Zitto: Serikali ya awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti

Zitto: Serikali ya awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti

Hakuna new investor wa njee, pesa inayokusanywa zinatoka nje kupitia SGR, ununuzi wa ndege za kifisadi baada pesa izunguke ndani, Sera za kodi hazishirikishi wafanyabiasha, Export ya mazao kama korosho haijafanyika,

Utapata wapi kodi kama ile pesa unayokusanya hailudi kulipa madeni ya ndani? Kama hauuzi sana mazao, bidhaa nje ili upate dollar? kama hauweki sera za kuwaboost wafanyabiashara wapya hasa wa ndani kupata vyanzo vya mitaji ili wewe upate kodi?

Kama umeweka washikaji zako kwenye sector nyeti za fedha kama Wizara ya fedha, TRA, TPA na Hazina ambao hawana creativity ya kutengeneza mapato ya kutosha au kutengeneza vyanzo vipya vya mapato?

Magufuli umetuangusha sana miaka 5 kwa sababu ya kutosikiliza ushauri.
Kuna nonsense unaandika hapa! unategemea kweli sera za nchi ziandikwe kwa kushirikisha wafayabiashara! Hilo la ndege pia huna hoja! Kwa nini unasema ni za kifisadi? Bei ilikuwa na wizi? au una maanisha nini maana usiniambie hoja ya zitto aliyesoma mwaka kwenye vioo. Ktk export umeangalia korosho huinguza kiasi gani kwa mwaka? Kumbuka ni mwaka juzi wafanyabiashara walipoleta upuuzi, kwenye pamba pia mwaka jana wakaleta hayo hayo! Kama serikali ulitaka iseme endeleeni? Nonsense!

Kwenye forex namba moja ni utalii, namba mbili ni madini, tatu ni kilimo. sema wapi umeangushwa na huwezi kukwepa SGR kuchukuwa pesa kwa sababu huna kampuni ndani ya nchi inayowezafanya kazi hiyo. Wanao darin forex bila umuhimu ni hao wanaleta plastiki za china. wanajiita waangizaji kumbe wanaleta plastiki za kuanika vyombo.
 
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wana Lumumba serikali ya Jiwe ikikosolewa, ni kutukana, kukosa uzalendo, kutumikia mabeberu pamoja ....na madai ya kijinga mengine.
Hivi kama wananchi wenzetu mnataka kuipeleka wapi nchi hii? Jiwe akitukana watu, hadharani, ni nderemo na kumsifu wakati maigizo hayo hayajengi nchi wala taifa. Hivi itatusaidia nini kushangilia na kujivunia uharibifu wa nchi yetu tz?
 
Wewe tumeshakuchoka na uongo wako! Hakuna kitu chochote ambacho huongea kina kuwa na manufaa kwenye nchi yetu!

Zitto mdogo wangu, isiwe taabu; njoo hapa uandike kuwa serikali ya awamu ya 5 imekusanya kodi Mara 100 ya kile kilishowahi kukusanywa na serikali zote zilizopita za nchi hii ili nchi hii kwa kauli yako hiyo ipate manufaa.
 
Kuna nonsense unaandika hapa! unategemea kweli sera za nchi ziandikwe kwa kushirikisha wafayabiashara! Hilo la ndege pia huna hoja! Kwa nini unasema ni za kifisadi? Bei ilikuwa na wizi? au una maanisha nini maana usiniambie hoja ya zitto aliyesoma mwaka kwenye vioo. Ktk export umeangalia korosho huinguza kiasi gani kwa mwaka? Kumbuka ni mwaka juzi wafanyabiashara walipoleta upuuzi, kwenye pamba pia mwaka jana wakaleta hayo hayo! Kama serikali ulitaka iseme endeleeni? Nonsense!

Kwenye forex namba moja ni utalii, namba mbili ni madini, tatu ni kilimo. sema wapi umeangushwa na huwezi kukwepa SGR kuchukuwa pesa kwa sababu huna kampuni ndani ya nchi inayowezafanya kazi hiyo. Wanao darin forex bila umuhimu ni hao wanaleta plastiki za china. wanajiita waangizaji kumbe wanaleta plastiki za kuanika vyombo.

