Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
Huyo kijana ni ibilisi mwenye ngozi ya binadamu
[emoji12][emoji12][emoji12]!!

Binafsi mimi nililahani sana lile tukio alilofanyiwa Lisu na ningependa sana wale wote waliohusika wakutane na maswahibu mabaya zaidi ya hicho walichomfanyia.

Alikadharika hata huu uvumi uliokuwa ukienea kwa hizi siku mbili tatu haukunifurisha hata kidogo pamoja na kwamba mimi ni critic mzuri sana wa Magufuli.

Sababu ninaamini siasa sio uadui mpaka wa kufikia hatua kuona uhai wa mwenzako hauna maana.

Nilitegemea wanasiasa wetu na wadau wengine nao watakuwa hivi. Lakini ndio kwaanza wamevaa roho za Ibilisi inasikitisha
 
He is devil ended
[emoji12][emoji12][emoji12]!!

Binafsi mimi nililahani sana lile tukio alilofanyiwa Lisu na ningependa sana wale wote waliohusika wakutane na maswahibu mabaya zaidi ya hicho walichomfanyia.

Alikadharika hata huu uvumi uliokuwa ukienea kwa hizi siku mbili tatu haukunifurisha hata kidogo pamoja na kwamba mimi ni critic mzuri sana wa Magufuli.

Sababu ninaamini siasa sio uadui mpaka wa kufikia hatua kuona uhai wa mwenzako hauna maana.

Nilitegemea wanasiasa wetu na wadau wengine nao watakuwa hivi. Lakini ndio kwaanza wamevaa roho za Ibilisi inasikitisha
 
[emoji12][emoji12][emoji12]!!

Binafsi mimi nililahani sana lile tukio alilofanyiwa Lisu na ningependa sana wale wote waliohusika wakutane na maswahibu mabaya zaidi ya hicho walichomfanyia.

Alikadharika hata huu uvumi uliokuwa ukienea kwa hizi siku mbili tatu haukunifurisha hata kidogo pamoja na kwamba mimi ni critic mzuri sana wa Magufuli.

Sababu ninaamini siasa sio uadui mpaka wa kufikia hatua kuona uhai wa mwenzako hauna maana.

Nilitegemea wanasiasa wetu na wadau wengine nao watakuwa hivi. Lakini ndio kwaanza wamevaa roho za Ibilisi inasikitisha
Ndio mjue hawana sifa za kupewa uongozi.
Yaani ukashabikie binadamu mwenzio kuugua na kufa?!!!!
Tena Bora wangekaa kimya...wanajidai kumnafikia kumuombea,dah!
Wakawa wanacomfirm kabisa utadhani Wana undugu na yule Israel mtoa roho.
 
Nitashangaa kama ataendelea kurandaranda mtaani. Kwasababu kuna watu tunampemda rais hadi tunaumwa. Kasababisha tumepata heart [emoji813] attacks pasipo sababu.
[emoji3][emoji3]
 
Na Kuna watu asubuhi walifanya sherehe na kunywa..sijui wameishia wapi.
Hii nchi ina watu wa ajabu Sana.
- Kipindi Ben Saanane anapotea watu walifanya sherehe
- Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi watu walifanya sherehe
- Kipindi ndege ya ATCL inakamatwa South Africa watu walifanya sherehe
- Kipindi Taifa stars inafungwa watu walifanya sherehe
- Hii ya juzi ya mwenyekiti wa CCM walifanya sherehe
*Watu siku hizi wameshaacha kusikitika hata msibani kwa sasa, pilau linapikwa, watu wanakunywa bia na kucheza muziki. Maisha yenyewe mafupi kwanini ujipe stress?
 
Na Kuna watu asubuhi walifanya sherehe na kunywa..sijui wameishia wapi.
Hii nchi ina watu wa ajabu Sana.
Acha wewe!! Kwa hiyo kuna watu walikuwa tayari wameshaanza kusherekea x-mass leo hii?

Ila watanzania ni watu wa ajabu mno
 
Acha wewe!! Kwa hiyo kuna watu walikuwa tayari wameshaanza kusherekea x-mass leo hii?

Ila watanzania ni watu wa ajabu mno
Hujawaona kwenye nyuzi zile nyingine??
Jaribu kufwatilia utaona jinsi walivyo furahi.
 
Ndio mjue hawana sifa za kupewa uongozi.
Yaani ukashabikie binadamu mwenzio kuugua na kufa?!!!!
Tena Bora wangekaa kimya...wanajidai kumnafikia kumuombea,dah!
Wakawa wanacomfirm kabisa utadhani Wana undugu na yule Israel mtoa roho.
Hiyo ya ku confirm ndio imeniacha hoi kabisa, imeonesha ni watu wasiokuwa na huruma wala utu.

