Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Hii kitu iko rohoni, kwamba siipendi Ccm. Wala usinihurumie. Hawa kina Halima hamkuwataka majimboni, kulikoni mnang'ang'aniza waingie bungeni ?!Jaduong pamoja na kudhalilishwa kote huku bado unakomaa na Chadema ya matapeli!
Kibaya mnatumia kibubu vibaya kudhoofisha democracy nchini.