Zitto: Sikuondoka CHADEMA bali nilifukuzwa

Zitto: Sikuondoka CHADEMA bali nilifukuzwa

Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amesema yeye hakuondoka CHADEMA bali alifukuzwa.

Kupitia ukurasa wake wa twitter amesema kuwa alifukuzwa bila kikao cha Halmashauri Kuu, bali ilikuwa barabarani tu.

Amesema anachukulia hilo kama sehemu ya harakati, na hajabeba chuki kwa tukio hilo.

Zitto alihamia ACT-Wazalendo Machi 2015 akitokea CHADEMA ambako walimtuhumu kuwa msaliti.

Dogo alifukuzwa because ni mbea na mnafiki.....alikuwa Chadema lakini alikuwa anamfanyia kazi Kikwete na CCM yake kwa kumpa ripoti za chama chake....kwani nani asiyejuwa hili. Unafikiri kwanini watu don't take Zitto seriously, the guy is bogus.
 
Hii kitu iko rohoni, kwamba siipendi Ccm. Wala usinihurumie. Hawa kina Halima hamkuwataka majimboni, kulikoni mnang'ang'aniza waingie bungeni ?!

Kibaya mnatumia kibubu vibaya kudhoofisha democracy nchini.
Kama huipendi Ccm ndio unga'ang'anie chama kibovu na matapeli kama Cdm! Nani amelazimisha waingie bungeni? Sio uhuni wao waliofanyia na kuwadhalilisha!
 
Kama huipendi Ccm ndio unga'ang'anie chama kibovu na matapeli kama Cdm! Nani amelazimisha waingie bungeni? Sio uhuni wao waliofanyia na kuwadhalilisha!
Mzee keishasema atawalinda kwa gharama yeyote . Tusio na maana tutasemaJe ?!.
 
Kweli CHADEMA imebaki na wanaharakati wa kisiasa ni CHADEMA ni kama NGO ya kutafutia ruzuku watu wale maisha yasonge. Lakini mwisho wa jana ni sasa. Bora Mbowe yeye analenga mpunga tu, lakini hii CHADEMA ya Tundu ni asilimia 100% uanaharakati wa kisiasa na inaenda kufa kifo kibaya sana.
Harakati ni sehemu ya kazi katika chama cha siasa
ndio maana kuna vitendo vya uenezi vya chama vikiwa na lengo la kutengeneza ushawishi na utetezi wa haki za kiraia kwenye mfumo kandamizi kama huu wa chama dola
 
Zitto hakufukuzwa vipi wakati alivunja sheria inayomkataza mwanachama kwenda mahakamani?

Ndio alifukuzwa barabarani kwa sababu alijua kwenda kwake mahakamani kumemuondoa, vinginevyo kama anaona alionewa kwanini asingeenda tena mahakamani kupinga kufukuzwa akiwa barabarani?

Hata hawa kina Mdee na wenzake leo, maamuzi yoyote yakitolewa dhidi yao, halafu wakajipeleka mahakamani, nao watakuwa wamefukuzwa automatically, haijalishi wawe barabarani au bafuni.
Nakuelewa vyema, ni sawasawa hata mpuuzi akithubutu kudhihaki taasisi ya urais lazima aadhibiwe mwishowe akimbie nchi atuache wazalendo wa Taifa hili, haya mavyama yenu ya kikabila tusipoyadhihiti yataligawa Taifa
 
Vingi mlijifanyia wenyewe ili ku stage matukio.

The point is Heche anaweza kuwa serious mwenyekiti
Heche mwenyewe mmemfanyia visa . Team campaign yote ina kesi ya kubumba, mmeharibu ofisi na music system yake. Yaani ninyi ni zaidi ya wachawi
 
Kutukana ni dalili ya kuingiliwa na mapepo kinyume na maumbile...

Kaombewe mkuu [emoji3][emoji3]
Mfate nyumbani kwake uwe mke wake.
Uongozi wa chama unapatikana kwa kugombea,kupigiwa kura na sio kupewa
 
Back
Top Bottom