Ndio maana tunawaambieni kuwa serikali ya jiwe itafeli kwa kila jambo. Unategemea policy ipi ya biashara yenye manufaa kwa nchi itakayowekwa bila kuhusisha wafanyabiashara husika? Serikali hii inaweza kuweka policy yeyote ya kibiashara? Nani unaemfahamu kwenye serikali hii anaejua maana ya biashara (kuanzia Magufuli hadi mtu wa mwisho kabisa)? Unaweza kwenda kumuuliza muoka mikate akushauri mambo ya wanyama pori?
Serikali ipi nyingine kwenye nchi zilizoendelea ambazo hazihusishi au inayowatenga wafanyabiashara kwenye policy formulation?
You are all imbeciles and that's why you will fail miserably.
 
Kwa uelewa wako wa Vyama vingi, hebu nieleze Zitto au ACT ina sera gani?
Mtu huyu hajitambui kabisa! Ukiangalia hata anachokiita uchumi ni upuuzi tu maana anaamini alichosoma darasani ndo kinafanya kazi ofisini. Hajawahi kufanya utafiti wowote wa uchumi. hajawahi kushika nafasi yoyote ya uchumi. hajawahi test principle yoyote ya uchumi na kuona matumizi yoyote.

Kama unavyoona watu wanafungiwa siku 14 ili kupunguza uwezekano wa kuambukiza corona, hivyo hivyo akina Zitto, wanastahili kufungiwa ili wasiambukize upuuzi watu wema.
Fine, sasa nikuulize, hao mnaowasifikia kwa kuelewa hizo principles za uchumi mnaweza mkatuambia huo ujuzi wao umeisaidiaje hii nchi kiuchumi, kumbuka miaka 60 ya uhuru bado hatuna kabisa cha kujivunia kimaendeleo.
 
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe lako halishauriki hivi lumumba huwa hamuelewi?
 
Fine, sasa nikuulize, hao mnaowasifikia kwa kuelewa hizo principles za uchumi mnaweza mkatuambia huo ujuzi wao umeisaidiaje hii nchi kiuchumi, kumbuka miaka 60 ya uhuru bado hatuna kabisa cha kujivunia kimaendeleo.
Dunia hii hakuna kitu kinachoitwa Principles of economics. Ni usanii tu. usanii huo ndo huo wa akina Zitto. alichofundishwa anadhani ndo uchumi wa dunia. Ukitaka principles na laws, etc. angalia za sayansi. Ukitaka kupata density ni mass/volume duniani kote na utapata jibu. Uchumi hauna principles, na ungekuwa na principles, dunia nzima ingekwisha endelea. Wachumi wetu wangefuata principles tu!

Ndo maana tunamuonya mtu kama Zitto asituletee usanii. France, Korea, China, Singapore, Malaysia, US, etc wamefuata njia tofauti kufikia maendeleo ikiwa ni pamoja na kuuza watumwa na kutawala nchi zingine na kuwaibia. Njia hizo hazina principles, ingawa ziko documented.
 
Ndio maana tunawaambieni kuwa serikali ya jiwe itafeli kwa kila jambo. Unategemea policy ipi ya biashara yenye manufaa kwa nchi itakayowekwa bila kuhusisha wafanyabiashara husika? Serikali hii inaweza kuweka policy yeyote ya kibiashara? Nani unaemfahamu kwenye serikali hii anaejua maana ya biashara (kuanzia Magufuli hadi mtu wa mwisho kabisa)? Unaweza kwenda kumuuliza muoka mikate akushauri mambo ya wanyama pori?
Serikali ipi nyingine kwenye nchi zilizoendelea ambazo hazihusishi au inayowatenga wafanyabiashara kwenye policy formulation?
You are all imbeciles and that's why you will fail miserably.
Unawajua watu unaowaita wafanyabiashara? Ni hao akina Shamte (RIP) ni hao akina Mfuruki (RIP) ni hao akina Mohamed enterprise na mashamba pori yaliyowekwa rehani. Unaweza kushirikiana na mfungwa kutunga sheria za magereza? Au mwanafunzi utunge sheria za shule? That will be nonsensical! Watu wakichuuza kariakoo wakapata pesa unawaita watunge sera?

Sheria zote mbovu za kiuchumi ktk nchi hii ni kwa sababu wahusika waliweka mikono yao. Angalia migodi ya madini iliyoingiza mikono yao hadi Bungeni na kutunga hata vyombo vya kuwasimamia vya hovyo kabisa!!
 
