Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
Vizuri, aache sasa roho mbaya na visasi. Nadhani amejifunza ni namna gani Wananchi wake wengi wanavyomtakia mabaya (kifo), na wapo tayari kufanya sherehe muda wowote iwapo mauti yatamfika. Akiendeleza kiburi shauli yake.
Ayafanyie kazi haya
 
Vizuri, aache sasa roho mbaya na visasi. Nadhani amejifunza ni namna gani Wananchi wake wengi wanavyomtakia mabaya (kifo), na wapo tayari kufanya sherehe muda wowote iwapo mauti yatamfika. Akiendeleza kiburi shauli yake.
Wengi akina nani? Wengi tumemwombea mema na tumewalaani nyie wachache...Acha kuona dunia nzima katika nafsi yako...Ukimchukia wewe usi extrapolate kwakusema wengi...Mko kiduchu hamjai hata mkononi...Na vitawarudia marasabab sabini kwakua nyumba ya mwovu haiishi majanga!
 
Almanusura shangwe ienee nchi nzima lakini !!!!!?? Bado uwanja umeinama.
 
Narudia asubuhi nilitubu kwa ajili ya mama Tanzania na watoto wake wote, wakubwa kwa wadogo, waume kwa wake, wakirstu kwa waisilamu, bahai, wasiokuwa na ndini. Tupendane tuache kuzushiana na kutakiana mabaya. Walio amua kusimama na ubaya na kushangilia maumivu ya wengine wajitahidi kuondoa chuki upendo ni upendo, chuki kwa vyovyote vile haijengi hubomoa taifa na kufitisha wenye taifa. Tusameheane na tutapona.
 
Vizuri, aache sasa roho mbaya na visasi. Nadhani amejifunza ni namna gani Wananchi wake wengi wanavyomtakia mabaya (kifo), na wapo tayari kufanya sherehe muda wowote iwapo mauti yatamfika. Akiendeleza kiburi shauli yake.
Wengi wangapi? Huku kwetu makanisa karibu yote waumini walikua wanamuombea kwa kulia machozi videos nnazo
 
Huyo kigogo atafutwe haraka.haiwezekani akakosekana!!yawezekana ndiye aliyeshirikiana na waharifu kumpiga risasi Tundu lissu!Yawezekana yuko hapo maeneo ya ikulu,yawezekana anashiriana na watu wabayawaliyopo hapo ikulu(je waliyoachwa na utawala uliyopita?),yawezekana kuna hidden CCTV ziko hapo zinatumiwa na MTU mbaya ???usalama wa taifa ingieni kazini.hatuwezi kulea upumbavu na wapumbavu
 
Watu tunaotegemea wawe mbadala wa ccm kumbe ni wapumbavu kiasi hiki?

Hata kama ccm wameshindwa kuendeleza nchi; inazidi kudhihilika kwa vitendo hivi kuwa upinzani sio mbadala!!!! Hawa sampuli ya wakina Zitto ndio wanaifanya ccm izidi kutawala.
 
Inaelekea umesoma kwa uzi wangu with mixed feelings. Ungenisoma logically ungegundua kuwa hayo yote uongeayo nimeyaongelea kule, rudi tena ukanisome vizuri.
Sijaandika kwa kiujipendekeza wala sijawahi kujipendekeza na sita kuja kujipendekeza not even at the gun point
 
Mdogo wangu umesema..Mungu akubariki.
 
Reactions: Ame
Kaheshima kadogo alikokuwa nako kameondoka. Ana tabia ya kike anataka kuwachonganisha viongozi wakuu wa nchi.
Kama alivyotaka kuwachonganisha Dr. Slaa na Mbowe kipindi akiwa Chadema. He is a professional hypocrite. That's ALL
 
Vizuri, aache sasa roho mbaya na visasi. Nadhani amejifunza ni namna gani Wananchi wake wengi wanavyomtakia mabaya (kifo), na wapo tayari kufanya sherehe muda wowote iwapo mauti yatamfika. Akiendeleza kiburi shauli yake.
Very stupid!Kigogo, Zitto, Lema ndiyo Watanzania wengi?
 
That's Karma
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…