Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
Huyu kigogo ni mpumbafuu kumbe et sasa hv huko twitter anacheka cheka tu yaan anajibu ujinga mara et atakufa tu mara recorded anaonyesha alipanga kuzusha uongo kabisa ila ndo mwsho wake huu haaminiki tena
 
Mheshimiwa Zitto, nimeona picha uliyorusha na kuleta tafsi mbaya kwa jamii, kwa wewe kama kiongozi naona uliteleza sana.
Nimekusamehe kwasababu umeomba radhi lakini ujifunze kuwa na subiri japo natambua kuwa hali halisi ya kisiasa inawasukuma wengi lkn tuuheshimu utu wa kila mtu hata kama ana roho mbaya kama fulani
 
Shida sio mitandao ni watu..Mtu kama Maria Sarungi anapotaka kuuaminisha umma kuwa rais yupo ICU tunabaki tunashangaa lengo haswa ni nini??

Wanatengeneza uzushi, wanalazimisha watu wauamini kisha wanasema serikali itoke kuukanusha uzushi wao...Hizi ni akili??

Tumewadharau sana na Tanzania yao ya kufikirika ya mitandaoni..Kwenye ground hali ni tofauti sana watu wanampenda rais wao.
 
Chukulia hili in a positive way.
Watu wana mengi mioyoni mwao.
Mitandao itumike kama sehemu ya kusahihisha na kujipima na kujua jamii yako ina mtazamo gani.
 
Nimpumbavu pekee ndio anaweza kuamini kitu kizito kiasi kile kwakupewa na chanzo kisicho julikana.nahumu jf wamejaa sana vilaza wakisikia kitu wao hupayuka tu! Bila ushahidi wowote
 
Ila kiuhalisia hii taharuki ilikuwa huku JF na Twitter mitaani huko watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida hawajui hata huu uvumi ulioanzishwa huko twitani.

Binafsi naichukia CCM lakini hii haikuwa habari nzuri na sijapendezwa na baadhi ya viongozi wa upinzani kuonyesha chuki kwa nguvu kubwa ingawa wanapigia kelele madhalimu yanayofanywa na utawala.

Alichofanya zitto ni kusafisha mkojo kwa kutumia kinyesi.
 
Syo uzushi aliumwa alipokuwa huko mtwara, ila ka recover
Kamanda Lema na mwenzie KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe siyo watu wa kuwatilia maanani kabisa watawapotezea muda wenu bure

Mungu ni mwema
Nawatakia Jumapili yenye furaha.

Maendeleo hayana vyama!
 
awaachie mafisadi na kutokemea wazembe
naunga mkono ujinga huu..
ila JPM songa mbele usawa wa kati
Chukulia hili in a positive way.
Watu wana mengi mioyoni mwao.
Mitandao itumike kama sehemu ya kusahihisha na kujipima na kujua jamii yako ina mtazamo gani.
 

Afweeeeeee kabisa!
 
Endapo ni kweli hili jumba bovu likimwangukia Zitto kama anavyodai huyo aliyezusha hizi habari, namhurumia sana.
 
Ila kuna watu wanafiki sana na zito ni mmoja wao... hivi JPM akipatwa na mabaya wewe utafaidikaje?
Zitto alijua mapema kwamba kuna watakao tafsiri kama ulivyofanya ndio maana amewaombea msamaha ukiwemo na wewe. M/mungu amjalie rais afya njema ili aweze kutekeleza majukumu yake.
 
Ulikuwa wapi kusema haya kabla Rais hajatokea? Yaani baada ya #ConnectionError ndo unaibuka na kuwasaliti wenzako, He he
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…