Zitto: Serikali ya awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti

Zitto: Serikali ya awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti

Kwa akili yako kila mfanyabiashara ni mhalifu? Kama una single out wafanyabiashara wasio waaminifu (ambao ni kweli wapo), je hakuna wanasiasa wasio waaminifu pia (ambao ndio watunga sheria)? Kwa Nini usishauri waondolewe wote? Hakuna watumishi wa umma wezi? Je, tuwaondoe wote?
You are as illogical as your demigod. Unabishana na trusted and proved methodologies zinazotumika elsewhere na kwa mafanikio in favour of incompetence inayoonyeshwa na serikali hii?
Uliyoandika ndivyo inavyotakiwa kufanyika. Ondoa wafanyabiashara wezi, ondoa wanasiasa wezi, ondoa watumishi wa serikali wezi, nk. what next? Proven methodologies zipi? Kuuza watumwa, Yes! Kutawala nchi zingine na kuzifanya makoloni, Yes!
 
Kwa ubovu wa akili yako na ufahamu mdogo hata Pablo Escobar na Idd Amin walikuwa na akili kubwa ya ku-shape
Miccm mijinga haina kumbukumbu, kwa hiyo Rostam azizz anashinda ikulu Siku hizi huyo ndo mfanyabiashara clean, wengine siyo
 
Oman waliuza sana watumwa toka ukanda wetu huu takriban 30+ million, sasa sijui wana maendeleo gani leo.

Hata hizo Scientific Theories sijui principles unazoongelea kwa nini basi na sisi tusizifuate ili tuendelee kiteknolojia kama hao wengine.

Hakuna mpango wowote usio na kanuni zake ndio maana hata kwenye biashara wengine wanafaulu huku wengine wakifeli na ndio maana hao akina Singapore, Malaysia, South Korea nk wamefaulu huku sisi tukiendelea kuchuuza visingizio.
Boss! Ukitaka tuongelee mambo ya teknolojia hadithi ni ndefu. hata hivyo ni vizuri maana wengine wanadhani maendeleo yanaletwa na sheria na demokrasia, which is nonsense. Economics ni somo lilioandikwa baada ya kuona vitendo vya maendeleo tofauti na Physics, chemistry ambayo huwa tunaanza na theories, principals na laws then tuna-prove kimatendo.

Kwa kuanza ili tuwe pamoja, naomba usome kwanza third and fourth industrial revolution. Anza na kitabu cha Jeremy Rifkin. Hapo utafahamu kwamba maendeleo hayana mbinu ya aina moja kwa nchi zote. Hivyo,mtu akija anaanza kulazimisha kutoa ushauri wa uchumi aliosoma chuo kikuu kwa theories nyingi, anatakiwa awekwe kando.
 
Miccm mijinga haina kumbukumbu, kwa hiyo Rostam azizz anashinda ikulu Siku hizi huyo ndo mfanyabiashara clean, wengine siyo
Taja wote angalau tuone una akili. Mi niliwataja wengine.
 
Uliyoandika ndivyo inavyotakiwa kufanyika. Ondoa wafanyabiashara wezi, ondoa wanasiasa wezi, ondoa watumishi wa serikali wezi, nk. what next? Proven methodologies zipi? Kuuza watumwa, Yes! Kutawala nchi zingine na kuzifanya makoloni, Yes!

Siamini kuwa unajua hata kinachoongelewa. Tunaongelea unrealistic budgeting and means of increasing tax yield. Vina uhusiano gani na ulichoandika hapa? What have you been drinking?
 
Siamini kuwa unajua hata kinachoongelewa. Tunaongelea unrealistic budgeting and means of increasing tax yield. Vina uhusiano gani na ulichoandika hapa? What have you been drinking?
Unataka tena tuanze mwanzo wa majadiliano. Ujinga huo tumeshauamaliza. tangu lini budget ikawa realistic, au hujui maana ya bajet? Bajeti ya serikali siyo ile unayopanga na shoga mwenzako nyumbani. Hii huitwa makadirio ya bajeti.....Soma thrd unadhani tunajiandikia tu! Haya ni majadiliano. Tumefika mbali wewe unaingia na kuturudisha tulikotoka. Ni aina ya wanafunzi wanaosinzia darasani,wakistuka wanayosha mkono kuuliza upuuzi.
 
