Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
Tumesha jua kumbe Mzee baba Dishi lake huwa linayumbaga na kuleta Chenga tuu, ni afadhali hata ya E.L. Twenty twenty atatueleza Moshi aliuonaje na je umezimika?
 
Zitto ndio alikuwa mstari wa mbele kupost picha ya Makamu wa Rais huku akishangilia hahahahaha

Leo hii unaandika unafikiri hatukumbuki?

Unakumbuka hii
View attachment 1239294
Nakumbuka yule mama mbunge marehemu maskini mama Betty Shelukindo aliwahi mwambia wewe Zitto unajua kuongea sana lakini unafiki wako utakufanya mwisho wako usiwe mzuri naona maneno ya mama yanataka kutumia,haya maneno alimwambia bungeni kwenye vipaza sauti
 
Hao ndio vijana wa kitanzania wanaojiita wasomi,ni aibu sana
 
Na bahati mbaya Zitto hawezi omba msamaha kwa kuwa mama yupo mbele za haki
 
Kwahiyo we boya unataka watu wazuiwe kumiliki smartphone
Nimejaribu tu kuwaza kiwendawazimu, maana hizi smart phone kwanza tumesha ambiwa kuwa ni 'simu janja'/zenye akili hivyo ni hatari sana kumilikiwa na mtu ambaye hana uwezo wa kuzitawala au kuzitumia akili zake. Pia simu hizi ni hatari zaidi ya bastora
 
Vipi kwa Lisu...Azorry na Benny

Kama una ushahidi si uweke? Wacha majungu! Seriali hii kama alivyosema msemaji wa serikali imeamua kuwafanyia kazi Watanzania na kuwaletea maendeleo ya kweli, wewe peleka ushahidi wako uone kama hawataufanyia kazi.
 
ww zitto ndiyo chanzo cha unachokiita taharuki,,,,,,kubali kuwa umejishushia hadhi yako na umejiaibisha kama kiongozi wa chama chako kushangilia uvumi wa kifo cha binadamu mwenzio,ulifika mbali sana sana,bora ungetudanganya kuwa walidukua akaunti yako
 
bastora?.....naona kigezo kikubwa cha umiliki wa simu janja iwe uwezo wa kusoma na kuandika kwanza
 
Una mawazo ya kidwanzi sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…