Kesi ipiHii preemptive technique imebuma, kesi anayo asitafute visingizio.
Jamaa kapiga pesa alidhani haitajulikana!!!Alivyo sungura mjanja akitoka hapo atakuja na self defence tactic (scare tactic) kwa kupiga picha na viongozi wa juu nchi za mabeberu kuonyesha wanatambua umuhimu wake kama sehemu ya demokrasia.
Hila something tells me behind Zitto there are clever and powerful people home and abroad handling him kumdhuru huyu mtu kutakuwa na consequnces za kitaifa.
Full stopMguseni ZITTO Mabeberu Yawashughualikie
Acha kutishia watu kwani umeambiwa serikali ina mpango na Zitto?JPM hawezi kufanya wrong move,anaweza hisi labda USA wanafuatilia nyendo za Zitto akitua nchini,na hao jamaa kwa teknolojia hawashindwi!
Unakumbuka yule mwandishi wa saudia aliyeuwawa,USA walitoa mpaka footage ya mwandishi huyo akiingia ubalozini na hakuonekana kutoka!Hapo ndio Saudia ikabidi wakubali kuwa aliuwawa ubalozini!
Its a risk kumdhuru Zitto,plus na mauchawi yake basi inakuwa tabu kweli kweli!
Sasa kama hata Abdul Nondo aliwashinda kwani mlishindwa kudhibitisha kuwa alijiteka!, Hila dhidi ya zitto hazitofanikiwa pia.Hii preemptive technique imebuma, kesi anayo asitafute visingizio.
Inampango na kila mtu atakaye sema yale yasiyo ifurahisha.Acha kutishia watu kwani umeambiwa serikali ina mpango na Zitto?
Tatizo hujasoma code mixing na code switchingNimefurahishwa/kusikitishwa na hiyo aya ya English alioiweka, sasa sijui bila ya hiyo asingeeleweka? Kwa maana utafikiri yoote alioyaandika kwa Kiswahili ni ujinga mpaka hapo kwenye Kiingereza.
Kuna watu vichwa maji kweli kweliNimefurahishwa/kusikitishwa na hiyo aya ya English alioiweka, sasa sijui bila ya hiyo asingeeleweka? Kwa maana utafikiri yoote alioyaandika kwa Kiswahili ni ujinga mpaka hapo kwenye Kiingereza.
JPM hawezi kufanya wrong move,anaweza hisi labda USA wanafuatilia nyendo za Zitto akitua nchini,na hao jamaa kwa teknolojia hawashindwi!
Unakumbuka yule mwandishi wa saudia aliyeuwawa,USA walitoa mpaka footage ya mwandishi huyo akiingia ubalozini na hakuonekana kutoka!Hapo ndio Saudia ikabidi wakubali kuwa aliuwawa ubalozini!
Its a risk kumdhuru Zitto,plus na mauchawi yake basi inakuwa tabu kweli kweli!
Mlimtia moyo Mange kwa kauli kama hizi,mwisho wa siku akajikuta yupo peke yake...Keep that spirit up brother Zito. Tupo nyuma yako kaka.
Mdanganyeni tu, consequences za kitaifa haya....Alivyo sungura mjanja akitoka hapo atakuja na self defence tactic (scare tactic) kwa kupiga picha na viongozi wa juu nchi za mabeberu kuonyesha wanatambua umuhimu wake kama sehemu ya demokrasia.
Hila something tells me behind Zitto there are clever and powerful people home and abroad handling him kumdhuru huyu mtu kutakuwa na consequnces za kitaifa.
Mzee hiyo haisaidii,(alishakufa tayari,footage zilisaidia kujua alipouawa basi) ingefaa sana Kama wangesaidia kuzuia asiuawe...JPM hawezi kufanya wrong move,anaweza hisi labda USA wanafuatilia nyendo za Zitto akitua nchini,na hao jamaa kwa teknolojia hawashindwi!
Unakumbuka yule mwandishi wa saudia aliyeuwawa,USA walitoa mpaka footage ya mwandishi huyo akiingia ubalozini na hakuonekana kutoka!Hapo ndio Saudia ikabidi wakubali kuwa aliuwawa ubalozini!
Its a risk kumdhuru Zitto,plus na mauchawi yake basi inakuwa tabu kweli kweli!
Consequences za kitaifa ndio mdudu gani...achaneni na lugha msizozijua, kwa nini usiandike tu kwa Kiswahili? Washamba mna mambo, mtu unang'ang'ana na lugha usioijua, ya nini?Mdanganyeni tu, consequences za kitaifa haya....