kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Ayafanyie kazi hayaVizuri, aache sasa roho mbaya na visasi. Nadhani amejifunza ni namna gani Wananchi wake wengi wanavyomtakia mabaya (kifo), na wapo tayari kufanya sherehe muda wowote iwapo mauti yatamfika. Akiendeleza kiburi shauli yake.