denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Alisonga mbele coz alijua alikosea, sasa asidanganye watu hakufukuzwa.Naona umeongezea nyama kidogo, lakini msimamo wake ni kuwa... alichukulia kuwa ni sehemu ya harakati hivyo alikubaliana na kusonga mbele.