Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Kumbe anasumbuliwa na nguvu za giza.Sasa ndio umeshajishtukia, Magufuli hafi ataishi,nguvu za giza zimeshindwa kwa jina la Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe anasumbuliwa na nguvu za giza.Sasa ndio umeshajishtukia, Magufuli hafi ataishi,nguvu za giza zimeshindwa kwa jina la Yesu
Kengele mingi uko hewani kama Kawaida.Muogope Mungu Zitto
Kuliko kupoteza kura yangu kuwapigia watu wanafiki hivi ,Ni kheri nisipige kabisa.Nimesikitishwa sanaa sana hiki kitendo kufanywa na mtu kama Zitto.
Hivi mtu ambaye ana huge popularity,kiongozi mkubwa wa chama na ni inspirational kwa wanasiasa wengi wanaochipukia inakuwaje anaonesha chuki za wazi wazi kiasi hiki mpaka kuombeana vifo? Hii picha inaashiria hali ya furaha kwamba.. Halafu eti na yeye ana ndoto siku moja aje awe raisi?
Hakika ningekuwa nna kadi ya hicho chama chake ningeirudisha leo hii hii.
Kwa kweli huu upinzani wetu tulionao ni wa ovyo sana, japo si wote walipo kwenye upinzani ni watu wa ovyoo lakini kitendo walichotuonesha leo hawa ambao ndio elites wa upinzani kinatupa uhalali wa kuiita upinzani wetu ni wa ovyo na bado una safari ndefu.Ndiyo Maana huwa nakwambia kwamba wapinzani Wana Safari ndefu Sana.
Hawana Sera imara, kazi Yao kusubiri matukio ili washabikie,wapinge na kukosoa.
Inasikitisha Sana kuona watu wanashabikia vifo.
Kwa siasa hizi bado sijaona mbadala wa CCM na ndiyo Maana niliamua kutokuwa mfuasi wa chama chochote Maana wapinzani wengi Ni wanafiki tu.
QVizuri, aache sasa roho mbaya na visasi. Nadhani amejifunza ni namna gani Wananchi wake wengi wanavyomtakia mabaya (kifo), na wapo tayari kufanya sherehe muda wowote iwapo mauti yatamfika. Akiendeleza kiburi shauri yake.
Huyu jamaa roho yake hana tofauti na shetani
Naomba ccm kigoma 2020 imtoe bungeni halijitambui
Halafu Hawa mnawasimamisha kugombea tuwape kura zetu..Kwa kweli huu upinzani wetu tulionao ni wa ovyo sana, japo si wote walipo kwenye upinzani ni watu wa ovyoo lakini kitendo walichotuonesha leo hawa ambao ndio elites wa upinzani kinatupa uhalali wa kuiita upinzani wetu ni wa ovyo na bado una safari ndefu.
Imagine leo kwa jinsi huu uvumi ulivyo sambaa hasa jinsi wapinzani walivyoushikia bango ni athari gani tutakuwa tumeipata kama taifa!? Raisi ni taasisi kubwa sana nchini na yeye ndio anabeba reputation ya taifa na chochote kinachomuhusu lazima kiwe na impact nje ya mipaka yetu aidha mbaya au nzuri.
Utofauti wetu Itikadi wa kisiasa unatutia upofu mpaka tunafanya vitu vinavyoweza kutugharimu kitaifa.
Hana tofauti na Nani???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliwahi kusema Magufuli hana tofauti na viongozi wa Nazis, lakini kwa hiyo tweet aliyopost leo naona yeye hana tofauti na ibilisi.
Aliwahi kusema Magufuli hana tofauti na viongozi wa Nazis, lakini kwa hiyo tweet aliyopost leo naona yeye hana tofauti na ibilisi.
Bora angekaa kimya tuMuogope Mungu Zitto
Hakika unakatisha tamaa sana.Kuliko kupoteza kura yangu kuwapigia watu wanafiki hivi ,Ni kheri nisipige kabisa.
Nilikwambia Mimi upinzani wanafiki Ni wengi na ndio wameharibu kila kitu..na mnataka watu Kama Hawa tuwape kura zetu kweli.
Hajui hata kula na kipofu. Nikikumbuka kipindi cha kazi na bata. Zitto hajielewi. Warundi sijui akili zao zikoje.Bora angekaa kimya tu
[emoji1787][emoji1787]Aliwahi kumfananisha Magufuli na Hitler lakini kwa hiki alichokifanya leo yeye anaonekana ni pacha wake na Ibilisi[emoji1787][emoji1787]Hana tofauti na Nani???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
WKigogo anasema ni recorded. Shida tupu
Umenishinda tabia wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].[emoji1787][emoji1787]Aliwahi kumfananisha Magufuli na Hitler lakini kwa hiki alichokifanya leo yeye anaonekana ni pacha wake na Ibilisi[emoji1787][emoji1787]
Leo wamenishangaza SanaHakika unakatisha tamaa sana.
Unafanya kile ambacho huwa unakihubiri kisifanyike.
Today they have done what they have always been condemning(strong political aversion), what a double standards!
Kwa style hii acha tu watu wawaone hawana jipya.
Na Kuna watu asubuhi walifanya sherehe na kunywa..sijui wameishia wapi.Hajui hata kula na kipofu. Nikikumbuka kipindi cha kazi na bata. Zitto hajielewi. Warundi sijui akili zao zikoje.