Nakumbuka kwenye tukio la Lissu kuna wana ccm wengi sana walionesha kuguswa ile genuinely akiwemo mama Samia Suluhu, na tena kuna wengine walienda kumuona kwa siri wakati bado yupo Nairobi.

Lakini hii ya leo tetesi tu, watu wakamtanguliza kabisa na wengine wanafanya party.

Hii ni damage mbaya sana kisiasa, watafanya hata wale ambao walikuwa sio wafuasi wa Magufuli waanze kumpenda/kumkubali ghafla out of sympathy na kupunguza idadi ya wafuasi wa upinzani.
 
Hujawaona kwenye nyuzi zile nyingine??
Jaribu kufwatilia utaona jinsi walivyo furahi.
Mimi niliingia humu mchana wa saa nane hivi. Nikakutana na uzi mmoja una comments kama 2000+ nikau subscribe, baadae sijakaa sawa mara ukaja mwingine unahusu taarifa ya kufanya teuzi na huo ndio ukaniweka bize.

Lakini yote kwa yote sisi ni wapumbavvu sana. Kama tumemchoka mtu na hatumtaki kwanini tusitafute namna ya kumtoa kitini kuliko kusubiria eti atolewe na kifo!?

Imagine basi ingetokea hivyo halafu tukapata mwingine na yeye pia akawa ni bandidu tena zaidi ya huyu, je naye pia tungemuombea kifo?

Sisi ni ajabu la nane la dunia.
 
- Kipindi Ben Saanane anapotea watu walifanya sherehe
- Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi watu walifanya sherehe
- Kipindi ndege ya ATCL inakamatwa South Africa watu walifanya sherehe
- Kipindi Taifa stars inafungwa watu walifanya sherehe
- Hii ya juzi ya mwenyekiti wa CCM walifanya sherehe
*Watu siku hizi wameshaacha kusikitika hata msibani kwa sasa, pilau linapikwa, watu wanakunywa bia na kucheza muziki. Maisha yenyewe mafupi kwanini ujipe stress?
Duuuh!!
 
Zitto ni k namaana yupo katikwa kwati
KIGOGO AGARAGAZWA ROUND YA KWANZA,ZITTO & CO WAMTELEKEZA UJERUMANI.

Leo 16:00pm,20/10/2019.

Siwezi kuamini kama taifa kubwa duniani kama Tanzania linaweza kuendeshwa na propaganda za Kigogo,Zitto,Shangazi,Tundu,Maria na Lissu.Niwatake radhi kwa kuwaita ninyi ni wapumbavu na upumbavu wenu ni kuwa sehemu ya mchezo huu mchafu unaofanywa na Upinzani nchini Tanzania.

Kinachonifanya nianze-kupoteza imani juu ya Uzalendo wa Wapinzani ni jinsi watu kama kigogo wanavyotunga uwongo na kuusambaza duniani pasipo kuwa na tone la aibu,hata kufikia kusambaza uzushi wa kifo cha Mkuu wa Nchi,

Hivi ni kweli Wapinzani hamna mnachofahamu juu ya uzima,ugonjwa au kifo cha Mkuu wa Nchi kama ni kifo cha Taifa na mkwamo wa Taifa hata muanze kusambaza uzushi mkijua madhara yake,Enyi wapinzani fedhea na aibu mliyoipata kwa uzushi wa Uwongo mtawaambia nini Wafuasi wenu hata wakawaelewa,wapumbavu wakubwa ninyi.

Sasa ukweli umedhihirika kama haya tunayoambiwa Watanzania na Viongozi wa Upinzani ni uwongo uwongo na kamwe hatutawaamini tena.

Nawataka radhi kwa kuwausisha na mambo yasiyoafa kwa kuwa daima mmekuwa mkifurahia kigogo anavyosema na pengine kuitia aibu nchi, kama haya mambo ya kigogo ambaye mnamjua na mnamficha kwa kuwa ninyi nyote mna uwezo wa kuitumia account hiyo ya Kigogo,

Sasa mkijua Kigogo analishwa uwongo ama anapata data zisizo za kweli kutoka kwenye vyanzo vya uwongo na nyinyi Wapinzani mnajua hivyo na mnashirikiana na hao kina kigogo kutudanganya,

Ni wakati sasa umefika mtapima wenyewe kama kweli bado mnahadhi ya kutambulika kama ninyi ni Upinzani wenye tija au tuendelee kuwa na CCM kwa miaka 100 ijayo,Shame on you Kigogo,Zitto,Membe,Shangazi,Maria na Mazwazwa yote yanafuatilia account ya kigogo2014.