Jinga
Unawajua watu unaowaita wafanyabiashara? Ni hao akina Shamte (RIP) ni hao akina Mfuruki (RIP) ni hao akina Mohamed enterprise na mashamba pori yaliyowekwa rehani. Unaweza kushirikiana na mfungwa kutunga sheria za magereza? Au mwanafunzi utunge sheria za shule? That will be nonsensical! Watu wakichuuza kariakoo wakapata pesa unawaita watunge sera?

Sheria zote mbovu za kiuchumi ktk nchi hii ni kwa sababu wahusika waliweka mikoni yao. Angalia migodi ya madini iliyoingiza mikoni=o yao hadi Bungeni na kutunga hata vyombo vya kuwasimamia vya hovyo kabisa!!
Jinga wewe katika context ya kibongo mfanyabiashara kama marehemu shamte,mufuruki, mengi ni watu wenye akili kubwa ni jukumu LA serikali kuwashape ili iweze kuvuna toka kwao, serikali INA jukumu LA kuwatengeneza wajasiliamali kuwa wafanya biashara wakubwa ili ivune kodi,
 
Uchambuzi wa zito una chumvi nyingi kuliko ukweli halisi, na mostly anawelanga watu wasioweza kusoma ripoti za CAG.

Ukweli kuwa serikali haikusanyi kodi ya kutosha kulingana na malengo yake ni kweli, lakini chumvi ni pale anapotaka kuaminisha watu kuwa hali hiyo imeanza mwaka 2015 baada ya serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani. Mara nyingi serikali imekuwa inajiwekea malengo makubwa ambayo inashindwa kuyafikia. Swala kubwa ni namna ya kupanga malengo kuliko ukusuanyaji kwani ukiangalia namba, ni kwamba ukusanyaji umeongezeka kwa karibu 50% kama jedwali hili linavyoonyesha.
MwakaMalengo
(Trilion TShs)
Makusanyo
(Trilion TShs)
Upungufu
(Trilion TShs)
Asilimia ya
Upungufu
2009-20105.0284.6370.3917.776452
2010-20115.8495.550.2995.111985
2011-20126.4566.703-0.247-3.8259
2012-20138.4328.0520.384.506641
2013-201410.4129.2891.12310.78563
2014-201512.12110.321.80114.85851
2015-201613.36613.383-0.017-0.12719
2016-201715.10514.2710.8345.521351
2017-201817.31515.3861.92911.14063
2018-201918.2915.742.5513.94204
Tatizo siyo makusanyo tu,ni pamoja na matumizi,mipango na kauli. Mambo hayo yakikosa kuendana inakuwa ni sanaa na aibu.
Kama kelele za viwanda,ajira na ujenzi/utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa fedha ndani na deni la Taifa kuongezeka bila maelezo ya kina kuthibitisha hivyo mwisho wake nini kama si kupoteza credibility? Tangu 2015 hadi leo tuliaminishwa kuwa huko nyuma serikali zilikuwa hazifanyi KITU ISIPOKUWA AWAMU HII! Sote ni mashuhuda,je ni kweli? Jibu unalo na wengine pia. Tuendelee kujadili kwa afya ya ubongo na taifa kwa ujumla.
 
Tatizo siyo makusanyo tu,ni pamoja na matumizi,mipango na kauli. Mambo hayo yakikosa kuendana inakuwa ni sanaa na aibu.
Kama kelele za viwanda,ajira na ujenzi/utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa fedha ndani na deni la Taifa kuongezeka bila maelezo ya kina kuthibitisha hivyo mwisho wake nini kama si kupoteza credibility? Tangu 2015 hadi leo tuliaminishwa kuwa huko nyuma serikali zilikuwa hazifanyi KITU ISIPOKUWA AWAMU HII! Sote ni mashuhuda,je ni kweli? Jibu unalo na wengine pia. Tuendelee kujadili kwa afya ya ubongo na taifa kwa ujumla.
Hapo unasogeza goli mbele; alichosema Zitto ni kuhusu serikali kukusanya kodi kwa kufuatia "uchambuzi" wake wa ripoti ya CAG. Ripoti hiyo haina hilo unalosema wewe
 
Ref
Wakati wa JK vyanzo vya mapato vilikua Sigara, Pombe na Nishati kwa mfululizo wa miaka 10 tumeshuhudia hili lilitokea.

