majirani wanajua sisi sote wachawi tu.
Halafu Kenya Kashinda, ila jiwe bwana roho mbaya mpaka anashangaza
Watanzania wanaoishi kenya sijuwi anawaweka ktk hali gani.
Kabudi atakuwa alipewa maagizo na jiwe.
fake comment
Ungepiga kura wewe
Halafu Kenya Kashinda, ila jiwe bwana roho mbaya mpaka anashangaza
Watanzania wanaoishi kenya sijuwi anawaweka ktk hali gani.
Kabudi atakuwa alipewa maagizo na jiwe.
Halafu Kenya Kashinda, ila jiwe bwana roho mbaya mpaka anashangaza
Watanzania wanaoishi kenya sijuwi anawaweka ktk hali gani.
Kabudi atakuwa alipewa maagizo na jiwe.
Hata kama angepigiwa kura nani. Ni ujinga kutoside na nchi yako unaenda kuside na nchi ambayo haisiti kuihujumu nchi yako kila inapopata chansi.
Tuambiane ukweli.
Cha kwanza ni nchi. Mengine huja baadaye, tuache ujinga.
Kama huyo bidada anampa mi sioni nongwaZitto mnafiki hana jipya , karudisha sana nyuma harakati za ukombozi, kazi yake kumlamba Halima Bulembo
Hii hoja naona itamsaidia kuwa KUB... hahahah
Aibu sanaUrafiki wa mashaka!
Tupo kama fisi vile
Unafikiria majirani wanatupenda, kama malori tu ni shida ndo iwe huko UN?Tatizo kupiga kura, hapa tatizo ni undumila kuwili wetu kwa majirani zetu
Sio roho mbaya tu, he is a devil. Halafu mtalisikia likiwapongeza Kenya kwa ushindi
Kwani kura si matakwa ya mtu? Au lazima umpigie flani hata kama ni mbovu kisa ni ndugu yako?
Ndio maana huko act chama kimekuwa kama cha kidini kisa kwa vile Zitto ni muislamu basi anajaza waislamu wenzie?
Na huko chadema ndio maana viti maalumu wanapewa mahawara?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
AC T wakiingia Ikulu jambo la kwanza ni kuipigia kura kenya
Unafikiria majirani wanatupenda, kama malori tu ni shida ndo iwe huko UN?