Unataka tena tuanze mwanzo wa majadiliano. Ujinga huo tumeshauamaliza. tangu lini budget ikawa realistic, au hujui maana ya bajet? Bajeti ya serikali siyo ile unayopanga na shoga mwenzako nyumbani. Hii huitwa makadirio ya bajeti.....Soma thrd unadhani tunajiandikia tu! Haya ni majadiliano. Tumefika mbali wewe unaingia na kuturudisha tulikotoka. Ni aina ya wanafunzi wanaosinzia darasani,wakistuka wanayosha mkono kuuliza upuuzi.

Hiki chako ni zaidi ya kichekesho, ati nini? Hakuna realistic budget? Lengo la kutayarisha budget ni nini kwa mtazamo wako? Hebu nijibu nipate kichekesho kingine.
 
Hiki chako ni zaidi ya kichekesho, ati nini? Hakuna realistic budget? Lengo la kutayarisha budget ni nini kwa mtazamo wako? Hebu nijibu nipate kichekesho kingine.
Ili ujue ni kichekesho lazima wewe mwenyewe usiwe kichekesho. Neno realistic una maanisha nini maana lugha ya Queen nayo huwa ni tatizo kwetu. Don't say it as an optimistic, interchanging pessimistic for realistic to make you feel better.
Are you there Mfiaukweli? It's me, Patriot.
 
Ili ujue ni kichekesho lazima wewe mwenyewe usiwe kichekesho. Neno realistic una maanisha nini maana lugha ya Queen nayo huwa ni tatizo kwetu. Don't say it as an optimistic, interchanging pessimistic for realistic to make you feel better.
Are you there Mfiaukweli? It's me, Patriot.

Realistic = capable of being achieved. Got it?
Now do terms planning, forecasting and simulation mean anything to you?
 
Realistic = capable of being achieved. Got it?
Now do terms planning, forecasting and simulation mean anything to you?
Kwanza naomba nikufahamu. Una elimu gani boss? Maana neno realistic halina maana fupi kiasi hicho, ingawa maana fupi nilishaiona kwenye dictionary ya kijana wangu wa shule ya msingi. Naogopa nisijejikuta najadili na kijana wa sekondari aliyeko likizo ya Corona. Au niulize una hobbies gani na unasoma vitabu gani?

Kwa kutumia maana fupi uliyoleta, una maan sheria na taratibu za serikali uliambiwa bajeti huwa ni document ambayo ni realistic? Btw., the discussion at hand is not budget ya Tanzania it's malengo ya bajeti. Do you have a hang of this? Kama hujui, usinijibu maana naona kama unarefusha mjadala bila uelewa. Niko hapa napitia maelezo ya fourth industrial revolution.
 
Kwanza naomba nikufahamu. Una elimu gani boss? Maana neno realistic halina maana fupi kiasi hicho, ingawa maana fupi nilishaiona kwenye dictionary ya kijana wangu wa shule ya msingi. Naogopa nisijejikuta najadili na kijana wa sekondari aliyeko likizo ya Corona. Au niulize una hobbies gani na unasoma vitabu gani?

Kwa kutumia maana fupi uliyoleta, una maan sheria na taratibu za serikali uliambiwa bajeti huwa ni document ambayo ni realistic? Btw., the discussion at hand is not budget ya Tanzania it's malengo ya bajeti. Do you have a hang of this? Kama hujui, usinijibu maana naona kama unarefusha mjadala bila uelewa. Niko hapa napitia maelezo ya fourth industrial revolution.

Mimi ni darasa la saba. Haya nieleweshe, term "realistic" ina maana gani kwako wewe msomi wa mtaa wa Lumumba? Na unielimishe pia maana ya budget na "malengo ya budget". Unaruhusiwa kutumia dictionary ya kijana wako ya elimu ya msingi (na naomba title ya hiyo dictionary na publisher wake ili nami nikaitafute).

Am waiting.
 
Back
Top Bottom