-Kigogo apigwa Home and Away.

Asubuhi nilisimama yalipokuwa mataa ya ubungo ambapo hivi sasa inajengwa Ubungo Interchange nikajiuliza mara kumi;Je kama asemayo huyu kigogo ni sahihi inamaanisha hii Ubungo interchange tunaikosa tena maana mwenye maono hatokuwepo tena,nikakumbuka treni ya Umeme nikajisikia nasema huyu shetani kigogo ashindwe kabisa lazima niende Morogoro nikamcheki Baba na Mama kwa treni ya Umeme nikitumia saa moja,

Lazima niende Makao makuu ya nchi,Dodoma na treni ya Umeme lazima niende Mwanza kwenye harusi ya mdogo wangu kwa treni ya Umeme,hakika habari ya kigogo kwa sekunde chache ilinifanya nifikirie mengi sana,Mungu ni mwema kumbe nilikuwa naota na kamwe naikemea ndoto hiyo isiwe kweli.

Niliingia kwenye whats up nikakutana na neno toka kwa Maregesi likisema,Hata uwe mwema kiasi gani tukumbuke huwezi kulazimisha watu wote wakupende na huwezi kupendwa na kila mtu hata kama umeboresha maisha yake.

Kama kiongozi fanya wajibu wako na daima Uzalendo ukuongoze kuwaandalia ajira kizazi cha tatu na cha nne na uheshimu wengine hakika utakuwa na wengi wa kukupenda kuliko kukuchukia.

Tukumbuke kila kiongozi ana watu wampendao na wamchukiao kila mtu kwa muono wake,wengine wakimpenda kwa mema afanyayo kwa manufaa ya Taifa zima lakini wengine wakimchukia kwa wivu kwa kuwa anatenda zaidi yao,neno hilo nikakubaliana nalo.

-Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbavu watapata fedhea.

Watu wameshikia bango Serikali ikanushe au iseme ukweli juu ya kinachosemwa mitandaoni,lakini itajihusisha vipi na uwongo wa kutungwa ni sawa mtu abishanie jinsia yako wakati wewe unajijua mwenyewe,sasa ya nini kubishana nae.

Nilikumbuka kazi ya shetani ni kama hiyo tuliyoiona ikifanywa na Kigogo na wafuasi wake wakishangilia mabaya,tumeuona uovu mioyoni mwa watu waliojivika moyo wa kihayawani.

Moyo wa kihatlyawani na upumbavu,kufurahia ama kifo au ugonjwa uwapo kwa ndugu zao. Hawa ndiyo mashetani.

Kigogo anaonyesha mchoro wa moyo,nahisi wameamua kujipeleka wao icu baada ya Kumuona live Mkuu wa nchi,Wakapata heart attack wao na yule bwana wao kigogo wote wametokomea ujerumani,sasa wamelazwa huko Frankfurt.

-Kigogo proved failure 100%%%

Kuna jamaa huko twitani anamlaumu Kigogo, eti yeye hajulikani ila amewatia aibu kubwa wafuasi wake ambao wanajulikana.

Kigogo nae anamlaumu Zitto kwa kumpa tango pori na kukiri kuwa tutapata malipo kwa Mungu kutokana na matango pori wanayowalisha watu.

Wapinzani walikubali kushikiwa akili na kigogo ni hatari kwa mustakabari wao kisiasa.

Lakini je Kigogo kaleta taharuki,Watanzania tumejifunza nini, nataka kujua tumejifunza nini juu ya hili?

Ndugu zangu wakati wa Mwanadamu si wakati wa Mungu na awazayo Mwanadamu siyo awazayo Mungu,Kusudi la Mungu kwa mtu mwenye haki halitakatizwa na binadamu yeyote .Ahsante Mwenyezi Mungu kwa ajili ya neno lako ambalo ni kweli,Ahsante Mwenyezi Mungu kwa kudhihirisha tena Ukuu wako katika Taifa la Tanzania,Ahsante kwa kuibariki Tanzania,Ahsante kwa kumlinda na kumbariki Rais wetu John Pombe Magufuli sasa na siku zote.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Dar es Salaam.
0755078854.
 
Ila kuna watu wanafiki sana na zito ni mmoja wao... hivi JPM akipatwa na mabaya wewe utafaidikaje?
Wanasiasa wa tz karibia wote ni wanafiki, na wananufaika kwa unafiki, mfano nikuulize serekali ya Magu imenufaikaje kwa kumpiga risasi Lissu, kumnyima matibabu na kumvua ubunge?.....unafikq! X100000!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom