Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani za ajabu ajabu..He is also systematically digging his own grave ! Would he had had a chance he could have asked Morgan Tsvangirai on what had befallen of him in the course of betraying his country believing delivering his country to the west! He was dumped by the very Americans and died in SA
Sina maana Kama ninapingana nae Bali ni mawazo yangu binafsiHahah
Kwaiyo unashindwa kumjua kama ni mnyama ngiri au kinyonga?
Nyanjomigire,Rubbish. Mtu yuko huru kuelezea hisia zake unless mkiri kuwa sasa nchi inatawaliwa kiimla na kwa nini akiwa huko mnaumia sana?
Kumbe huko ndiko kuzuri kutapikia maneno maanake huku hamchelewi kumbambikia kesi feki ya kuhujumu uchumi.
Mwizi haachi kutumia mbinu zote anazoweza kurahisisha kazi yake.Duku duku langu ni hili: Kama CCM ina uwezo wa kuiba kura kwanini wahangaike ili kumzulia Zitto kesi ili asishiriki uchaguzi? Si wana uwezo wa kungojea wakati wa uchaguzi wakaiba?
Kwani usiporudi utapata hasara gani?
Nimefurahishwa/kusikitishwa na hiyo aya ya English alioiweka, sasa sijui bila ya hiyo asingeeleweka? Kwa maana utafikiri yoote alioyaandika kwa Kiswahili ni ujinga mpaka hapo kwenye Kiingereza.
Zitto anaogopa sana jela tofauti na Godbless Lema wa Chadema!