JPM ameongeza vyanzo vingi vya mapato ikiwemo;
1. TRANSACTION ZA MITANDAO YA SIMU Kama vile tuma pesa toka mtandao mmoja kwenda mwingine au kwa mtandao huo huo.

2. Kuongeza salio kwenye simu

3. Bank transaction zilikua zikipita juu kwa juu na faida kubwa kuingia bank zaidi na Serikali ikiwa haipati kitu.

4. Share za Serikali katika mashirika yasiyokua ya Serikali na yale ya kiserikali yamekua yakitoa gawio.

5. Tumeshuhudia udhibiti wa mapato mengi yaliyokua yakipotea kwenye sekta ya Madini na Utalii

Labda kweli huhitaji kuwa na degree bali unahitaji kuacha kuwa na chuki ili uweze kuyaona haya

Sent using Jamii Forums mobile app
Reflection ya ongezeko hilo la makusanyo ni nini?
 
Unawajua watu unaowaita wafanyabiashara? Ni hao akina Shamte (RIP) ni hao akina Mfuruki (RIP) ni hao akina Mohamed enterprise na mashamba pori yaliyowekwa rehani. Unaweza kushirikiana na mfungwa kutunga sheria za magereza? Au mwanafunzi utunge sheria za shule? That will be nonsensical! Watu wakichuuza kariakoo wakapata pesa unawaita watunge sera?

Sheria zote mbovu za kiuchumi ktk nchi hii ni kwa sababu wahusika waliweka mikoni yao. Angalia migodi ya madini iliyoingiza mikono yao hadi Bungeni na kutunga hata vyombo vya kuwasimamia vya hovyo kabisa!!

Kwa akili yako kila mfanyabiashara ni mhalifu? Kama una single out wafanyabiashara wasio waaminifu (ambao ni kweli wapo), je hakuna wanasiasa wasio waaminifu pia (ambao ndio watunga sheria)? Kwa Nini usishauri waondolewe wote? Hakuna watumishi wa umma wezi? Je, tuwaondoe wote?
You are as illogical as your demigod. Unabishana na trusted and proved methodologies zinazotumika elsewhere na kwa mafanikio in favour of incompetence inayoonyeshwa na serikali hii?
 
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka magu alisema hashauri na ukishauri tu ndio umeharibu! Je unataka ashauri ili aharibu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia hii hakuna kitu kinachoitwa Principles of economics. Ni usanii tu. usanii huo ndo huo wa akina Zitto. alichofundishwa anadhani ndo uchumi wa dunia. Ukitaka principles na laws, etc. angalia za sayansi. Ukitaka kupata density ni mass/volume duniani kote na utapata jibu. Uchumi hauna principles, na ungekuwa na principles, dunia nzima ingekwisha endelea. Wachumi wetu wangefuata principles tu!

Ndo maana tunamuonya mtu kama Zitto asituletee usanii. France, Korea, China, Singapore, Malaysia, US, etc wamefuata njia tofauti kufikia maendeleo ikiwa ni pamoja na kuuza watumwa na kutawala nchi zingine na kuwaibia. Njia hizo hazina principles, ingawa ziko documented.
Oman waliuza sana watumwa toka ukanda wetu huu takriban 30+ million, sasa sijui wana maendeleo gani leo.

Hata hizo Scientific Theories sijui principles unazoongelea kwa nini basi na sisi tusizifuate ili tuendelee kiteknolojia kama hao wengine.

Hakuna mpango wowote usio na kanuni zake ndio maana hata kwenye biashara wengine wanafaulu huku wengine wakifeli na ndio maana hao akina Singapore, Malaysia, South Korea nk wamefaulu huku sisi tukiendelea kuchuuza visingizio.
 
Jinga

Jinga wewe katika context ya kibongo mfanyabiashara kama marehemu shamte,mufuruki, mengi ni watu wenye akili kubwa ni jukumu LA serikali kuwashape ili iweze kuvuna toka kwao, serikali INA jukumu LA kuwatengeneza wajasiliamali kuwa wafanya biashara wakubwa ili ivune kodi,
Kwa ubovu wa akili yako na ufahamu mdogo hata Pablo Escobar na Idd Amin walikuwa na akili kubwa ya ku-shape
 
Back
Top Bottom