Zitto: Siogopi kubambikiziwa uhujumu uchumi, Utakatishaji fedha (USD 2M), nakuja!

Zitto: Siogopi kubambikiziwa uhujumu uchumi, Utakatishaji fedha (USD 2M), nakuja!

Honeypot naona ka mtego kametegwa vizuri kwa serikali hii Zitto wanamuona kama Cleopatra vile kumbe ni kinyume chake

Wacha tuone tutafika wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alivyo sungura mjanja akitoka hapo atakuja na self defence tactic (scare tactic) kwa kupiga picha na viongozi wa juu nchi za mabeberu kuonyesha wanatambua umuhimu wake kama sehemu ya demokrasia.

Hila something tells me behind Zitto there are clever and powerful people home and abroad handling him kumdhuru huyu mtu kutakuwa na consequnces za kitaifa.
Jamaa kapiga pesa alidhani haitajulikana!!!
 
Sass hilo swali ndio unamuulizs maalim seif? Au mwenyekiti wetu wa ccm?
 
JPM hawezi kufanya wrong move,anaweza hisi labda USA wanafuatilia nyendo za Zitto akitua nchini,na hao jamaa kwa teknolojia hawashindwi!
Unakumbuka yule mwandishi wa saudia aliyeuwawa,USA walitoa mpaka footage ya mwandishi huyo akiingia ubalozini na hakuonekana kutoka!Hapo ndio Saudia ikabidi wakubali kuwa aliuwawa ubalozini!
Its a risk kumdhuru Zitto,plus na mauchawi yake basi inakuwa tabu kweli kweli!
Acha kutishia watu kwani umeambiwa serikali ina mpango na Zitto?
 
Zito kuwa makini...majuzi nimemuona Jiwe akiwa anateta na mkuu wa kikosi cha watu wasiojulikana (Bashite) nikajua tu hapa kuna mtu anayesumbua watawala anaandaliwa zengwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefurahishwa/kusikitishwa na hiyo aya ya English alioiweka, sasa sijui bila ya hiyo asingeeleweka? Kwa maana utafikiri yoote alioyaandika kwa Kiswahili ni ujinga mpaka hapo kwenye Kiingereza.
Tatizo hujasoma code mixing na code switching
 
Nimefurahishwa/kusikitishwa na hiyo aya ya English alioiweka, sasa sijui bila ya hiyo asingeeleweka? Kwa maana utafikiri yoote alioyaandika kwa Kiswahili ni ujinga mpaka hapo kwenye Kiingereza.
Kuna watu vichwa maji kweli kweli
Yan we huelew km hayo maneno ZITTO alikua anaongea sio kuandika then mwandishi kaandika kile alichoongea Zito kwa hyo ulitaka aache baadhi ya maneno?
Au ttzo liko wap mtu akifanya code mix vile akiongea?

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Eti plus na mauchawi yake.....
JPM hawezi kufanya wrong move,anaweza hisi labda USA wanafuatilia nyendo za Zitto akitua nchini,na hao jamaa kwa teknolojia hawashindwi!
Unakumbuka yule mwandishi wa saudia aliyeuwawa,USA walitoa mpaka footage ya mwandishi huyo akiingia ubalozini na hakuonekana kutoka!Hapo ndio Saudia ikabidi wakubali kuwa aliuwawa ubalozini!
Its a risk kumdhuru Zitto,plus na mauchawi yake basi inakuwa tabu kweli kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Keep that spirit up brother Zito. Tupo nyuma yako kaka.
Mlimtia moyo Mange kwa kauli kama hizi,mwisho wa siku akajikuta yupo peke yake...

Watanzania nyie ni wanafiki sana, mwisho wa siku atajikuta yupo peke yake

Historia inaonyesha wazi kabisa kwamba,tunajua kuwaunga mikono wanasiasa na wanaharakati wanapopayuka/paza sauti zao,lakini yakiwafika ya kuwafika wote mnatokomea kusikojulikana

Mf.Tundu Lissu mlimwambia pia kuwa mupo pamoja naye,alipofikwa na yaliyomfika mpaka leo hampo pamoja naye wala hamkuwahi kuonyesha nia ya kuwa pamoja naye

Tito Magoti,sijui Ben Saa Nane,Kanguye,Mawazo,n.k hamjawahi kuwa pamoja nao...

Enzi za mzee kikwete pia,madaktari walikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Dr.Ulimboka,(tuko pamoja mkuu,komaa,wewe ni shujaa wetu,hatuwezi kukuacha uumizwe na yeyote) yalipomfika ya kumfika sasa,woooote kimya hakukuwa na hata mmoja aliyenyanyua kinywa na kukomaa kumsaidia mwenzao,wote walinywea,na hao ndiyo watanzania halisi...

Zitto usijione una lundo la supporters,ngoja utiwe nyavuni Kama utamuona yeyote hata akipanua kinywa kusema/kuandamana kwa ajili yako,hakuna hata mmoja,utajikuta peke yako mzee....[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alivyo sungura mjanja akitoka hapo atakuja na self defence tactic (scare tactic) kwa kupiga picha na viongozi wa juu nchi za mabeberu kuonyesha wanatambua umuhimu wake kama sehemu ya demokrasia.

Hila something tells me behind Zitto there are clever and powerful people home and abroad handling him kumdhuru huyu mtu kutakuwa na consequnces za kitaifa.
Mdanganyeni tu, consequences za kitaifa haya....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JPM hawezi kufanya wrong move,anaweza hisi labda USA wanafuatilia nyendo za Zitto akitua nchini,na hao jamaa kwa teknolojia hawashindwi!
Unakumbuka yule mwandishi wa saudia aliyeuwawa,USA walitoa mpaka footage ya mwandishi huyo akiingia ubalozini na hakuonekana kutoka!Hapo ndio Saudia ikabidi wakubali kuwa aliuwawa ubalozini!
Its a risk kumdhuru Zitto,plus na mauchawi yake basi inakuwa tabu kweli kweli!
Mzee hiyo haisaidii,(alishakufa tayari,footage zilisaidia kujua alipouawa basi) ingefaa sana Kama wangesaidia kuzuia asiuawe...

Lakini footage za baada ya Khashoggi kuuawa hazikumsaidia khashogi mwenyewe wala familia yake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdanganyeni tu, consequences za kitaifa haya....
Consequences za kitaifa ndio mdudu gani...achaneni na lugha msizozijua, kwa nini usiandike tu kwa Kiswahili? Washamba mna mambo, mtu unang'ang'ana na lugha usioijua, ya nini?
 
ZZK anaongea fact akiwa na ushahidi ila makada wa Jiwe naona mnamuandama kwa maneno ya kanga ambayo hayana maana yoyote..ningewaona wa maana kama mtamwambia yule mzanzibar aondoe hoja yake ya miaka miwili ndan ya chama
 
Back
Top Bottom